JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Nimepokea sms toka kwa mwanaume mmoja wa dar ananiambia miss n hi jpili kwio Maana yake nini wakuu Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
49 Replies
12K Views
Masika imeanza, mvua inanyesha tangu jana mfululizo usiku kucha hadi dakika hii bado inanyesha. Shemeji yenu kaenda kwao kwa ajili ya Pasaka maisha yamekuwa magumu sana. Tupeane mbinu mbadala...
14 Reactions
297 Replies
18K Views
Ukweli ni kwamba, ndoto ya masikini siku zote hazinaga mpangilio mzuri, unaweza lala ukaota unamiliki banda la kuku, lakini baada ya muda mchache banda hilohilo la kuku linakukimbiza. Huja kaa...
5 Reactions
8 Replies
2K Views
Naomba mtu anae isi amekua wa kwanza kuanzia JF imevumbuliwa? Je, Maxence Melo huwa anaingiaga JF? Je, kuna mtu kashawahi kula comment yake? Am curious.
1 Reactions
17 Replies
1K Views
Hi,
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Juzi nilikua gereji fulani ivi Arusha kuna fundi mpya katokea DSM asa akawa anasema kuna mwanamke anamfungia kilemba wakafurahi wakasema utamuua mkali! Nikaona acha nije uliza wataalamu maana...
1 Reactions
8 Replies
3K Views
1. Unaona dumu la maji, unaenda kulinyanyua kwa nguvu ukidhani lina maji kumbe lipo tupu. Unakuwa umetumia nguvu zako bure kabisa, inakera 2. Unaona mtu anakusalimia au kukupungia mkono huku...
16 Reactions
52 Replies
3K Views
Kiukweli nawapa pole Nasoma michango yenu huku natafuna karanga mbichi huku nashushia na juisi ya azam mango (zile za elfu tatu) Nimepokea mashambulizi yenu kwa mikono miwili. Corona inaua...
0 Reactions
11 Replies
991 Views
1. Watu wanene huwa hawapendi stress wala kubuguzana na mtu. 2. Watu wafupi mara nyingi ni watu wenye hasira, wabishi na huwa hawakubali kushindwa kirahisi 3. Watu warefu ni watu wenye kujiamini...
1 Reactions
12 Replies
3K Views
Ni dhahiri shairi gonjwa la Corona halijapatiwa tiba wala chanjo, kwa mantiki kama hii inavyoonesha Corona si ya kuisha leo wala leo. Ruhusu programu za kielimu ziendelee, kwani inaonekana hili...
0 Reactions
4 Replies
751 Views
Nawapenda sana Watoto. Watoto wanamwamini sana mtu aliyewazidi umri, Nikiwatembeleaga wajomba zangu nakerekwa na tabia yao yakuombana ela mbele za watu flani flani ambao ni aibu kusema sina...
2 Reactions
9 Replies
854 Views
Je ni kitu gani hukipendi katika Maisha yako ? Mimi Binafsi kitu sipendi ni Kuvunjiwa Heshima tu, Ni bora unichakatie mpenzi wangu Kuliko kunivunjia heshima. CC Zero IQ
0 Reactions
25 Replies
3K Views
kwa uchunguzi wangu mimi binafsi nimekaa nikajua kuwa jamii forum ni sehemu ya kuongea vitu ambavyo hatuwezi kuviongea mbele za watu kwenye maisha ya kawaida. njoo na wewe utoe mtazamo wako jamii...
2 Reactions
41 Replies
3K Views
Haka katoto nipo nakagegeda goli la tatu mzee nakusukumia ile ile yani hakutoi hata mguno. Kudadeki nimemwambia basi anisonye tu wakati wa kumgegeda nijue moja. Maisha yanaenda kwa kasi sanaa...
1 Reactions
52 Replies
4K Views
Haha ivi ni kwa nini wabongo wengi wakipewa simu ya mtu waangalie picha wana swipe next utazani wameruusiwa. Doh inaboa sana.
1 Reactions
5 Replies
712 Views
Miongo kadhaa iliyopita , familia ilinileta dunian mimi Allantence . Happy birthday kwangu.
4 Reactions
33 Replies
4K Views
wakuu, tokea numeingia humu ndani nimekutana na maneno mengi ambayo huko duniani hayapo, naamini kilq memba mpya atakuwa anapitiaa changamoto mpyaa piaaa.... maneno hayo ni P. P. P WANAKUJA...
0 Reactions
18 Replies
1K Views
Kipindi fulani nilikuwa ni mwajiriwa wa kampuni moja kama mlinzi wa mali wa zile kampuni hakika nilifanya kadi nzuri na mwisho nikawa mfanyakazi bora wa kampuni kwa namna ambavyo wengi...
14 Reactions
22 Replies
3K Views
________________________ _________________
11 Reactions
2K Replies
117K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…