JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Wagonjwa wa akili walipanga jinsi ya kutoroka hospitali. wakamua wampige mlinzi, wamnyang'anye funguo, wafungue mlango, wakimbie. walipofika mlangoni hawakukuta mlinzi na mlango ulikuwa wazi...
1 Reactions
0 Replies
901 Views
Kwa mfano mkeo anaumwa na amefanyiwa operesheni, na hatakiwi kuguswa kwa zaidi ya mwaka. Je, inawezekana kuvumilia? Swali hili ni maalum kwa wanaume tu
1 Reactions
125 Replies
15K Views
Mwekezaji wa ndani anayemiki bar ya vyakula na vinywaji inayojulikana kama The Picnic (Ngome Kongwe)iliyopo Kaloleni jijini Arusha, Antony Urasa ameishauri jamii inayotoa huduma kama zake...
9 Reactions
25 Replies
4K Views
Siku ya jana nimekua engaged. I'm so happy and so is my family. Nahisi kama sipo juu ya dunia nahisi nimeingia ndani ya dunia kwa furaha niliyo nayo. I can talk about it forever. Nataka niweke...
19 Reactions
187 Replies
10K Views
Ni wazo tu limenijia, Kama unaweza kujua ni thread gani imepata wachangiaji wengi kwenye jukwaa lolote.
1 Reactions
11 Replies
706 Views
Hizi nyumba za mabati sio nzuri ukitafuta usingizi unaskia panua niingize alafu unaskia masauti ya kutamanisha ukuta wa mabati unatingika. Wewe vile hijafanya mapenzi mda mrefu unapeleka maskio...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Katika mambo yangu ya kimaisha na kiuchumi i have reached one of the highest stage of thinking. Unajua inapofikia hatua unaota ndoto unajadiliana na wawekezaji tena ndoto nzima unaota kwa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Eid Mubarak. Kwa kweli sijui ni nani aliasisi, jumamosi na jumapili kuwa siku za mapumziko?. Ukiangalia jumamosi ni siku ya ibada kwa wasabato, jumapili ni siku ya ibada kwa wakatoliki na...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Hivi inakuaje watu hasa Wadada wanakomaa kutumiwa Pesa ya Idd? Umefunga wewe Idd wanaomba wengine na wanakomaa kweli kweli utasikia nataka Idd yangu. Nitumie Idd yangu, mpaka inafikia hatua ya...
4 Reactions
15 Replies
1K Views
Vyakula ndiyo vinaanza Kupikwa sasa tafadhali wengine hatujaalikwa ila kuna sehemu kadhaa dalili zote za Pilau zinajionyesha je, tutumie Mbinu gani ili tulazimishe Kualikwa? Kama sijaalikwa Leo...
2 Reactions
18 Replies
994 Views
Unywaji wa KAHAWA hauleweshi na kuiondoa AKILI NA UTAMBUZI WA MWANADAMU..... Unaweza kwenda kijiweni ukiwa na shilingi yako 100 kwa lengo la kupata KIKOMBE KIMOJA TU ilihali nafsi yako inataka...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Kitu chochote tu akikisikia ama kiwe hakichekeshi au kweli kinachekesha atatumia muda mrefu 'kuchekacheka' huku 'akirembua' Macho yake. Na hata akienda Kuchota Maji Bombani utaona akijifunua...
4 Reactions
39 Replies
3K Views
Kwa wanawake naomba mtambue ya kwamba, Kuna makundi matatu ambayo wanaume wana wagrade wanawake walionao:- 1.Mwanamke ambaye unaenda nae geto mwenyewe. 2.Mwanamke ambaye unamwambia ampe bodaboda...
2 Reactions
5 Replies
656 Views
Nawatakia Sikukuu ya Eid El Fitr yenye baraka na furaha wanajukwaa wote wa hapa Siasani. Eid Mubarak!
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kwa heshima kubwa! Ninaomba shindano la kumsaka miss Jamiiforums lirejee katika mtiririko wake!Sheria ziwekwe wazi, mambo yawe wazi! Wadhamini wawe wazi na mwisho wa siku washindi wapewe zawadi...
2 Reactions
328 Replies
17K Views
Wana JF Habari za weekend Nawatakia weekend njema sana yenye baraka na fanaka MUNGU AWAEPUSHE NA MABAYA YOTE
4 Reactions
40 Replies
2K Views
Wale ambao wazazi walitusimamia na wakatufundisha hardwok, nidhamu, kuwa busy na mambo yako. Lakini mitaani maofisini na kila maeneo unakuja kugundua kumbe hardworking alone sio dawa. Watu...
16 Reactions
27 Replies
2K Views
Jeff aliishi na bibiye kwa chumba na watoto wawili usiku wakati walingoja watoto walale ili kufanya ngono. Walipokua wakifanya kitanda kilitetemeshwa hadi mtoto mmoja alianguka. Mtoto akaambia...
4 Reactions
10 Replies
1K Views
Nina wazo ndugu zangu mnaonaje tukihamasisha mtandao wa JamiiForums uwe mkubwa kuliko hii ya kimataifa hapa nchini maana naonaga sana watu Wengi wanatumia Facebook na Instagram wengi sana...
2 Reactions
7 Replies
623 Views
Back
Top Bottom