JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Habari wana JF Je, wewe member mwezangu unampa tuzo member gani ya heshima mwaka huu? Toa na sababu itapendeza zaidi
2 Reactions
44 Replies
2K Views
Kwa sisi wana JamiiForums wa vijijini ambao toka tuzaliwe hatujawahi kukanyaga Hilo jiji hebu tukutane hapa na kufarijiana maana wanadarisalama wanatudharau Sana. Jambo moja kubwa ambalo naamini...
5 Reactions
53 Replies
3K Views
Taja vitu au mambo ambayo unadhani ni weledi wa kitanzania pekee.
0 Reactions
7 Replies
756 Views
Naamini kila mmoja wetu anachukua tahadhari kujikinga na COVID 19. Je, mhenga mwenzangu unakumbuka dMt, Co cabs, MORETCO, TADECO, CORETCO? Je, unakumbuka magazeti gani ya zamani, ambayo ukiwa...
3 Reactions
250 Replies
19K Views
Unakuta mwanaume hana hata passport. Hajawai jata kutoka nje ya nchi hata Kenya tu awajawai kufika. Mwanaume hana exposure. Hivi mwanaume unakosaje passport? Mwanaume unakosaje kutoka nje ya nchi...
2 Reactions
27 Replies
2K Views
Advocate Rwankomez Bushoke Batamuzi, Mhaya wa Ruita Muleba ameenda kwenye harusi ya Muganyizi Byejumula Mulokozi, alivyotaka kuegesha gari yake ikawa hivi:- Mhaya – nionyeshe wenye Harrier...
1 Reactions
1 Replies
432 Views
Kuna uvumi kuwa namba arobaini, ina Siri na maana nyingi, mtujuze tusojua.
0 Reactions
2 Replies
36K Views
Nipende kuomba radhi kwa kupotea jamvini kwa muda. Sababu kubwa ni majukumu mengi niliyopewa. Wakati muafaka ukifika nitarejea. bado misimamo yangu ni ile ile na kamwe haitobadilika. KWA HISANI...
3 Reactions
37 Replies
1K Views
Anaingia akiwa timamu, Busara na hekima za hali ya juu lakini kadri muda unavyoenda sasa[emoji116] Binti yangu Hujambo? Naomba niletee bia.(ya kwanza) Dada njoo naomba ya pili We Mhudumu, lete...
5 Reactions
9 Replies
1K Views
Habarini wanajamvi, Acha kwanza nicheke hahahahaahaa na huo msemo tajwa hapo juu zamani kipindi kile nasoma nilikuwa nawasikia tu maBro wakisema dogo sina hata mia mimi kwa uelewa wangu mdogo...
0 Reactions
1 Replies
718 Views
Jamii Forum, mahusiano, hivi kumuomba msamaha mpenzi wako wakati hujamkosea ni sawa au ni unafki tu? Hii haihusiani na maisha yangu acheni umbea sasa [emoji23][emoji23][emoji23] Tuelemishane...
1 Reactions
8 Replies
836 Views
Habari zenu wana JamiiForums. Mimi ni mzaliwa wa hapa dar es salaam lakini sio mtu wa kwenda mahali bila kua na misheni maalumu, napata tabu kwa kushindwa kujua maeneo gani tulivu ambayo siku...
0 Reactions
9 Replies
836 Views
Inakula mafuta kiduchu sana.Unaenda nayo popote kuanzia sokoni,kazini,kanisani hadi kwenye kula kitimoto. Inapita popote katika majira yote ya mwaka. Changamoto: Haina siti/kiti cha kuwapa watu...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Bia tamu Shusha zako hapa
2 Reactions
31 Replies
1K Views
Dear future wife ,where are you mida hii ? I hope upo nyumbani tu mtoto mzuri ,unaangalia movies au unasoma comments insta then ulale au unaandaa nguo za kwenda kusali kesho ,ila kama unaandaa...
5 Reactions
26 Replies
3K Views
Binafsi mpaka ianze kujizima yenyewe ndio inakuwa pumziko lake.
2 Reactions
14 Replies
758 Views
Tuambiane ringtone za simu yaani means mziki ambao simu yako inaitia maana ukitazama kwa makini hio song ndo itakuwa Ni song unayoipenda kuliko zote.mimi notification ikiingia au call Basi...
0 Reactions
27 Replies
2K Views
Simu haina charge nikifika kama kuna umeme nitakupigia (umeliwa) Naenda kumsalimia Shangazi sema kwake hakuna umeme (umeliwa) Leo nawahi kulala kesho jumuia (umeliwa) Unatumiwa good night saa...
5 Reactions
25 Replies
2K Views
Kuna jambo nimelikumbuka wakati nafanya mazungumzo na wafanyakazi wenzangu leo. Tulikuwa tukijikumbusha visanga na mambo mbalimbali ya miaka ya nyuma wakati tukisoma. Ni kuhusu kujaladia...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
USIPENDE KUTUMIA ALAMA HIZI BILA KUZIELEWA . HIZI NI BAADHI YA ALAMA NA MAANA YAKE:- [emoji173] pendo la moyoni [emoji182]busu zito [emoji177]pendo changa [emoji105]busu la pozi [emoji175]pendo...
9 Reactions
20 Replies
71K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…