JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
1. Anna Shayo - huyu dada nlisoma naye Sangu Secondary School Form Five. Alikuwa akiishi Mwanjelwa kwa dada yake (kama sijakosea) naye that time alikuwa kidato cha 5 masomo ya Biashara au Sanaa...
13 Reactions
134 Replies
12K Views
Maisha yanaenda kasi sana na maisha yanabadilika, lakini isiwe chanzo cha kudharau wengine, nimeona baadhi ya nyuzi humu wakazi wa Mbezi Luisi na Kibamba kutusema vibaya tunaoishi Mbagala. Siku...
6 Reactions
38 Replies
3K Views
Masha Love bingwa wa kutingisha u nyonyo duniani, najua huku Kuna watu wengi hawakujui, napenda nikutambulishe rasmi kwa wananzengo wenzangu. Ile User ID yako ambayo haiko verified naiacha kwenye...
6 Reactions
33 Replies
6K Views
Jamani ndugu yenu roho inaniuma nipo ndani ya mahusiano lakini sijawahi kupewa zawadi na mpenzi wangu mwaka saivi umekaribia kuisha mpka unajiuliza ivi napedwa kweli lakini yaani birthday yangu...
5 Reactions
34 Replies
2K Views
Kama hiki alichokisema leo Jioni katika Redio huyu Mhubiri wa Kanisa la Kiroho la Bwana Richard Mwacha hapo Mwenge Mpakani ni cha Kweli kabisa basi kuna uwezekano mkubwa wengi Wetu tumeshameza...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
1. Rais bora Kwangu Paul Kagame ( Rwanda ) 2. Mtandao bora Kwangu JamiiForums 3. Timu za Mpira bora Kwangu Simba SC ( Tanzania ), Liverpool FC ( UK ), FC Barcelona ( Spain ), PSG ( France )...
6 Reactions
12 Replies
1K Views
J okoch Makete Bwana mpendwa,Dingi Nimeandika barua hii kukuambia kuwa ninaishi shule yako kwa uzuri kabisa. Kwa nini shule hii ni shule yako teachas...
0 Reactions
2 Replies
847 Views
Wahaya wanapenda sana sifa kwakweli ata kama Hana kitu bado atajikweza tu, Ukimkuta kondakta wa daladala anapiga debe utaskia "kimara mbezi kimara mbezi na hii gari ni yangu"
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nikipanda Ndege ( japo niweke tu wazi sijawahi Kupanda zaidi ya kuziona tu Angani zikipaa ) halafu nikitua kule niendako iwe ni hapa Afrika Kwetu au Mamtoni ( Ulaya ) kisha nikashuka na ile Mito...
6 Reactions
98 Replies
6K Views
Nimeshagundua ikifika weekend Jf panakuaga pamoto sana.ukitaka kuleta maada ipate wachangiaji Wengi we post jumamosi au jumapili utaona
3 Reactions
19 Replies
980 Views
Unakuta mmekaa zenu Maskani ( Kijiweni ) tena hasa Kipindi hiki Joto lililopo Jiji na Kune Boy ( Dar es Salaam ) ili mlipunguze Mwilini mwenu unakuta Mama anamtuma Mtoto wake Dukani kununua Kitu...
1 Reactions
8 Replies
806 Views
Wakati vijana wengi tunakimbiza umri humu tukisema tutaoa mwakani lazima tujiulize tofauti ya demu na mke.Kama unaleta demu wako ndani kwako halafu chakula mnaagiza kilichopikwa na mwanamme...
0 Reactions
0 Replies
444 Views
Ni kero zipi unakumbana nazo kwenye magroup mbalimbali ya WhatsApp uliyopo Hadi unatamani ku left.
2 Reactions
16 Replies
2K Views
Hawa wanawake wa kitanga wamezid jamani heeeeee..... Alikuwa kapanda na bwanake kwenye daladala wamekaa siti moja, mwanamke kamchukua bwanake akamuegesha kwenye kifua chake akawa anamuimbia...
6 Reactions
49 Replies
14K Views
Kuna mshikaji mmoja, alinitembelea Mtwara, basi ile kujimix kitaa siku mbili tatu karudi na ma concept kibao ooh mademu wa mtwara simple sana et vers 1 tu anaingia kingi. Asijisifu sana leo na...
2 Reactions
143 Replies
21K Views
Nachukia mambo ya kulala wawili,godoro dogo tu nimeletewa mgeni nilale nae mwingine analala upande wa juu mwingine wa chini usiku wakati wa kulala ukigeuka tu unakutana na miguu usoni nusu...
1 Reactions
13 Replies
1K Views
KUWA MKWELI SIKU ZOTE Mwanamke aliingia kwenye bucha ya nyama na kuuliza "Una kuku?" Muuza nyama akafungua friza na kutoa kuku pekee ambaye ndiye alikuwa amesalia akamweka kwenye mizani. Mizani...
4 Reactions
5 Replies
1K Views
Shukrani na dua na sala zimwendee MWENYEZIMUNGU aliyewanyima wanyama wote kuongea akatupa sisi binadamu huo uwezo. Nani Kama MUNGU wetu? Tutumie ulimi wetu kuongea mazuri ya kuelimisha tugeukie...
1 Reactions
1 Replies
377 Views
Habari zenu JF. Mwaka 2015 niliingia benki flani Mida ya asubuhi kwenda kutuma pesa za ada ya chuo. Cha ajabu ile nasukuma mlango niingie ndani kuna mfanyakazi mmoja Wa benki alikurupuka ghafla...
1 Reactions
7 Replies
640 Views
Back
Top Bottom