JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Shinji_ !, jaman, mbona hivyo, nilizoea ulikua unapita kweny mtaa wetu unanipa Hi!, lakini sikuiz sikuoni mbona kmya hujui tu mwenzio nnavyo teseka. Fanya leo tu hedmiaway inkdimun lbh dhesxv...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Watoto wangu walipotoka shule wamenieleza walichojifunza shuleni. Kwamba yai ukiliweka kwenye upright position yaani liwe kama limesima ukilikanyaga kwa juu haliwezi kuvunjika hata mzito kiasi...
1 Reactions
10 Replies
826 Views
1 Reactions
0 Replies
283 Views
Kama mti uzaapo matunda basi ndio na sisi tunavyozaliwa. Kuna matunda ambayo huotea chini na kuwa rahisi kuchumwa, haya hu represent wale watu waliobarikiwa kuzaliwa na visimati, na hawatumii...
1 Reactions
2 Replies
676 Views
Kwema Wakuu! Ijumaa Kama ya Leo, Tarehe Kama ya Leo, mwezi Kama WA leo, Taikon niliwasili Duniani Alfajiri kabla ya jua kuchomoza, nikitokea Nyota ya Tibeli yenye mbawa Mbili irukayo tangu...
6 Reactions
19 Replies
1K Views
Katika maisha kila mtu anajua single-men wana madream wife zao so tuambizeni humu ma dream wife zenu ni wakina na nani ? ambao mkioa hapo unajua nimepata sio nimepatikana tujuzeni.
11 Reactions
96 Replies
5K Views
Nimeweka sana juhudi kwenye kujijengea maisha lakini nguvu zote hazijafua dafu. Muda huu nimelala apa kitandani ila usingizi sipati kwa maana nipo kwa baba wakati ilinipasa niwe nafanya harakati...
2 Reactions
10 Replies
866 Views
Mara pap imetokea msako au ukaguzi tu wa kushtukiza katika simu yako..na ukapata sekunde chache kabla hujapokonywa simu yako kwa ajili ya huo ukaguzi... Ili kulinda status yako/siri zako utafuta...
2 Reactions
48 Replies
5K Views
Picha zitafuata. Ila watoto wanaokuja hapa sio poa. Kama Huna hela nendaga juliana.pana watoto flani very classic wasafi
2 Reactions
32 Replies
4K Views
Rejea kichwa cha mada. Ikiwa unampa pesa (kuhonga) kwa namna yoyote huna sababu ya kubembeleza kuombaomba sana. Anacho takiwa kufanya ni kuheshimu matakwa yako direct order na sio kuanza kuuliza...
9 Reactions
27 Replies
1K Views
Inakuwaje unaandaa chakula iwe wali,ugali au ndizi, unakuta kama ni ugali au kati ya hivyo sahani inakuwa imejaa top lakini Cha hajabu mboga unakuta kwenye bakuli vimnofu 2 na mchuzi ugali mlima...
1 Reactions
15 Replies
816 Views
Safar ya Mwanadamu ya mapambano inaanza punde tu anapozaliwa. Hiyo safari iliyosemwa na wahenga yako iko wapi?
0 Reactions
1 Replies
884 Views
JF Stand up, put your hands up Kuna watu umu wamekua na consistence yakuepo (online) na kuwa wachangiaji wazuri katika nyuzi mbali mbali hapa chamani kwetu JF. Members hawa wenzetu kiukweli...
9 Reactions
66 Replies
3K Views
Wakuu, tukiachana na watu wako wa karibu kukuomba pesa kipi kingine ukiombwa huwa unakereka sana? Binafsi ni haya matatu. 1.Simu yako ina dakika uniazime? 2.Kuombana vifaa vya kazi. 3.Kuombana...
0 Reactions
11 Replies
840 Views
Nawatakieni usiku mwema 1: mnaoanzishaga thread nzuri zinazochukua mda wangu kukuza maarifa binafsi 2: aliyeanzisha grupu la kujifunza kupika iliniokoa siku moja geto na kuonekana mwamba wa...
2 Reactions
11 Replies
984 Views
Wakuu usije kumuuliza mwanamke umekula ni kosa kubwa. Nimeuliza umekunywa chai? anataka nimtumie hela ya chai na vocha sijamjibu Maendeleo hayana chama
16 Reactions
63 Replies
3K Views
Wazee, embu let's reminisce good old days Kishtobe, gangwe, kulakabonyau, arosto, unenge, ubweche....
2 Reactions
21 Replies
2K Views
Tuambie hapa nini inakusukuma kuanzisha mahusiano mapya na tayari una mpenzi mwingine ..?
3 Reactions
42 Replies
2K Views
TAHADHARI: MADA SIO YA KIDINI Katika ulimwengu tuliopo na tulikopita kuna makundi au kazi ambazo ukifanya tu kaa ukijua lazma utende dhambi kwa lazma. Orodha ambayo ni vigumu sana kuuona...
3 Reactions
49 Replies
2K Views
Akizungumza katika Kipindi Kizuri, Kitamu na Kinachoelimisha, Kuburudisha na Kufariji cha Mazungumzo ya Familia ( kutoka Radio One ) ambacho GENTAMYCINE ni Balozi wa Kujilazimisha na Kujiteua...
4 Reactions
35 Replies
4K Views
Back
Top Bottom