JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Kipindi kigumu sana hiki kwa wale wasio na majiko hata ya kuni.
1 Reactions
8 Replies
598 Views
Nimekuwa nikisoma comment na post zake mara nyingi ni dada flani hivi ambaye aki-comment napenda kusoma comment yake, yuko positive sana na haonekani anajiona au kujiskia. Na yuko funny kwa kiasi...
9 Reactions
132 Replies
8K Views
Wanandugu heri ya Pasaka kuna msemo nauona wanajf wanautumia sana ila mi sijajua umetokea wapi yaani una maana gani "baba unahonga hawara elfu kumi, watoto wanakufa na njaa nyumbani Uzi tayari...
0 Reactions
1 Replies
844 Views
KAMA KICHWA KINAVYOJIELEZA MABAHARIA ninao wazungumzia hapa ni wale watafutaji Wa maisha walioamua kujiripua kwenda nchi mbalimbali kutafuta maisha. Tukutane hapa kwa ajili ya kusimuliana...
1 Reactions
30 Replies
5K Views
Wengine hawapendi kuzeeka na Wengine hawapendi kuambiwa wadogo. Fahamu umri wako katika sayari zingine kwa kupitia link hii https://www.exploratorium.edu/ronh/age/ Sent using Jamii Forums...
1 Reactions
7 Replies
970 Views
Dah yaani hapa roho inaenda mbio sijui kukoje,kwanzia nimetoka tanga nilikuwa na hamu ya kufika KARIAKOO,coco beach,na kule kwenye kivuko Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
17 Replies
1K Views
Gwiji la makeke hapa jamiiforums limekuja na msemo mpya unaosema MRITHI MWANDAMIZI WA UPUMBAVU TANZANIA) Hebu fikiria Mambo ambayo ukiyafanya unakuwa MRITHI MWANDAMIZI WA UPUMBAVU TANZANIA...
2 Reactions
36 Replies
3K Views
DUUH!! HUYU MWAJIRI NI SHIDAAA!! Hebu soma hii [emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116] Baada ya miaka minne ya kuajiriwa bila hata kuongezwa mshahara au hata marupurupu, Bwana John...
0 Reactions
1 Replies
792 Views
wapendwa Nina heat press machine ya kuprintia ngua kofia vikombe sahani nauza ni mpya haijawahi kutumika kwa bei ya kuuza laki 7 na 50 kalibuni
0 Reactions
1 Replies
553 Views
Najua wote hamjambo na pia mnaelewa vizuri kuhusu ugumu wa kupata kazi kwenye kitengo cha vinywaji kwenye sherehe hasa harusi kubwa kubwa na zenye kuhusisha watu wakubwa. Mimi sema kweli nimewahi...
52 Reactions
82 Replies
9K Views
Baada ya kusoma juu ya utabibu kwenye mtandao wa YouTube kwa sasa nimeiva na ninataka kufanya majaribio ya kile nilichosoma kwa miaka zaidi ya 5 huko mtandaoni. Nilisoma kuhusu kufanya operesheni...
6 Reactions
75 Replies
8K Views
Ni vigumu kuamini Kama umetutoka rafiki yangu kipenzi Hamis Nyinza Alisoma shule ya msingi UJIRANI iliyopo Kilombero alihitimu mwaka 2009. Kisha akajiunga na elimu ya sekondari shule...
3 Reactions
50 Replies
5K Views
Uzi special wa kutafuta birth day partner wako mnao share pamoja siku na tarehe ya kuzaliwa hapa JF Mimi leo ni kumbu kumbu ya siku yangu ya kuzaliwa tareh 7/4 Hivyo Mimi ni April guy
2 Reactions
22 Replies
1K Views
mama kapiga simu anataka nimtumie hela kidogo,Demu niliezaa nae kaomba ingawa yeye sina uhusiano nae tena,demu niliyenae kwa sasa nae katuma text nimtumie hela ili aje alale,ASA mi nifanye jamani...
3 Reactions
17 Replies
1K Views
Habari JF! Kwa wale ambao ni waalimu na tuliowahi kuwa walimu tunajua nini kitatokea pindi mashule yatakapofunguliwa. Wajanja wanatambua vile mithiani itakapotawaliwa na maswali ya Corona. Kwa...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Sasa naelewa kwanini yule mama wa Iringa alitoroka Quarantine [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Si walikataa 5 stars Hotel Wameamua kuwakomoa Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Hello friends;napata tatizo kuifuta ac yangu ya Facebook kwenye iPhone yangu msaada wenu kwa anaejua tahadhari! Sent from my iPhone using JamiiForums
0 Reactions
4 Replies
831 Views
Wanasema kwamba hata uwe tajiri vipi huwezi kukosa deni. Lazima kutakuwa na mtu, kampuni/ benki inayokudai. Wengine wanafika mbali zaidi na kusema kama mtu unaogopa kukopa na kudaiwa, basi huwezi...
20 Reactions
203 Replies
19K Views
Watu wa dar bwana,,,,,,,, kabla hujaenda ukimpigia simu anakwambia karibu saaaaaaaaaaaaaaaaaana kaka ukija usiachie kunitafuta[emoji23] Ukifika ukimpigia kwanza anakuuliza uko...
10 Reactions
23 Replies
4K Views
Back
Top Bottom