JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Wapo watu waliobarikiwa vipaji vya kufanya Mambo yao kwa speed ya pro max.Watu wa hivyo ukienda nao ugenini ikifika mida ya kula ole wako aisee! Chakula kikiletwa mezani anatumia dakika Chache tu...
1 Reactions
3 Replies
544 Views
Ooy wazoefu kuna tatizo gani hukuk kwani huruhusiwi kusinzia, nashangaa nimesinzia mabaunsa wamekuja wananitoa mpaka nje!
1 Reactions
23 Replies
6K Views
Nikiunganisha matukio ya hivi karibuni; Zuchu Zumarid Na Huyu wa Mrema. Mpaka sasa Mans tutaishia kupiga makelele tu mitandaoni ila kiukweli Tufanye sana Ibada hawa watu hatuwawezi,Ukikosekana...
0 Reactions
0 Replies
384 Views
Toa ushauri wowote haijalishi ni kielimu,biashara,mahusiano au michezo. Chochote unachohisi unaweza kuwa ushauri mzuri toa.
2 Reactions
24 Replies
2K Views
Wadau nimekuja mbeya 1 time, nisaidieni kujuzwa kiwanja kizuri cha kuparty na kuruka majoka, ambacho kinajaza. Natanguliza ahsante!
1 Reactions
21 Replies
2K Views
Habarini ndungu.....! Kutokana na swala zima la uaminifu kushuka chini siku Hadi siku Basi Kuna hii njia mpya ya kuweza kugundua Kama mtu wako anachepuka ni simple na rahisi Sana. Kutokana na...
2 Reactions
21 Replies
653 Views
Ukisoma kitabu Cha Daniel 2:1-48, utaona mfalme Nebuchardnezzer alivyoota ndoto ngumu Sana akawshindwa kuitafsiri mwenyewe.Akalazimika kumtafuta mtu atakayeitafsiri ile ndoto kea ufasaha na...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
huu ni uzi maalumu muulizie member yeyote unayehisi amepotea na haonekani kwenye Forum kwa sasa, ili kama yupo na akiona ajibu hapa kama yupo
2 Reactions
141 Replies
6K Views
Kwa Hilo Joto La Dar Hapana, Inafika Mda feni Inazunguka Mpaka Inachemka Unaamua Kuiwekea Feni nyingine Ili ipozwe Iendelee Na Kazi. Huenda Hata Sio Climate Kwa Kiasi Kikubwa Ikawa Ni Uasherati...
3 Reactions
9 Replies
766 Views
Kuanzia mwezi wa March nimekuja kugundua nikijipiga picha masikio siyaoni kabisa, ni mpaka nigeukie kamera upande wa sikio, kiukweli napata stress. Baadhi ya watu wanasema nmenenepa ila ni mara...
2 Reactions
17 Replies
815 Views
Nauliza tu jamani, Hivi mtu unaweza tumia mbinu gani kwa hali ya sasa Ukae mbali kabisa na kutumia Social media, yaani uweze kutumia simu ya kitochi tu!
1 Reactions
8 Replies
999 Views
Nimekaa nikawaza sana kuhusu hili na naamini wanaume tuna deserve free pass ya kwenda mbinguni kwa baba 😊kwasababu: 1. Tunarogwa na wake zetu tusichepuke 2. Tunarogwa na michepuko yetu...
2 Reactions
9 Replies
502 Views
DISCLAIMER: Huu Uzi hauna lengo lolote la upotoshaji kwa wasomaji kwahiyo naomba wana JF wauchukue poa tu For instance the government decides to legalise everything in the country for a 24- hour...
1 Reactions
11 Replies
490 Views
Hello! Leo bila shaka mshahara kwa watumishi wa umma utaingizwa kwenye akaunti zao. Sasa sisi wa CRDB mzigo unachelewa kidogo, basi nyie wa NMB mkiuona mnishtue haraka ili nivae suti yangu...
3 Reactions
26 Replies
2K Views
Mimi nimetambuwa hawa kwa haraka haraka. JESUS Mao Mandela Michael Jackson Che Guavara Einstein Queen Elizabeth Martin Luther Bob Marley Musolini Mohammad Ali Bruce Lee Dalai Lama Kobe Bryant...
0 Reactions
24 Replies
2K Views
Kwa sasa kikao kinaendelea mwenyekiti wao atazungumza baadae.
12 Reactions
16 Replies
2K Views
Haki ya Mungu aliyetengeneza hiki kinywaji simlaumu. Mimi nimeanza kunywa pombe nikiwa form two, uchaga umenikaa kwelikweli, pamoja na kuniletea majanga lakini sifikirii kuacha. Nakumbuka siku ya...
3 Reactions
11 Replies
2K Views
Wakulungwa niaje? Najua baada ya kuhangaika wiki nzima, pengine leo utakua sehemu fulani uki relax kupoza uchungu wa maisha kwenye ardhi ya ku tanga na nyika. Kwa mliopo Dar maeneo ya Sinza, DM...
1 Reactions
10 Replies
723 Views
Najaribu tu ku-imagine ile siku tuko zetu mbinguni kwa Baba tumekaa tumesubiri tu kuandaliwa maziwa na asali na malaika wa Mungu afu ghafla anaingia shetani na nyaunyo mkononi na kusema" Kama...
3 Reactions
12 Replies
2K Views
Habari zaivipunde wakuu Leo nimekanywa vikali na kitoto cha 2000 na mkwara mzito juu. Kisa tuu rafiki yake kawa rafiki yangu. Anahisi nitarumbuw muda wowote.
1 Reactions
8 Replies
545 Views
Back
Top Bottom