JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Wakuu ona Mimi nikiwa kijiweni kwetu stori zangu nyingi huwa Ni za kutoka JF.Nawaambiaga masela kuwa Mimi nafahamika Sana jf.ona nawaambia kila member kutoka sehem mbalimbali ndani na nje ya nchi...
5 Reactions
50 Replies
3K Views
Unaponiona busy na simu jua Jonii nipo JamiiForums amini kwamba hamna kitu kizuri kwangu Kama JamiiForums na sina uadui na yeyote kuanzia Genta mpaka Mayala wote nawachukulia kama ma braza zangu...
3 Reactions
6 Replies
485 Views
WEWE UNA KIPAJI/ VIPAJI GANI? Habari wadau. Kuna mtu mmoja niliwahi kumsikia akieleza kuhusu aina 7 za vipaji. Sikufuatilia sana lakini naamini kuwa kipaji kinaweza kukusaidia kutimiza kusudi la...
0 Reactions
48 Replies
4K Views
Kuna jirani yangu hapa kanunua gari Ila sasa mimi rangi ya gari yake sijaipenda, nifanyeje?
6 Reactions
19 Replies
2K Views
Wana chitchat, kumekuwa na Kama tabia fulani hivi ya makabila fulani kupenda kuishi maeneo fulani kwa wingi hapa Dar mfano ni Kimara, Kiluvya, Ubungo wengi wao ni 'Wachagga'. Kitunda wengi...
1 Reactions
37 Replies
7K Views
Kila mtu ajiandikishe kwenye chama chake hapa hakuna kwenda kwenye chama cha mwenzako na ni lazima kuwa mzalendo (A) BACHELA (B) MJANE (C) SINGLE MAZA (D) MENGINEYO (matatizo binafsi) (E) SINGLE...
3 Reactions
56 Replies
2K Views
Yewomi eeeeh, yewomi eeeeh, yewomi eeeeh Christmas cha mshikha. Wachaga tutafute hela aisee muda wa kurudi kwetu umefika, nyama choma na bia lazima viwepo.
0 Reactions
5 Replies
573 Views
Baada ya kukaa na house boy kwa miaka 10 bila shida. Baba mwenye nyumba akaamua kumzawadi house boy, lakini alitaka ushauri kutoka kwa mkewe. Mume: Tumpe zawadi gani? Mke: Tumtahiri!!! 🥱🥱🥱🥱🥱
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu Kama mnavojua wanaume tupo na msisimko muda wowote iwe asubuhi,iwe kanisan,iwe popote hisia zipo karibu Sana.Sasa Mimi Leo na haka kamvua Hali ya hewa inaridhisha na kuruhusu ndo Sasa...
0 Reactions
24 Replies
2K Views
Kuna maajabu gani kwenye miguu siku hizi wengine mnatuwasha oblongata zetu tunaanza kufikiria madudu fulani yanaitwa footjob.miguu yenyewe mitamu mitamu yote tutakuja kuila shauri zenu.
1 Reactions
91 Replies
6K Views
Nini lengo la mpasuo kwenye sketi za wadada/wanawake? Mwenye majibu anieleweshe, bado mgeni hapa mjini
1 Reactions
52 Replies
9K Views
Tunafeli wapi mpaka sasa hivi hatujafanikiwa hata kutia binti wa Watu ujauzito. Tuweni serious jamani tuache kutoa mbegu kwa mkono tuzipeleke sehemu sahihi na sisi tuitwe baba
11 Reactions
33 Replies
3K Views
Salaam wapendwa. Moja kwa moja kwenye mada. Wadada mtuelewe wanaume, sio kama tunapenda kuchepuka au kuwa na wanawake wengi bali wengi wenu siku hizi mnatufanya tuchepuke au kuwa na wanawake...
7 Reactions
53 Replies
4K Views
rafiki na wapendwa wangu!leo ni siku yangu ya kuzaliwa Namshukuru sana MUUMBA kwa baraka na baraka tele alizonijalia na pumzi anazonijaalia toka nilipozaliwa mpaka sasa HAKIKA SIFA NA...
20 Reactions
197 Replies
11K Views
Habari zenu. Naomba kujua kutoka mtu anayejua nipande Daladala ipi kutoka Aga Khan kwenda Bamaga.
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Nipo Ofisi za Uhamiaji hapa, ninasubiri huduma ila mtandao unazingua hivyo huduma zimesimama. Kuna watu wa kila rangi hapa, na wengi wanaongea lugha ya Malkia, ninapata hisia fulani kama vile...
2 Reactions
2 Replies
596 Views
Mimi haya kwangu ni maeneo ya hovyo ambayo siwezi kukaa Mbagala Kiwalani Buza Temeke Vikindu Vingunguti Mwananyamala Tandale Magomeni Manzese Tabata ToT Chang'ombe Buguruni Haya maeneo kwangu...
4 Reactions
56 Replies
4K Views
Mimi naamini humu ndani wote tumewahi kukutana na vibunda kwenye ma deal yetu makubwa yaani namaanisha mzigo wa maana milioni kwenda mbele kwa mara moja paap. Maana humu Wengi Ni wafanyakazi...
1 Reactions
16 Replies
814 Views
Huyu mwanaJf mwenzetu kikulachochako Ana upeo mkubwa Sana Kama una shida na matatizo na unafikiri ungehitaji ushauri basi Ni vema ukamuona.hajanituma nimsemehe ila me huwa siwezi kuficha hisia...
1 Reactions
12 Replies
671 Views
Kwakweli Mimi Mahusiano yangu ni Movie ya kibongo, Roho saba. 😁😂🤣🤣 Tiririka hapo
5 Reactions
48 Replies
3K Views
Back
Top Bottom