JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Jana nilienda kumpeleka dogo, skuli ndio anaanza kidato cha tano! Kwenye inspection walikuwa wanakagua mambo kadhaa wa kadhaa. Vyote vilikuwa sawa ila kwenye upana wa suruali nadhani wanahitaji...
3 Reactions
47 Replies
3K Views
Kama kinavyojieleza kwenye kichwa. utoto Ni sehemu ambayo mtoto hujifunza vitu mbalimbali,kipindi hichi watoto ucheza kwa pamoja mfano kwenye mpira uwa...
1 Reactions
26 Replies
2K Views
Ok
0 Reactions
10 Replies
632 Views
Wakuu poleni na majukumu. Ndugu zangu na dozi ya dawa ila leo nataka nitoke out sehemu nzuri yenye muziki safi nicheze na mtoto mzuri, sasa naombeni mnitajie jina la kinywaji kizuri cha heshima...
2 Reactions
14 Replies
5K Views
Habari za muda huu wanaJF. Kilicho nikurupusha kufungua uzi huu ni hivi tuchukulie mfano ule uzi wa "kupeana likes" ni imani yangu wengi wetu twaufahamu sasa ule uzi una viewers milioni 15 lakini...
9 Reactions
11 Replies
807 Views
6 Reactions
22 Replies
2K Views
Utopolo kama utopolo [emoji23]
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Epuka kupanda Daladala ambalo halijaa kwani utaumbuka kiurahisi sana bali subiria Daladala lenye nyomi / lililojaa ndiyo ulipande. Ukishaona Kondakta anaanza kuchukua nauli jifanye unaongea sana...
34 Reactions
121 Replies
11K Views
Je wewe una mpenzi wako ambaye ni mke au mume wa mtu hapa Dar es Salaam na unatafuta Guest/Hotel itakayokuwa salama kwa ajili ya kupumzika na mwenzio? Hapa nitataja kuanzia Hotel za bei ya juu...
12 Reactions
342 Replies
63K Views
Hello jopo la MMU. Nimfanyeje huyu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Kitambulisho rejea: CI2xxxxxxxx Umepokea 7,650. Tshs kutoka CHxxxxxxx Salio jipya xxxxxxxTshs.. Airtel Money Branch karibu nawe kila kona ya Tanzania...
3 Reactions
84 Replies
4K Views
Embu weka hapa nyimbo yake yoyote unayo ipenda mpaka kesho kutwa , mie naanza 1.jericho (usipime hatari , tena ile AYA ya kwanza unaweza sema imedondoka dhahabu) 2.john 3.duduke (bonge la...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
*JE UNAFAHAMU NINI KUHUSU KUJAMBA?* *DARASA LA MAHUSIANO* Kwanini tunajamba? kwanini "ushuzi" unanuka? Kujamba inaweza kuwa kitendo cha aibu kwa wengi wetu, lakini inaweza kukufanya ujisikie...
4 Reactions
21 Replies
6K Views
Habari zenu wanaJF. Kama kichwa cha habari kisemavyo hapo juu, katika harakati za hapa na pale katika maisha inaweza kutokea situation fulani tuu ukajikuta unajua kitu na kukifanya mbele za watu...
51 Reactions
139 Replies
12K Views
Yaani kila ikifika saa sita za usiku utasikia KWHA KWHA KWHA Juu wahudumu wanafunga viti na meza kupeleka stoo, hadi meza yako na kiti vinaondolewa unalazimika kumalizia bia yako juu juu na...
0 Reactions
3 Replies
689 Views
Muziki ni moja ya burudani kabambe kwa hapa Tanzania inaamsha hisia,kuelimisha na kusisimua. Hata hivyo wasanii wanatumia lugha za kimafumbo wakati mwingine. Unaonaje kama tukijaribu kuchambua...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Hivi hii imekaaje? Kuna jamaa yangu nilikuwa namdai ni muda sasa, yaani naweza sema ni mdaiwa sugu. Sasa jana usiku ameunda Group la WhatsApp na kutu"add" watu woote tunaomdai, Group linaitwa...
1 Reactions
8 Replies
495 Views
1. SWALI:"Ni mvua inanyeshe?" JIBU:"Hapana ni supu yamwagika" 2. SWALI:"Hiyo gazeti ni ya leo?" JIBU:"Hapana ni gazeti yangu!" 3. MWALIMU MKUU:"Umemuona school captain?" MWANAFUNZI:"Sikuwa...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Tabora sehemu za bata nilizotajiwa ni hizi Oxygen, Shimoni lakini zote nimeziona za kawaida sana , sasa wenyeji nitajieni sehemu za bata kwa huku Tabora.
0 Reactions
70 Replies
14K Views
Habari JF Napenda Sana kuchati Kujua mambo Utani info za mastaa na vingine vingi Kama uko tayari njoo tuchati? NB:Niko professional so usijar
0 Reactions
5 Replies
735 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…