JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
1. Nimekaa zaidi ya mwaka mmoja bila kuchepuka. 2. Mwaka mzima sijaingia guest wala sijahonga wala sijavaa kondom. 3. Ni muda mrefu sana pombe haijapita mdomoni mwangu. 4. Nina zaidi ya miaka kumi...
3 Reactions
27 Replies
2K Views
Kuna mjadala umekuwa ukiendelea kwenye mitandao ya kijamii tokea mwaka 2018: Hii sauti unayoisikia inasema Laurel or Yanny??? A debate has been raging across the internet since 2018. What does...
1 Reactions
17 Replies
963 Views
Ona picha kisha sema ghorofa ya jengo gani nilipochukulia hizi picha. Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
35 Replies
3K Views
Katika hali ya kushangaza na ya kushtua dereva bodaboda aliekuwa kavaa koti kinyume (nyuma mbele) na alikuwa hajavaa helment alianguka. Wakati anagaragara chini kuhitaji huduma ya kwanza mimi...
5 Reactions
31 Replies
2K Views
Wazee si jambo jema kuleta hii kitu hapa ila anayejua afunguke huyu manzi wa pale Mawingu alifanywa nini na Mzee Almasi? Maana hii chuki si ya kawaida. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Naomba tujuzane wajibu wa mtoto wa pili kuzaliwa katika familia. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
52 Replies
3K Views
Hivi wale watu waliosemaga kuwa black hawafi na korona eti inaogopa ngozi nyeusi wapo wapi?? Alafu bhana kuna black people mweusi kama giza la usiku wa manane kaniambia corona virus haipati blacks...
3 Reactions
16 Replies
3K Views
1.Never have feelings for a sponsor. 2. Kila mwanaume ako na sauti but volume ni pesa. 3)Kama hakupanui mawazo....asikupanue miguu... 4)Kama wewe ni side chic ucheze chini Goat wife asikujue...
18 Reactions
104 Replies
5K Views
Kuna kitu kinanitatiza kidogo kwa wale wazoefu, nadhani wengi wetu tunapokuwa katikati ya faragha kuna haka kamsemo kanatokaga upande wa pili Baby chukua vyote ni vyako. Sasa ni kitafsiri neno...
1 Reactions
24 Replies
3K Views
Pombe ya jana bado imenishikilia japokuwa baada ya kuamka ....Nimefata procedures zote za walevi....Kujitapisha mda naoga na kusafisha meno....Nikahakiki ...kuwa nimetapika nyongo...michozi...
3 Reactions
23 Replies
2K Views
Unadhani uwezo wako darasani kipindi unasoma unaendana na mafanikio ulichonayo hivi sasa? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
3 Replies
711 Views
Tetesi za usajili majira ya kiangazi msimu wa 2020/2021 vilabu mbalimbali vya siasa Tanzania 1. Winga teleza wa CHADEMA Saeed Kubenea amesema hana mpango wa kuhama klabu yake hiyo kuelekea klabu...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Tulio wai kupoteza watu waliochangia leo kuwa kama tulivyo. Wana Jf. Katika kuishi tunakutana na watu wengi sana lakini wapo watu ambao kamwe hatuwezi kuwasahau pindi wanapo tangulia mbele ya...
2 Reactions
60 Replies
4K Views
Zaidi ya mara mbili sasa kituo maarufu zaidi kwa habari nchini. Ghafla tu kinakatiza matangazo na kutuletea breaking news. "BREAKING NEWS: Idadi ya visa vya Corona nchini Kenya yafikia watu 172"...
0 Reactions
24 Replies
2K Views
Tupo njiani tunatembea nikaokota brurunguu la hela kuzihesabu ni milioni ishirin wewe utazifanyia nini milioni tatu zako?
0 Reactions
11 Replies
879 Views
Mi namkubali 1 na 5 Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
5 Replies
633 Views
#Andiko 'Basi vikashushwa vichwa vya Treni toka mbinguni kupitia baharini, mfalme akataajabu kwa baraka za mungu' Watanzania 6:18 = Bafaraj nao makada na wapambe wakararua mavazi yao kwa Shangwe...
38 Reactions
447 Replies
57K Views
Bia ndogo ya Serengeti lager yenye 330ml Ina alc 4.8% Je hii % ni kwa chupa nzima au @ml? Je nikinywa kubwa5 naweza kulewa sawa na nikinywa ndogo5 Majibu Yenu Muhimu Kwangu Daaaaakh Sent...
0 Reactions
2 Replies
974 Views
Nimetumia kwa muda wa mwaka mmoja hii Transformer ina nguvu na umeme wake ni KV 5000. Inatumia mafuta ya diesel na petroli ukitaka. Nakupa na risti nimejaribu kuweka picha zimegoma. Niko Mbeya...
3 Reactions
30 Replies
3K Views
Back
Top Bottom