JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Maisha ni safari ndefu sana kijana wenu nimetimiza miaka 37 lakini mpka sasa mambo hayaeleweki Sina moja au mbiliiiii
4 Reactions
18 Replies
1K Views
Amani kwenu. Kama kuna mtu ana Mawasiliano ya lodge katika kipande hicho anipatie tafadhali. Isiwe zaidi ya 2km kutoka Morogoro road.
3 Reactions
17 Replies
3K Views
Hivi ni kweli kuna hawa washikaji wanapata mfadhaiko kwenye halaiki kama vile daladala! Au ni story za vijiweni? kuna mtu amewahi shuhudia hili?
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Salaam/Shalom. Kuna hili suala huwa linanishangaza sana, utakuta unamsalimia mtu halafu matokeo yake huyo unayemsalimia utakuta anakuangalia tu. Huwa najiuliza sana hili swali, hivi mkijibu...
9 Reactions
84 Replies
5K Views
Wakuu habari. Nikiwa naangaika na kupata usingizi basi namuona paka hapa amelala. Nawaza, mfano nikamchukua nikampeleka nchi za mbali mfano Russia akakutana na nyau wa kule, je wataelewana zile...
4 Reactions
23 Replies
2K Views
Mwaka 1998 nilipigwa roba ya mbao mchana kweupe. Ilikuwa ni Mwananyamala, nina backpack 🎒 naenda kwa Taki Mdeng'o shosti wangu kumringishia visa yangu ya USA 🇺🇸. Safari na ndoto za kuingia nchi...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Tarehe kama ya leo 26 Nov Mkoa wa Kilimanjaro ndani ya Wilaya ya Moshi vijijini. Kijiji kimoja cha kuitwa "masama" baba na mama wa CONTROLA walibahatika kupata mtoto wao wa kwanza waliempenda...
15 Reactions
110 Replies
8K Views
Nimefanikiwa kuacha kunywa bia Balimi , Safari na kuvuta fegeree embassy na sportsman .. Nimebaki njia kuu ni KONYAGI NA BANGI tu ... Na nnaona nnaenda vizuri ... Konyagi ipo njiani kuachwa ila...
2 Reactions
14 Replies
898 Views
  • Closed
mahondaw since you came into my life my days are filled with happiness with your sweet eyes I calm the despair in my heart with love. A smile from you is the best medicine. mahondaw you know...
6 Reactions
73 Replies
7K Views
Wakuu poleni na majukumu, dhumuni la Uzi huu ni kutoa updates mbalimbali za sikukuu ya Krismasi kwa watu waliopo Kilimanjaro, hivyo wale wenye picha mbalimbali mnakaribishwa. NB: Mimi bado...
25 Reactions
967 Replies
67K Views
Vizuri havidumu, miaka ya 2010s Huu mtandao ulikuwa ukitoa net ya Bure kuanzia saa nne usiku Hadi saa 12 asubuhi. Wakati huo nlikuwa natumia modem nakesha fb, nimecheki sana sites za mapenzi...
2 Reactions
0 Replies
538 Views
  • Closed
mahondaw I still remember the first day we met, you were too shy to say much at all... mahondaw remember the first day when I saw your face, remember the first day when you smiled at me i stepped...
13 Reactions
397 Replies
28K Views
Bila shaka kuna watu hatuko nao leo hii ikiwa bado mioyo yetu inawaitaji, na kwa sababu mola ameamua kuchuka mavuno yake hatuna budi kukubali ukweli. Je kama mbinguni kungekuwa na Simu...
5 Reactions
6 Replies
847 Views
Kichwa cha habari chahusika. Je unawezaje kumpenda jirani mwenye kisirani? Karibuni.
3 Reactions
7 Replies
1K Views
Malalamiko yamekua mengi, tushirikiane kutakua hili tatizo.
16 Reactions
55 Replies
3K Views
Bukoba mjini bwana,,hakuna bar nzuri zenye totos kama maeneo kama mwanza ..busereser au biharamulo..Bar wanazosif ni Q bar au skyway au kishari lakini nimeangaliwa wahudumu ni wazee wa miaka 50...
4 Reactions
43 Replies
5K Views
Dating a guy whose surname starts with M is blessing, i mean M is for MARRIAGE, M is for MONEY ,M is MANSION Should i continue?🤷‍♂️😅.
2 Reactions
33 Replies
9K Views
Habari za mda huu waungwana, Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. Nimekuwa nikisumbuka sana juu ya laini yangu ya tigo kutopatikana na iko hewani. Watu tofauti walipokuwa wakinipigia...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kama unavyofahamika na wengi mfuko wa shangazi kaja hutumika kwa kubebea vitu mbalimbali either bidhaa ndogondogo za majumbani, sokoni, madukani n.k Lakini tuambizane kwenye upande wa fedha...
2 Reactions
15 Replies
2K Views
Wakuu poleni na miangaiko ya hapa na pale kuna mwanamke wa mtu hapa mtaani ananipenda sana anasema yupo tayari aachane mumewe ili aje kwangu na ukiangalia mumewe ni mwanajeshi na mimi nimemwambia...
3 Reactions
19 Replies
1K Views
Back
Top Bottom