JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Habari wakuu naomba kuuliza hivi kunakuwa na gari za kwenda Moshi kutokwa Dar, Jumamosi jioni naweza pata.
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Kuna mtu hapa hajisikii kuoga kabisa,ndio akaniuliza. Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
21 Replies
2K Views
Katika harakati za ujana unakumbana na mambo mengi ikiwemo udomo zege, mahusiano,uhuni,chabo mapenz etc Back in March 2001 nikiwa kidato cha kwanza shule flan jijini dar es salaam. Nimetoka...
2 Reactions
22 Replies
4K Views
Nimekaa nikafikiria kwamba, kwa sababu ya janga la Corona, sio salama sana kwa wachezaji kucheza pamoja, na haina utamu wa ligi kama hakuna washabiki. Ningeshauri MECHI ZOTE ZILIZOBAKI, USHINDI...
8 Reactions
50 Replies
3K Views
Nimefungua uzi huu kutokana na mihangaiko ya asubuhi pamoja na mishemishe ya siku nzima. Najua wengi tupo makazini tunapitia changamoto za utafutaji kwa hiyo mwenye ishu au jambo linaloweza...
0 Reactions
25 Replies
2K Views
Naombeni kwa wale wazoefu mnijuze, ni wapi naweza pata nyama safi ya mdudu kwa ajili ya kuuburudisha mwili na roho yangu for the weekend, nimechoka sana na kazi zimenibana sana nahitaji mdudu nile...
5 Reactions
258 Replies
43K Views
Maneno yako ya mwisho yatakuwaje endapo akatokea mtu akakuwekea bastola kichwani kisha akakupa nafasi uongee maneno yako ya mwisho kabla hajakuua?? Naanza na mimi Je nitatamani niwaombe msamaha...
6 Reactions
32 Replies
3K Views
Nimepanda Hiace toka hapa banana naelekea mjini kuona mandhari abiria 1 akataka kuingia kondakta akamjibu kwa lafudhi ya Arusha "usije maana gari iko NGAA" Nikadodosa NGAA ni nini nikaambiwa...
4 Reactions
87 Replies
12K Views
Hello friends. Ukiachana na "Nenda kazime taa" ni motivational words gani umezisikia kutoka kwa mwanamke. Naanza mimi.. 2. Nishukie wapi 3... Karibuni
2 Reactions
116 Replies
8K Views
Kwa muda huu mfupi niliojaliwa kuwepo hapa JF, kuna members wachache sana nimetokea kusoma nyuzi zao na kuzikubali saana.. Nao ni kama ifuatavyo, na wewe taja wa kwako. 1. Habibu B. Anga 2...
4 Reactions
23 Replies
2K Views
Hi guys, Nimekumbuka hii ujinga Leo nikaishia kucheka.! Kuna wale watu huwa wanakuja PM kwa mbwembwe kibao, mrembo mrembo nyingi mara mtoto mzuri, (wanadanganyika na avatar obviously) lakini vile...
44 Reactions
848 Replies
32K Views
Aisee nilikuwa sijamwona vizuri huyu mtangazaji wa ITV Farhia Middley, Jana kwenye kipima joto nimemtazama huyu mwanamke dashhhhh, ana umbo zuri ambalo limenivutia usipime. Ana umbile matata...
1 Reactions
22 Replies
3K Views
Kuna Mzito Fulani aliwahi kusema huu msamiati miezi michache iliyopita sasa kuna wazungu hapa nataka niwafafanulie Kwa kiingereza tunasemaje? 'Mbwekaji wa taifa' Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
17 Replies
1K Views
Wenye sijui mnaita matembezi ya jioni Yaani wanavaa viutumbo halafu transparent halafu mavazi ya ndani yanaonekana laivu...kwa mfano leo narudi zangu home kutoka job huku Mbezi Beach karibia na...
4 Reactions
48 Replies
5K Views
Ani mtu anakuambia focus naombeni tafsiri yake kwa upana zaidi Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Habari ya mchana wadau bila shaka wazima. Mara nyingi hapa tumekuwa tukizungumzia mapenzi,utajiri nk. sasa hebu tutupie visa vya aibu ambavyo uliwahi kukutana navyo ukikumbuka unaishia kucheka au...
5 Reactions
15 Replies
2K Views
Wanajamvi, poleni sana na hali ya uhaba wa sukari maana hata ukiumwa hiyo corona mgonjwa wake uji, sasa uji bila sukari mgonjwa anaweza kufa kwa kweli. Maisha yanakwenda kasi hatari kuliko kasi...
0 Reactions
9 Replies
714 Views
Hahaha Sent using Jamii Forums mobile app
3 Reactions
134 Replies
6K Views
Kwa wahenga waliozaliwa zama za mawe mpaka mwishoni mwa miaka ya 90 Mke wa kaka yako, rafiki yako ndugu walikua wakiitwa shemeji, Pia Mume wa Dada yako,rafiki au ndugu walikua wakiitwa shemeji...
2 Reactions
21 Replies
4K Views
Unaweza kuta ameacha mboga jikoni akaenda kuoga, kusalimia majirani, au kuchezea simu na akirudi mboga haijaungua. Au muda mwengine unamkuta kajifunga kanga tu lakini hata afanyaje hauwezi...
3 Reactions
42 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…