JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Wakuu habari za mchana, Heri ya pasaka kwa Wakristo. Kwa ndugu zangu waislamu poleni na swaumu. Niende kwenye mada husika. Watu hunitizama kama beureucrat, usalama wa Taifa, askari wa PGO au mtu...
1 Reactions
7 Replies
726 Views
Japo haikuwa rahisi kivile nashukuru mungu nimefanikiwa kuhamia kwangu Kweli nimeamini ukiwafatilia sana walimwengu haujengi vitisho vingiiii hasa hawa mafundi wa mitandaoni kitu Cha laki...
6 Reactions
28 Replies
2K Views
Kwa mfano ukiambiwa uinuke uanze kutembea kwa miguu mpaka pale utakapopigiwa simu na Mpenzi wako,je were unaweza ukatembea kwa umbali gani? Mimi ninaweza nikatembea kutoka Hapa Nairobi Hadi...
6 Reactions
18 Replies
745 Views
Kama kichwa cha thread kinavyosema juzi nilipoteza simu yangu kipenzi baada ya mtu mzima kuwekwa chini! Sasa mim nataka kujifua ili nisikalishwe chini lakini niwakalishe chini. Kwa sasa naomba...
0 Reactions
28 Replies
4K Views
Mhaya Koku Mutabirwa amejenga ukumbi mkubwa wa kisasa wa sherehe jijini Dar es Salaam, akalipa jina la Nyarubanja Modern Function Hall. Akagawa maegesho ya magari (car park) kama ifuatavyo...
0 Reactions
0 Replies
348 Views
Asanteni
11 Reactions
211 Replies
7K Views
Each year your birthday reminds me, That I really want to say, I’m very glad that i have known you .. I look forward to spend every birthday with you, Because you are a good thing...
9 Reactions
59 Replies
2K Views
Nasikia Mbezi kuna sehemu inaitwa Msigani, Kwa God na Mbezi Luxury, Kuna Kiwanja gani kingine maeneo ya Mbezi maana week kesho kutwa napata likizo ya kuwa Tanzania kwa miezi 2. Tupeane...
3 Reactions
60 Replies
9K Views
Ilikua hivi, alimchumbia akiwa mwanafunzi, ahadi kibao walipeana mpaka ndoto ilipotimia ya jamaa kupeleka posa na kukipa mahari. Mke alielewa hali ya jamaa na alihamia baada ya hatua za mahari...
3 Reactions
7 Replies
880 Views
Kwa tuliobahatika kuhenya JKT enzi hizo,embu tujikumbushe top ten za disco la enzi hizo. Naanza: Kule kwa chinova, kule kule, kule kwa chinoova, tunasonga na kuzimbabwe, masika na toye,toyela...
3 Reactions
119 Replies
11K Views
Tueleze ile Siku Ulilazimika kukesha Nyumbani,Njiani,Kazini Au sehemu yeyote bila matarajio Yaani Ulijikuta tu Unatoboa Upende usipende. Namaanisha Jicho- Jicho yaani hukulala kabisaaa!! .Mara ya...
2 Reactions
10 Replies
669 Views
Poor Government policy. Poor knowledge amoung of leaders. Lack of knowledge to their people. Women are used for pleasure. Lack of capital. lete nyingine unazojua. Alafu Discuss
0 Reactions
6 Replies
491 Views
1.mkwepu jr bado anabaki kuwa kamanda,mwepesi kuelewa,mtu anayehishimika na Mambo yanazidi kuwa ya nguvu kwa ajili yake, rafiki wa wote na ana uzoefu 2.kijana wa Leo naye Ni kisanga anajua jua...
10 Reactions
84 Replies
6K Views
Hilo nimeona halina ubishi, wanaume wengi uingia kingi na kudhani kapata mwananke mrembo ama kupitia Badoo,Facebook ama instagram. Na hiyo ni kwa sababu ya picha lakin akikutana naye kituko Tumbo...
8 Reactions
39 Replies
3K Views
Ujio wa smartphones imekuja kuua soko la Internet cafe. Uber imekuja kuua soko la taxi driver Mitandao ya kijamii imekuja kuua soko la magazeti Iphones imeua soko la Nokia Naanza na mimi...
2 Reactions
18 Replies
905 Views
Wanyakyusa kama hakupendi, atakwambia machoni pako kwamba sikupendi nakuchukia. Wanajiamini sana Akiamua kukudharau, utajuta kuzaliwa
15 Reactions
141 Replies
9K Views
Kwa wale wazee wenzangu tuliokulia kijijini,vitu vya kienyej tumepitia. Sasa we unahis kipi cha ukwel? Mie japo sio mhehe ila jamani 'ULANZI' mtamu. Yan kila unapopiga funda utamu unaongezeka huku...
4 Reactions
113 Replies
15K Views
Wakati nipo mdogo chekechea tulikuwa tunakunywa chai shuleni. Sasa bibi yangu alikuwaga ni nesi hospitali. Kule hospitali alikuwa anafanya kazi kitengo cha lishe ya watoto. Ilikuwa kila jioni...
8 Reactions
20 Replies
2K Views
Njoo tuambizane hapa, kabila lako limetoa mtu gani maarufu. Cc Zero IQ
4 Reactions
119 Replies
9K Views
Back
Top Bottom