Katika hali ya kushangaza kampuni moja imejitokeza na kutaka kuandaa vita vya amani kati ya wapare na wachaga. Kampuni hiyo inayomilikiwa na boss mmoja wa kipare iliyosajiliwa nchini Norway...
Kwanza kabisa
1. Chekereni: hili lilitokea na neno "chek rain" eneo lina maji mengi sana sina historia ndefu na eneo hili, wajuzi watanisaidia.
2. Maimoria: hapa ulikua uwanja wa Stefano...
Habari za asubuhi wana..
Huku duniani kuna watu nahisi wana matatizo ya kiakili na wanahitaji kumuona daktari.
Kuna hizi tabia nachukia sana kama mtu kuongea na mimi hadi akusonge...
Maongezi kati ya Mama na binti yake
Binti; Mama leo nimemkomoa Juma, si ulisema akija nisikubali kupanda juu ya mpera kwasababu nia yake ni kunichungulia nguo ya ndani?
Mama; Nikweli kabisa...
Umuofia kwenu?
Kuna hawa mbuzi wanajichunga wenyewe utawaona kwa makundi, sana sana maeneo ya Mbagala Kizuani, Zakhem mpaka Rangi tatu.
Mwembeyanga na zamani maeneo ya Tandika mpaka Mtoni na...
Nimegundua kitu watu huwasilisha ujumbe kwa kupitia profile picture zao,na moja kwa moja aidha ujumbe husika mara nyingi huwa unamhusu mtu husika. Kinaweza kuwa kitu unachokipenda au ambacho...
Nimegundua wote wanaogawa hela kwa kutupa kwa mashabiki kwa asilimia kubwa kama sio wote duniani, ni watu wenye asili ya kiafrika (watu weusi). Sijajua kwa nini sisi weusi tunakuwa na akili za...
Kiukweli nimekumbuka sana Kalenga kwa Chifu Mkwawa.
Hivi huko kwingineko duniani kuna kinywaji bora kama Tanzania One Ulanzi
Kinywaji cha asili bamboo juice tofauti kabisa na mbege
Mwanaume anayetambulika kwa jina Jamiu, mkazi wa Ijebu Ode, katika jimbo la Ogun nchini Nigeria, ameshutumiwa kwa kumuita mke wa mtu, Opeyemi Adegbesan "babe", jina ambalo sio analolitumia katika...
Kama ulimwengu ukibadilishwa na kuwa quantified kama computer data, je, ni taarifa kiasi gani zingehitajika kutengeneza programme ya kugenerate ulimwengu, in terms of GB?
Wakulungwa huyu paka amekuwa maarufu Sana MITANDAONI kiasi kwamba siku haiwezi kuisha bila kukutana naye.
Kama umekutana nae huyu msela paka, TUPIA picha yake tuone ni maswaibu gani yanayomkuta.
Habari wakuu,
Naleta kwenu ombi langu. Natafuta marafiki wa kushare nao ideas kuchat nao, kuhang out; yaani kupeana company kwa kweli nmechoka kuwa mpweke. Naomba km uko ready slide my PM...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.