JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Shemiji anaweza kuwa mke wa Kaka yako au nduguyo, pia dada zake na wadogo zake ni mashemeji. Binamu ni mtoto wa mjomba au shangazi. NB:- HAWA HUGONGWA KIMASIHARA
7 Reactions
64 Replies
13K Views
"Enyi wana wa nchi ya makinikia,sitamuondoa mkuu wa mji wa bandari salama hata kama haijui 'a',yeye ni mmoja wao wachapakazi na wengine waige mfano wake.Baada ya kusema hayo Bashite akatabasamu na...
72 Reactions
149 Replies
20K Views
Wakuu poleni na miangaiko ya hapa na pale kuna ex wangu nimeachana nae ni kama miezi 8 sasa tulitofautiana ila hatukufuta mawasiliano ila uwa hatuwasiliani sema yeye uwa anakomenti sana status...
3 Reactions
50 Replies
4K Views
Naingia Mtwara jioni hii kwa ziara ya kikazi siku tatu naomba kujuzwa lodge nzuri gharama isizidi 35,000 pia sehemu nzuri ya kupata bia mbili tatu ,kamziki katamu na wadada wazuri ambao sio...
2 Reactions
28 Replies
3K Views
Jamani eee upweke siyo mzuri hata kidogo Uzi tayari
2 Reactions
10 Replies
1K Views
Kunae mwanangu kila akiwa na jambo lake iwe nyama choma au kupata mchongo lazima aunde Whatsup group afu atuAdd. Tunae group kma nane [emoji23]
3 Reactions
7 Replies
497 Views
Hope mu wazima. Kwa sie wakongwe ni wapi viota vizuri vya kubarizi? Wakati mwingine katika umri huu kuanzia miaka 35 na kuendelea bila kubagua jinsia tunahitaji tena kurichaji mbongo zetu...
2 Reactions
13 Replies
916 Views
Hivi umewahi kugundua kuwa kuna wengi ambao wanajua UWEZO na WEMA wako ila hawakutaji kabisaaaa!!!. Ila kuna wachache ambao wanajua baadhi ya MADHAIFU yako na MABAYA yako na wanabidii sana ya...
2 Reactions
2 Replies
633 Views
Nataka kuoa mmasai naomba kujuzwa mambo kadhaa wawapo ndani ya ndoa
7 Reactions
202 Replies
66K Views
9th December 2021.
0 Reactions
4 Replies
787 Views
Heri ya uhuru wa Tanganyika watanzania wenzangu. Basi Leo niambie mwenzangu siku hii unaisherehekea ukiwa wapi? Tupia na kapicha basi tufurahishane. Me imenikuta nikiwa hospitalini .... Karibuniii...
2 Reactions
5 Replies
437 Views
Wakati tukienda mwisho wa mwaka 2021 na kuanza mwaka mpya wa 2022 sio mbaya tukishare mitazamo juu ya maisha yetu binafsi especially kwa kipindi kijacho ili kupeana motisha katika kutimiza malengo...
0 Reactions
12 Replies
765 Views
Kuishi kwingi ni kuona mengi na katika kuishi kwingi mtu anajipata anafanya makosa yanayoadhibu na wakati huohuo yanayokumbusha kuwa wakati mwingine anapaswa kuwa makini afanyapo maamuzi kimsingi...
4 Reactions
19 Replies
1K Views
Kuhusiana kichwa habari hapo juu, Msweet kama upo humu JAMII FORUMS naomba tuwasiliane kupitia DM. Usinielewe vibaya, kuna uzi uliutoa siku za nyuma siku za nyuma nimeuona siku za karibuni...
0 Reactions
1 Replies
416 Views
Hello there. Tarehe na mwezi kama wa leo The First Causation teamed up with my mom to create me. It was a privilege I didn't asked it I was in the cosmic gateway of Uknown and known.. just like a...
12 Reactions
36 Replies
2K Views
Kati ya hawa guys wafuatao ni nani anaweza akauteka moyo wa mwanamke easily? 1.FUNNY GUY 2.ROMANTIC GUY 3.RICH GUY 4.HANDSOME GUY
4 Reactions
109 Replies
6K Views
Upo kazini umeacha familia yako nyumbani mara ghafla unapigiwa simu kutazama unakutana na no ngeni na kuamua kuipokea ndipo unakutana na Sauti ya msichana ya kuvutia lakin kabla hajasema shida...
2 Reactions
8 Replies
857 Views
Mama niweke wapi hii sahani
1 Reactions
18 Replies
681 Views
Baadhi ya wazee wa Machame na wengine kutokea Boma ng'ombe watakuwepo Dar es salaam wakati wa Christmas na Mwaka mpya kwa kile walichodai kuwa ni kula sikukuu na kijana wao ambaye kwa mwaka wa...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Back
Top Bottom