JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Habari zeñu Lengo la uzi huu ni kuja kushare vitu ulivyovipenda husasani ile siku ya kucheza disco! #Education is liberation----> Njoss #.->Manyunyu Mimi napenda upande wa wapolo wale...
0 Reactions
8 Replies
933 Views
Mdada yeyote aliopo red Stone Moshi muda huu .karibu tupeane company.just pm
0 Reactions
1 Replies
535 Views
Habari wanaJF Hii nikwa wale wote walio macho mda Huu.... Tena nianze na mimi kabsa. Yani apa nawaza namna usingizi utakavyoanza kunichukua. Eb nawe sema kidogo[emoji39]
0 Reactions
20 Replies
2K Views
How many of you are clear about their marital status?
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Nawasalimu nyote WanaCC! Mke wangu Heaven on earth simwoni humu ndani kwa muda wa siku kadhaa sasa, hii ni baada ya kupata safari ya kwenda kijijini kwetu sitimbi kwenda kumsalimia bibi! Nimekuwa...
1 Reactions
151 Replies
8K Views
Huyu atakuwa mwezi mchanga kwa vyovyote, tumetoka tulikotoka amekunywa wine kidogo mimi nimekula vikali, tumeingia chumbani kakaa kwenye sofa ananiangali tu halafu anaangua kicheko huku kafika...
2 Reactions
60 Replies
4K Views
haya haya haya wana CC wote, waliooa na wasiooa, wenye masuria na maSACCOS, mabachelor wazoefu na waviziaji, kina dada/mama wote mliopo humu habari ya mujini ni kwamba sasa mimi Kaizer nimemove...
30 Reactions
179 Replies
8K Views
Amani iwe kwenu wana JF, naomba kuuliza tafadhali anaye fahamu juu ya wenzetu hawa. Ritz na Lizaboni walikuwa ni wafia ccm kipindi cha utawala wa mzee wetu Kikwete na walikuwa wanakesha hapa...
5 Reactions
40 Replies
2K Views
Wadau nadhani wote tunaijua konyagi ilivyo kuwa Kali ukinywa billa kuichanganya na maji lazima itakuangusha kwenye ngazi Pia ustarabu wa Pombe unaweza kukufanya ukajiona wewe ndio mwamba unaweza...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Salamu sana wapendwa amani ya BWANA iwe kwenu, mi mzima wa afya ya roho na mwili hofu yangu ni juu yenu vipi hamjambo? nimepita niwajulie hali na kuwatakia kila la heri 2018 Watu8 tpaul miss...
2 Reactions
4 Replies
913 Views
Corona Wakati inaanza Ilikuwa ukivaa Mask bus zima Linakushangaa😲 Ikaja kipindi Wote kwenye bus wanavaa, na usipovaa Watu wanakushangaa,😲 Sasa hivi bus zima hawavai, ukivaa wanakushangaa,😲...
0 Reactions
4 Replies
470 Views
Wakuu, Huwezi kuboreka na kukasirika ukitumia JF utakuwa mtu wa tabasamu mda wote maana utapata updates za taarifa mbalimbali muhimu na comments za kukuvunja mbavu. Uzi ambao mwanachama ameomba...
2 Reactions
3 Replies
510 Views
Za jioni wakuu,swali hili niliulizwa na tukajadiliana na marafiki kadhaa lakini hatukupata jibu hebu tushirikiane kutoa mawazo. Kipofu akiota ndoto huwa anaona nini akiwa ndotoni nawasilisha
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Wakuu habari za usiku? Huyu member wa JF alizoeleka sana kuandika thread za kutisha tisha, lakini siku hizi yupo kimya sana sijui ni kwanini. Je, ni Corona? Nimemiss thread zako za vitisho na...
2 Reactions
34 Replies
2K Views
Hayawi hayawi sasa yamekuwa, leo 17/03/2018 ni siku ya kipekee kwa hawa wanachama wa chama kubwa tz na duniani Jf, ambapo mzee wa matunguri na mkuu wa kilinge cha wachawi pale kibaha Mshana jr...
5 Reactions
161 Replies
10K Views
natumai hamjambo. wakuu ikiwa mwanao atakuuliza haya maswali utamjibuje?? #mama ulimpendea nini baba mbona anasura mbaya na wala si type yako? #baba ulimpendea nini mama mbona hana chura wala...
0 Reactions
23 Replies
2K Views
Kuna makundi meengi ya wanawake hasa nakusudia katika mgawanyo wa umri. Mabaharia na wataalamu naombeni mbinu mbadala za ushawishaji (utongozaji) kulingana na mgawanyiko huu. 1. Umri Kati ya 18...
0 Reactions
8 Replies
968 Views
Laiti kama wake zetu wangekuwa na ukarimu wa namna ile mambo ya kupenda vipande yasingekuwepo. "Na ile elfu ninayosevu kila siku ndio nimetumia baabah!" Mwamba unaacha 10 unakula msosi wa elfu...
34 Reactions
136 Replies
10K Views
Jioni hii nimekaa room kwangu mara nasikia majirani (wake zao) wametoka kwenye mizunguko yao. Katika hii nyumba kuna wapangaji watatu wawili ni familia bachelor ni mimi tu. Punde nasikia moja ya...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Wakuu habari zenu popote mlipo. Poleni na hongereni kwa mapambano yenu dhidi ya kirusi corona. Katika jamii kuna watu ambao wana ka tabia ka kuuliza mambo binafsi ya watu. Leo ningependa...
7 Reactions
140 Replies
9K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…