JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Muda wa chakula hasa mchana na jioni huwa napiga sana miayo ambayo nashindwa kuelewa chanzo chake. Hii hali inanitokea ni Takribani wiki sasa na awali nilichukulia kawaida ila sasa inaniogopesha...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Ngoja tuoneπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… Mi natoa Bia😎😎😎 Tulewe kwa kwenda mbele
3 Reactions
59 Replies
4K Views
Habari zenu jamani
0 Reactions
1 Replies
922 Views
Muda sasa takribani mwaka na miezi nasumbuana na huyu kicheche. Kicheche huyu bwana ni kama alikuwa anatumwa, amekula viranga na kuku wangu sana, huwa anafumua nyavu za banda na kutinga ndani...
36 Reactions
159 Replies
22K Views
Kuna tochi hapo kwa Msuguri. Endesha kwa uangalifu
0 Reactions
7 Replies
796 Views
Sifa ya mwanaume ni kulipa gharama na si kulipiwa. Kukubali kulipiwa ni kuuvua uanaume wako na kuamia upande wa jinsia ya pili. Hata kama umetolewa 'out' na rafiki yako, jitahidi angalau...
4 Reactions
8 Replies
1K Views
I believe that this question is quite important because everyone should devote time to the body. I mean health care, medical examinations, and so on.
0 Reactions
0 Replies
373 Views
Najua wengi wetu tunaifaham hii pubnmpya lakinu maarufu sanaa haa Tanga. Leo nakula windhock mambo yangu yako vizuri kama si kosei hii chupa ya 6. Ninazo 4 zinasubiri makamuzi hapa mezaji...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Je, ni Tabia Gani hupendi au unapenda ukiwa safarini Binafsi Napenda kukaa na binti nikiwa safarini ila asiwe na Smartphone kubwa kunizidi. Utakuta wewe una Tecno pop2 F harafu yeye ana iPhone...
27 Reactions
226 Replies
12K Views
Baada kupata crisis za bundle hapo March 3, ilikuwa ni mtihani mzito kwa sisi (TEAM POPO) au wazee wa bundle. Za usiku kwan bundle hizi ziliondolewa na mitandao mingi hili. Ilinipelekea ugumu...
6 Reactions
31 Replies
37K Views
Unakumbuka nini kuhusiana na gazeti la sani mwishoni mwa miaka ya themanini na mwazoni mwa miaka ya tisini? Nimekumbuka enzi zile za gazeti la SANI, jamaa walikuwa wabunifu sana kwa matoleo...
2 Reactions
350 Replies
87K Views
Aisee hii ni kero kwa kweli yaani kwa siku tunapata umeme kwa masaa machache tu. Kama ni mgao basi mmetisha sana, vifaa vinaungua na hakuna fidia yoyote inayotolewa...
2 Reactions
10 Replies
686 Views
Mwanamume wa kimasai aliingia katika benki moja huko Nairobi Kenya kwa lengo la kuomba mkopo. Alimwambia afisa wa mikopo kuwa anaenda Dubai kikazi kwa wiki nne na anahitaji kukopa 5,000 Ksh...
8 Reactions
5 Replies
3K Views
-Matatizo ndio mlo wangu kila siku, -Pesa hazikamatiki, -Maisha yananizidi kimo, -Nafukuzwa kila mahali na migambo wa jiji sifanyi biashara zangu kwa amani, eti nachafua jiji, -Maji shida, -Umeme...
1 Reactions
2 Replies
810 Views
Here's where the world's 1.4 billion cows live This one's straightforward: The density of cattle is highest in India, in east Africa, in northern Europe, and in South America. China's got plenty...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari za Jumapili? Naombeni ushauri, je utajuaje huyu mwanaume sio mapepe ni kakupenda kimaukweli?
2 Reactions
40 Replies
3K Views
Mapenzi ni mchanganyiko wa mambo na masuala mengi sana ikiwa ni pamoja na maneno ya kutamka na kuandika, zawadi, na mambo mengine mengi. Kama ndivyo wewe member wa JF ni nani unayehisi kuwa kwa...
5 Reactions
979 Replies
54K Views
Dada zetu mpo? Huu uzi ni wenu tunaomba mseme ukweli kuna mwanaume wa kukupa 50k cash zama hzi? Ukimwelezea shida zako, matatizo mwanaume wako anaweza kukupa 50k bila kinyongo?
3 Reactions
63 Replies
4K Views
Life is so good now, kila kitu tunagawana. Maji tunagawana, umeme tunagawana, Barabarani tunavumiliana na dizel tunachoma. Kwa kifupi life is so good now. What do you think?πŸ˜€. Kama hujaoga...
0 Reactions
6 Replies
530 Views
Tafadhali mwenye kujua alipo, au mwenye mawasiliano nae tafadhali anipatie pm, kuna Headmaster mwenzie waliachana miaka hiyo ndo anamtafuta sana.
0 Reactions
7 Replies
693 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…