JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Wakuu bila shaka mpo poah! Leo nimeamua kufunguka kitu ninachojiamini nacho humu JF ambacho nawashinda watu wote. Katika jambo hili nimeshindikana, mimi ni championea ambaye kwa sasa sina...
9 Reactions
62 Replies
4K Views
Wenyeji wa Dar Es Salaam mtusaidie tuijue Dar.Mtuchombeze tujue Dar inakaaje. Kwasababu huku country side tunasikiaga tu Mara Buza kwa mpalange,mara Tandale kwa mtogole. Mara matajiri wanaishi...
0 Reactions
2 Replies
493 Views
Kuna majina ukiita kwa kifupi yananoga nyie acheni yaani hata kama unamtajia mtu hata kama hamjui au hajawahi kumuona basi atatamani amuone kwa jinsi jina lilivyo romantic, mifano hii hapa Shunie...
0 Reactions
34 Replies
3K Views
Ndugu Wanachama tunawatangazia tutakuwa na Mkutano Mkuu wa chama, VAT tarehe 13/02/2021, Jumamosi AGENDA: Hesabu za mapato na Matumizi ndani ya chama Kupokea Wanachama Wapya...
7 Reactions
129 Replies
17K Views
habarii wadau, imekua ni kawaida cku hz kuona mademu wengi wanapenda kwenda kuogelea kwenye mahoteli, vilevile wengine wanapenda kwenda gym kuchukua mazoez au hata wengine kufanya joging,,,hv kuna...
1 Reactions
34 Replies
6K Views
4 Reactions
17 Replies
1K Views
Habari! Wengine wanaendelea kusema dunia simama washuke ila sisi acha tujaribu kukumbuka hapo awali ilikuwaje. Na imani kuna wengi watakumbuka matukio mengi kwa kipindi kile suruali ilikuwa ni...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Hizi ni safari zote zinazotumia muda mrefu kwenye basi kama za kutoka Dar-Mwanza, Dar-Kagera, Dar-Tabora, Dar-Kigoma na kadhalika. Ndugu zangu nawaambia unapomruhusu hizi safari awepo mwenyewe...
4 Reactions
47 Replies
3K Views
Habari za mida hii wadau!? Yani nipo napiga hesabu nifanyeje haya Maisha naona yanazidi kupiga chenga tu halo inakuwa ngumu, ukimuomba mtu hela anasema mitano tena sasa hiyo mitano tena ndo...
0 Reactions
1 Replies
548 Views
Habari Jf, Hapa unaruhusiwa kucomment matukio ya furaha ulio wahi shereke kipindi fulani either na mchumba, mke, wazazi, marafiki na jamii kwa ujumla. Tuambie ni tukio gani lililowahi...
0 Reactions
4 Replies
453 Views
Wengi nikiandika humu maisha yangu wanadhani mimi ni tajiri. Wala si tajiri. Maisha ya kumiliki gari GMC,RR,Mercedes Benz, BMW, VW za miaka ya hivi karibuni na kukaa apartment Oysterbay si...
42 Reactions
80 Replies
9K Views
Unajua kutumia ndege kunachosha sana. Binafsi nmepanda ndege kwa safari mara nyingi kuliko hata kiwango ambacho nimetembea kwa miguu kwenda umbali wa kms 5. Mpaka inachosha.sioni jipya kwenye...
26 Reactions
58 Replies
4K Views
Moja kwa moja member kwenye mada member hawa 5 ndio wenyewe hoja zenye mashiko ndani ya kipindi hiki Cha mwaka 2020 Waki'Comment au kuanzisha bandiko lazima utulize kichwa Tunaanza na....÷...
13 Reactions
122 Replies
7K Views
Nampongeza sana Rais kwa kuishinda Vita dhidi ya Coronavirus COVID-19, pia nampongeza sana Paul Makonda Mkuu wetu wa mkoa wa kihistoria kutokea tangu tupate Uhuru. Jumapili ni siku rasmi ya...
20 Reactions
63 Replies
5K Views
Mke amemchoma mumewe kisu baada kusikia mumewe akitaja majina ya wanawake 'god thanks 4 ur grace,joy,mercy thanks 4 mkng me to be happy' pumbav wnawake wote hao..!!
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari zenu wananzengo mimi ndege John nimebarikiwa kuwa na duka dogo la mazao Na vinywaji,genge, saloon ya kiume Na Nina mpango wa kufungua duka la jeans mwezi wa pili mwishoni kwa ujumla vyote...
1 Reactions
7 Replies
4K Views
Naingia zangu facebook naona wameniandikia kuwa kuna ujumbe mpya moja. Nafungua nakutana na ujumbe wenye picha pekee kutoka kwa msela mmoja ambaye tuliwasiliana kupitia hiyo hiyo facebook siku...
10 Reactions
30 Replies
2K Views
Wakuu umofia kwenu? Nauliza iwapo nikichemsha tangawizi km dakika 5 hivi , je inaeza kupungua nguvu au virutubisho vyake? Maana nataka niinywe then nikamsugue demu
0 Reactions
17 Replies
1K Views
Ni 'Mbabe' ambaye Kiukweli alinipa Jukumu la Kutunza Nyumba yake nzuri ila Mimi kwa tamaa zangu ( japo ni Mchapakazi mzuri tu ) nikawa nachukua Magari yake ya 'Kifahari' na Kutamba nayo Mitaani...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Mwaka 1987 timu ya Taifa ya Kenya Harambee Stars kulikuwa kuna Mchenzaji anaitwa Otieno Mboo, Walifanikiwa kufika fainali ila huyo Mchenzaji aliumia mechi ya Nusu fainali, Magazeti ya kenya...
3 Reactions
2 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…