JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Hivi waungwana waa JF Kuna mlio mzuri mwingine ukiachana na "triiiiiii" wa ATM
0 Reactions
0 Replies
769 Views
Niliacha kuvuta bangi tangu ile siku nilienda msibani wenzangu wanalia mimi nikawa naimba happy birthday to you.. 😂😂
5 Reactions
15 Replies
2K Views
Zuzu mmoja aliamua kuvamia msitu wa serikali ambao upo kwenye mlima kavuna miti yote kisha kanza kuchana mbao wakati anachana mbao kumbe polisi wameshapewa taarifa walipomkuta wakaanza kumhoji...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Ndugu yangu kasoma Ulaya miaka mitatu. Alikuwa akiniambia ana totoz pisi kali ameoa kabisa. Wamefika airport DSM majuzi, nimeenda kuwapokea. La karibu nianguke! Bibie ana macho utafikiri...
1 Reactions
2 Replies
544 Views
Ilikuwa lini na sababu ilikuwa nini (kama unafahamu) Aisee ugomvi sio mzuri kiiuiivyo. Nimekumbuka siku nilipomshuhudia jamaa amepigwa roba anashindwa hata kupumua (kudadadeki) Afu watu...
2 Reactions
41 Replies
3K Views
Jamani mpooo..? Huku kujifanya ujuaji kwa kuona pasipo kujiulizaa,kaazi kweli,mm nimehitimu mmu, Arusha. Mara ya kwanza kuingia humu nikakutana na neno wana MMU, mi nkajua moja kwa moja ni...
0 Reactions
24 Replies
5K Views
Mshana Jr na @demiss
9 Reactions
25 Replies
2K Views
Dunia ina mambo na vijimambo nami nashukuru nimefanikiwa kushuhudia vituko vingi mno maishani mwangu. Ni majuzi tu hapa nimeshuhudia kisanga cha aina yake baada ya kalio la jirani yangu kuzua...
5 Reactions
29 Replies
7K Views
Hakuna kitu kizuri kama kumbukumbu, japo kuna kumbukumbu mbaya na nzuri. Yote ni mipango hatuna budi kushukuru. Je, mwezi uliozaliwa kuna matukio gani makubwa yanayokumbukwa duniani?
0 Reactions
18 Replies
963 Views
Wanawake wengne hawajui kutumia emoji utaskia baby nakupenda 😠👿👹😡
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Wakuu tuko pamoja? Kama unaamini katika huo msemo, hebu tuambizane: Kabla hujapata pesa ulikuwa na tabia zipi ambazo sasa umebadilika? Au kama bado hujazipata, ni tabia gani ambayo unaitamani...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Kwa waliosoma Tamthiliya ya Mfalme Juha (Farouk M Topan) nchi ilivyokuwa inaongozwa na sheria zake tukumbushane. Kuhusu sheria . Watoto wa bibi kizee walienda kuiba nyumba mbovu ikawaangukia...
5 Reactions
22 Replies
6K Views
Nawasilisha kama kichwa kinavyosema. Hilo neno ndio identity ya JF kama hujawahi kulitaja iwe topic au kwenye comment yeyote nakupa million sasa hivi. Yataje maneno mengine hapa ambayo ni identity.
4 Reactions
205 Replies
9K Views
Mwanafunzi mmoja alikuwa anavutiwa kimapenzi na mwalimu wake ambaye alikuwa ni mrembo haswa. Basi siku moja mwalimu yule alitoa test. Yule mwanafunzi akachomekea na barua yenye ujumbe wa mapenzi...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Wale wadau wa kuishi geto pale ambapo unapigiwa simu na mdau au ndugu anasema anakuja kwako. Naomba ujibu kama mtu ambaye hutaki wageni kabisa. Mimi najibu "Nina mishe nyingi ndugu nitakuja tu...
3 Reactions
14 Replies
855 Views
Upo kiwanja gani ( SEHEMU YA BURUDANI SHANGWE ) mwana JF .. tujumuike kuinuana 😇
1 Reactions
88 Replies
6K Views
Napenda kuwapongeza mmekuwa selection yangu ya kwanza hapa Jf. Kwa muda wote toka nipo Jf sijawahi kuangukia pm iliyowazi. Kuna watu huwa natamani tuzungumze nje na huku jukwaani ila kila...
8 Reactions
238 Replies
8K Views
Kuna misemo mingine mimi naona wahenga kama walikosea namna ya kuisema ili iweze kuleta mantiki katika kufikisha ujumbe husika. mingine haikuwa na maana yoyote kuwekwa kwenye kamusi ya methali au...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom