JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Kama kuna chochote ungependa kushare basi ni muda wa kutukaribisha Naanza mimi mwenyewe kuwakaribisha wale wote ambao wangependa kuchati na mimi pm basi mlango upo wazi, KARIBUNI Sent using...
0 Reactions
7 Replies
537 Views
Mko poa Mimi nipo humu tokea January 13 2014.mpaka leo ila sina zaidi ya post 7 mimi ni nani? Sent using Jamii Forums mobile app
2 Reactions
58 Replies
3K Views
Watu wawili waliotambulika kwa jina la Joseph Omolo na Jackline Wambui wakazi wa Kakamega nchini Kenya wamelazwa katika hospital huko Kakamega baada ya kuzidiwa kutokana na kunywa dawa ya kuoshea...
7 Reactions
36 Replies
5K Views
Heey, I hope you are doing good, it has been long since we see each other face to face. I know I receive so many likes in here but whenever I receive your likes, it awekens my veins, brightens...
22 Reactions
73 Replies
4K Views
Kuanzia mwishoni mwa mwaka 2019 mpaka sasa hali yangu ya kiuchumi imeyumba kama kijana nipo katika harakati za kuhakikisha narudi kwenye hali nzuri ya kiuchumi tokea mwaka Jana nimekuwa mtu...
15 Reactions
20 Replies
2K Views
Habari wanaJF Lengo la huu uzi ni kukutanisha wadada wote ambao wapo single Wakituelezea moja mbili tatu kuhusiana na usingle wao Karibuni!! Sent using Jamii Forums mobile app
6 Reactions
111 Replies
7K Views
1.waluguru toka morogoro 2.waha toka kigoma 3.wabwali toka kigoma na rukwa 4.wasafa toka mbeya 5.wandengeleko toka rufiji 6. 7. 8. haya endeleni kutaja makabila mengine yanafuata baada ya...
0 Reactions
16 Replies
4K Views
Mi sijaona tofauti ya mzumbe Ufundishaji,quality,cheti,na mengineyo ni vike vile tu. Kampasi yoyote Morogoro,Mbeya na Dar es salaam. we unaonaje? Atakae tukana automatically atakua insane and...
2 Reactions
57 Replies
4K Views
Ukikaa Uchagani utaskia kifupi chake ni CHAGGA TRIBE Ukienda kule upareni utaskia PARE TRIBE Ukienda kule Daslam utaskia ZARAMO TRIBE Ukija kwa akina mgosi utaskia SAMBAA TRIBE Ukienda kule iringa...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Vile Roho Ina Muuma Mdada Aliyepoteza Usichana Wake Kwa Ajili Ya IPhone 6 Na Sasa Kuna IPhone 11 Pro Sijui Utapoteza Nini Tena Zaidi Ya Uhai...[emoji23] Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
3 Replies
670 Views
Leo nimeomba lift magari zaidi ya matano na hakuna hata moja lilothubutu kusimama na chanzo cha kuomba ni kutokuwa na nauli ilinibidi nianze hamza kanuni huku nikisikiliza nyimbo ya Samba...
3 Reactions
24 Replies
2K Views
Najua wengi wetu tuko mijini kiutafutaji,lakini kiasili tuna maeneo yetu ya asili ambayo tunatokea,wengine husema kwenye asili ya ukoo.binafsi weekend iliyopita nilikua huko. Haijalishi kama babu...
4 Reactions
68 Replies
4K Views
Mazoezi ya ubongo ni mazuri katika kusaidia kuimarisha uwezo wetu wa kufikiri na kuongeza udadisi. Nimekuja na hii washindi watano wa kwanza watajipatia vocha. Nobody.
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Baada ya piga nikupige, kujinyima, kukwepa mambo mengi hatimaye nimemalizia plasta,madirisha(grill) mlango(grill) sjamaliza mambo kadhaa mf blundering, skimming nk nini muhimu cha kuendelea nacho...
1 Reactions
46 Replies
7K Views
Mpishi mzuri ni yule anayejua kucheza Na chumvi,kwani chumvi ndo mwamuzi wa mwisho kuwa chakula kiwe kibaya au kizuri Sent using Jamii Forums mobile app
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Naomba tupige kura kwa MTU wa hapa nyumbani ambayo tunamwamini anaweza kutisaidia kushindana na Corona kutokana na uwezo wa akili na mawazo yake juu ya maslahi mapana ya nchi hii Wapendelezwa ni...
0 Reactions
9 Replies
751 Views
Leo bhana wakati tunaendelea na ibada yetu ya pasaka kanisani ukaimbwa wimbo maarufu sana ambao ukiimbwa kipindi kama hiki pamoja mi dhambi yangu yote huwa najihisi kama napaa vile.......Kwa...
3 Reactions
91 Replies
15K Views
Ngoja tuondoe stress za Corona kidogo, kwa hii ndoto. Iwapo utapewa nafasi ya kuchagua pa kwenda kipindi hiki utoke ulipo na familia yako kwa muda wa miezi kama sita hivi na utalipiqa gharama...
0 Reactions
16 Replies
905 Views
Sijawahi kuona Pasaka ambayo Wachungaji na Makasisi wengi ' Wamenuna ' na wana ' Hasira ' hata Nyusoni mwao kama hii ya leo. Kuna Kanisa Moja Wilayani Kinondoni Siku zote Saa 2 Asubuhi huwa '...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom