JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Habari wakuu, JF hom of great thinkers. Kama heading ijielezavyo, ni kipi kipimo sahih cha akili? Au mpaka tuseme fulani ana akili tunazngatia vigezo vipi? Kuna uhusiano gan kati ya akili ya mtu...
3 Reactions
28 Replies
3K Views
Habari wakuu! Baada ya kusoma threads tofautitouti hatimae limenijia hili swali Hivi JamiiForums kuna wachamungu humu?
11 Reactions
117 Replies
4K Views
Miaka 4 iliopita nilikuwa mlevi wa kupindukia, nilimtesa sana wife, kurudi saa 9 usiku kwa sana, umalaya n.k, hom nilikua naacha 2000 na tuna watoto 3, wife alilalamika snaa na mwisho nikahama hom...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Habar zenu wakuu , natumai mko poa Daah aisee ni hivi kweli mda mwengine shetani anazidiwa Juzi wakat nipo safarin hivi mkoa flani tulifika late night stand so kwa sisi ambao hatuna wenyeji...
17 Reactions
190 Replies
20K Views
Suti Blanketi Shuka Suruali Shati Underwear Mtumba(wowote) ONGEZEA tafadhali!
0 Reactions
5 Replies
905 Views
Ndo maana tumekuwa na wasiwasi Sana kila tunaposikia taarifa ya msiba.ukweli Ni kwamba tunajiua wenyewe.kifo nakifananisha na jinsi samaki u avyomvua na Kisha kumuua na kumpika ndo kifo au niseme...
2 Reactions
4 Replies
591 Views
Wakuu tuvae sox hiko kifurushi changu cha wiki Naupiga mwingi sana Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
0 Reactions
11 Replies
860 Views
Habari zenu wakuu, jamani new brides and grooms naomba liwafikie hili, mwaka Jana classmate wangu alikua anaoa.. nikapewa KADI ya kamati na umaskini wangu nilijipiga laki nzima. Shuwaini...
11 Reactions
17 Replies
940 Views
Hatua kwa hatua mapishi ya mbege. Mahitaji kimjini mjini 1. Ndizi mbivu 2.ulezi 3.msesewe 4.mkaaa 5.ndoo walau 4 5. Maji Chukua ndizi mbivu zilizoivaa kabisa na kulainika sana,zimenyee kwenye...
4 Reactions
41 Replies
5K Views
NAITUPIA LAWAMA SIMBA "WEKUNDU WA MSIMBAZI" KWA KUMLIZA MESSI HADHARANI. Baadhi ya vyombo vya habari vya Hispania na Argentina vimedai kama Leonel Messi wa PSG angekubaliwa kujiunga na Simba SC...
1 Reactions
8 Replies
935 Views
Nime kuwa nasikitika sana kuona wanaume wenzangu wananaua tumidori vigari vidogo sana havina nafasi Ist,Vits na ndugu zake wakina passo n.k tupambane tutafute hela tununue BMW V8 PRADO n.k
7 Reactions
107 Replies
5K Views
Kwema Wakuu!! Masalia wa adui zangu mjiandae. Katika sherehe za Mwezi wa Damu, ambazo zitaanza 09August na kuisha 10November. Sherehe zitavurumushwa Kwa miezi mitatu mfululizo. Masalia wa adui...
0 Reactions
21 Replies
2K Views
Wana bodi JF, Tupia clip ya audio, video au picha iletayo faraja, kicheko au tabasam ukisindikiza kwa na ujumbe mwanana mahususi kabisa kwa yule ulie muona Leo akiwa stressed na siasa za hapa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Je, ni kupitia ngono kupunguza hisia zenye frustrations? Je, ni kwa kuswali na kusali? Je, ni kwenye michezo, simu au wapi? Je, ulipataje amani ya kudumu?
1 Reactions
7 Replies
592 Views
Yaani sijui ni mitandao na zile filter za apps.ndo zinawapa kiburi na kujiona wazuri, wajanja, watamu, matajiri. Sasa ukikutana nao show show duh, utabaki upaliwe mate kwa kucheka na...
1 Reactions
26 Replies
2K Views
Habari wakuu! Kama swali linavyojionesha hapo. Bongo tumejaaliwa natural resources... Bongo tumejaaliwa enough power sources Wabongo tumejaaliwa akili Lakini kwanini Bongo hatuna viwanda vya...
0 Reactions
1 Replies
417 Views
Hivi kweli kwa maisha haya ambayo ukiugua corona huchukua round mnapata wapi ujasiri wa kufurahia maisha na huku mnasema watu wanatembea sio mchezo. Mimi binafsi nilitegemea sasa hivi muwe...
4 Reactions
8 Replies
514 Views
Lips zako ni za ku-kiss πŸ’‹πŸ’‹πŸ’‹πŸ’‹πŸ’‹ ama ni za kupoesha uji MotoπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Leo ni siku muhimu katika historia ya Maisha yangu, ndiyo siku ambayo Mwenyezi Mungu alinileta duniani kupitia wazazi wangu Bi. Asteria Kapela na Mzee James Bukumbi (wote marehemu). Napenda...
0 Reactions
0 Replies
809 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…