JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Sijaanza leo kujiuliza, hivi kwa mfano MTU akapotea ghafla katika utoaji thread,uchangiaji wa mada, tunawezaje kutambua taarifa zake. Maana sijawahi ona watu kushtuka humu ndani MTU anapopotea...
21 Reactions
162 Replies
10K Views
Nimekumbuka Mara yangu ya kwanza kulewa pombe niliona Cha Moto aisee! Kipindi kile nilikuwa ndo kwanza nimetimiza miaka 18 nikandaa bonge la party nikawaita marafiki zangu wake wanisaidie ku-...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Habarini wadau...juzi kati nilipita chuoni tumaini university mwenge campus hapa dsm...aiseee nilikutana na mtoto mkali wa kinyarwanda ana weupe flanhv yupo diploma na nilipoulizia kwa wadau...
3 Reactions
115 Replies
14K Views
Huyu akidakwa itabidi ashikishwe mtutu apelekwe Ukrain[emoji848]
6 Reactions
10 Replies
3K Views
Hivi kuna siri gani katika ndoa, mara nyingi watu wakishaingia katika ndoa wanatoka vitambi vya ajabu ajabu? Sababu ni ipi labda? Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
20 Replies
1K Views
Hivi Siku Hizi bado kuna Jinsia au Rika lina Hulka ya kuwa na Aibu kweli au Ndio Ule Mshipa ushakosa kazi,Siku Hizi Mi binafsi mpaka Naogopa navyokodolewa huko kitaa!!
0 Reactions
8 Replies
574 Views
Nimebahatika kuoa, ndoa ina miaka 8, anyway waweza waza ni hizi zenu za bongofleva, yangu ni classic. Huwa nafurahi mke wangu anavyomuandaa mwanangu kwenda shule, Iko hivi. Nikiwepo, ikifika saa...
9 Reactions
37 Replies
2K Views
Bad boys Dog Man X (DMX) Mr. Devil Young Killer Bad man Shetani Chizi maarifa Angalia ID za watu humu utashangaa why NEGATIVITY. NYUZI ZA HOVYO NDIO ZINACHANGAMKIWA [emoji34] [emoji35][emoji35]...
2 Reactions
22 Replies
2K Views
BENSON AMEKUBALI YAISHE.. BENSON:-Hii Agnes [emoji173] naitwa Ben, mimi ndo Yule tulikutana Katika bus Jana Wakati tunatoka Moro kuja Dar, tulikaa Wote, nikakuomba namba yako ya Simu...
5 Reactions
8 Replies
1K Views
Uko katikati ya mawazo ya kulijenga na kulibomoa kasiri ambalo lipo tayari kwenye bajeti. Au pengine upo katikati ya lindi kubwa la mawazo juu ya lini utapata dili ili angalau uweze kulipia kodi...
1 Reactions
3 Replies
608 Views
Kama hauko bussy nitajie andiko la biblia unalolipenda Sana. Kuna kitu nitajifunza kwako
2 Reactions
12 Replies
849 Views
Utakuta demu anajifanya anataka Serengeti lite au Heineken wakati kiuhalisia bia yake safari laga. Mi kuna siku demu kaniomba nimnunulie bia kulaleki anayaka Castle Lite wakati mi mwenyewe...
4 Reactions
27 Replies
2K Views
Hizi ni skills ambazo ni lazima mwanaume uwe nazo. 1. Mwanaume lazima ujue kupika. Kupika sio kazi ya wanawake wala sio gender role hii. Haya ni maarifa anayotakiwa kua nayo kila mtu. Kuna watu...
6 Reactions
13 Replies
1K Views
Unasikiliza ngoma ipi kwa Sasa Playlist yako Ina nyimbo gani.. Nasikiliza My playlist. 2pac-Life goes on Ghetto remix Akon.2pac..The notorious Big Eminem fall Eminem guts over fear Eminem-toy...
4 Reactions
12 Replies
2K Views
Mungu wa mbinguni awabariki sana katika Juma hili tunaloenda kuhitimisha mfungo wa Kwaresma na pia kuupokea Ufufuko wake Bwana wetu Yesu Kristo. Nawatakia Hitimisho la Kwaresma lenye kumpendeza...
1 Reactions
3 Replies
473 Views
Wakuu, nimepita hapa Pizzeria nikaagiza kitu pale black vinegar mixer gallic. Pizza ilikua ina chizz ya kitosha...😋 sasa wakati wa kulipa naambiwa ni 21,000...😬 Dahhhhh. Man nilipata moto wa...
15 Reactions
65 Replies
4K Views
Hivi kwa nn ukiwa Bar au eneo lolote la kupata drinks ukianza ile kuongea kwa sauti ya juu tofauti na awali wanazengo hutupia jicho kinywaji unachotumia? Kuna uhusiano wowote wa aina ya pombe...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Mkitoka church njooni mle nyama ya Mbuzi na bia, kama mmefunga njooni mnunue nyama za mbuzi za kula na familia jioni. Wale makobe kama mimi tukutane hapa Uzi tayari, Nawasilisha.
5 Reactions
33 Replies
2K Views
Back
Top Bottom