JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Hio ndo sms pekee ambayo huwafanya wanawake wafurahi, wahisi wanapendwa sana, wasahau shida za dunia nk. Dada zetu nadanganya??
2 Reactions
16 Replies
2K Views
Toka nijiunge JamiiForums huyu smart911 Yuko peace sana sijawahi kuona kabishana na mtu au kuleteana lomoni humu ndani. Mtaje wa kwako?
8 Reactions
69 Replies
4K Views
Nimekuwa nikijiuliza kwa muda mrefu, hivi unauhakika gani rangi zote huwa tunaziona sawa? Namaanisha mfano unaposema rangi ya njano, una uhakika gani kuwa mimi naiona kama unavyoiona wewe, au...
1 Reactions
10 Replies
837 Views
Ikikutokea umepanda Dala Dala halafu umesimama ( umeshika Chuma ) na mbele yako ameketi ( amekaa ) Mwanamke na mara Yeye wakati labda 'anachati' na Simu akaugusa Uume ( Mkuyenge ) wako ambao na...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Unakuta mtu sio Mme/mpenzi/wazazi au sio mtu wa karibu sana na wewe akipiga simu anapiga weee ,hivi huwezi jiongeza ukapiga simu Mara moja mtu hajapokea ukaacha na ukasubiri akutafute...
5 Reactions
92 Replies
7K Views
My dear Brothers leo ni siku yenu and I'd like to take a minute and let you all know I....WE....appreciate you!! We might not show it most of the time ila naombeni mjue mnapendwa, mnakubalika...
12 Reactions
13 Replies
854 Views
Ngudu wa jamii habari zenu. nimeanza ufugaji wa paka nilianza na paka majike manne na dume moja sasa hv nina paka takribani mia hamsini na natarajia ikifika mwezi wa sita nitaweza kufikisha paka...
3 Reactions
120 Replies
23K Views
Naulizia tu maana pia naona Diamond ni mkali kuliko wiz kid sema lugha ndo msala.. Nauliza maana nimetoka kuangalia apa mwimbo wa bilnas anaimba kigumu ila kapakwa poda vibaya maana adi harufu...
1 Reactions
14 Replies
1K Views
Habari wakuu. Hebu tukumbushane maisha kabla ya WhatsApp na Insta ilikuaje kwako. Mi nakumbuka nilikuwa makongo sekondari aise, yaani swagga zetu ilikuwa ni kupendeza kuvaa vizuri; mademu...
0 Reactions
4 Replies
806 Views
Kabla hujapanda kitandani kulala kila siku usiku msamehe kila aliyekukosea na ulale ukiwa na MOYO msafi
3 Reactions
3 Replies
570 Views
Haya wale ambao bado hatujaoa unatumia mbinu gani kufua nguo zako. Me kwa upande wangu kwa kuwa sijaoa bado huwa nazikusanya navaa tu week nzima ikifika jumapili anakuja mdada fulani Nampa 2000...
4 Reactions
26 Replies
2K Views
Tukiwa humu humu JF tukichaluana kwa hoja, January hadi December! Uchaguzi hadi uchaguzi! Ulianza ukiwa na umri mdogo, Mara paap 35, 40, 45 ,50..... n.k ndo zinasogea hivi kama masihara! Uzee...
6 Reactions
19 Replies
1K Views
Umuofia Kwenu wana JF, Kwa uchunguzi na utafiti nilioufanya,wengi wa watu walioficha Last seen na Read receipts kwenye whatsapp wana makandokando katika mishe wanazofanya...Ukitaka kujua mtu kama...
12 Reactions
32 Replies
3K Views
Uhuru wa kiuchumi (kuridhikiwa) 1. Save pesa kama akiba 2. Punguza matumizi>yasiyo na ulazima 3. Kula chakula kiasi (kidogo)
2 Reactions
1 Replies
542 Views
Umeingia kwenye usafiri wetu huu mnauita wa Umma, au kwa kimombo Public Transport. Umekaa kwenye kiti mwanaume unatafakari ya hapa na pale ya maisha yako huku ukisubiria gari ijaze abiria ili...
1 Reactions
8 Replies
608 Views
Naomba mnisaidie jamani, nisije baka Uzi tayari
4 Reactions
82 Replies
11K Views
Demiss alikuwa mchangiaji mkuu wa habari za mapenzi. Nakumbuka alishawahi kuolewa na GuDume hawakudumu hata week akaachana naye akaja akaolewa na Mshana Jr ndo hapo akapotea kabisa humu. Hatujui...
7 Reactions
21 Replies
2K Views
Mm naanza na Vision. Tiririka Sasa mpaka mwisho Sent using Jamii Forums mobile app
2 Reactions
42 Replies
3K Views
Yani kila siku mnatafuta mambo ya kutuchafua Imekua ni jambo la kawaida sanaa kukuta tunasemwa vibaya Tunaitwa -Wezi -Watembea na wake za watu -Tunalelewa -Mashoga Unakuta ukionekana umejazia...
3 Reactions
11 Replies
1K Views
Eti watanga mlipotelea wapi wazee. Nakumbuka kipindi nipo primary baba alinunulia Atlas. Sasa kwenye ile atlas kama wamechora ramani ya E.A unakuta kwa bongo wamelocate miji muhimu tu, na hiyo...
10 Reactions
115 Replies
9K Views
Back
Top Bottom