JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Ujue sisi tunaopata amani ya moyo pale tunapokuwa tumekaa peke yetu huwa tunaongea na kujijibu wenyewe mambo mengi sana. 1. Nilijiona mpweke sana nikajiuliza inakuwaje sina hata group moja la...
2 Reactions
8 Replies
923 Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza makabila yanayopatikana Tanzania na nje ya Tanzania tukianziaa 1.wakurya wa Tanzania na wakurya wa Kenya. 2.wamasai wa Tanzania na wamasai wa Kenya...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Unaweza pishana na ex wako wala msitambuane... Au wale wazee wa mizinga kila ukikutana nao unapishana nao bila wao kujua... Achilia mbali wale wakiongea mate yanawatoka .. angalau now ukivaa...
13 Reactions
40 Replies
3K Views
Poleni sana WaTZ wenzangu kwa yote Mungu ni mwema kila wakati, Binafsi nazingatia ya Wizara ya Afya.. Japo nakula sana cha A town no Church, Maombi kila sehemu mpaka kwenye Daladala chooni nikiwa...
0 Reactions
16 Replies
1K Views
Huu ni Uzi maalumu wa kila mwanajamvi anaetaka lockdown Maana wengi humu tuna taka lockdown na tumefikia hatua za kusema kuwa "Mimi na familia yangu tumejiweka lockdown" Naomba ushere na wana JF...
0 Reactions
2 Replies
476 Views
Habari wanaJf, poleni na mapambano dhidi ya corona. Kwa wale wenzangu na mimi wapenda movie/ tamthiliya mnaweza kuwa mmekaa mnaangalia movie yenu anakuja mtu ambae tayari alishaiangalia anaanza...
14 Reactions
163 Replies
8K Views
KIKAO CHA FAMILIA LEO SAA 3:00 USIKU DONDOO 1. kufungua kikao 2. Sala ya kuombea Taifa dhidi ya KORONA 3. kuthibitisha dondoo 4. Kukubaliana kama tunataka kufa au la 5. Kama kufa tufanyeje 6...
5 Reactions
23 Replies
3K Views
Why Do A Lot Of Curvy Plus-Size Women Love To Be Around This Slim guy It is no news that slim guys love to have a Plus-Size him, his lover as Plus-Size women crave romantic relations with slim...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
.
1 Reactions
44 Replies
3K Views
(1)Furaha yako ikitegemea uwepo.wa mtu mwingine ni hatari sana,raha jipe mwenyewe. (2)Kusave hela sio mpaka uwe unasomesha au unajenga,kuna mabalaa ya khafla yanayoweza kukuadhiri mjini mfukoni...
8 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari wakuu. Jamaa yetu tuko nae hapa geto sijui kapatwa na ugonjwa gani,maana kama wida,fegi,ugoro,pombe na bia vyote hatumii..LAbda mmaro yaani ile sigara ya tumbaku na gazeti,,, ndio...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Mch .Getrude Rwakatare wa Mikocheni B Assemblise of God anatajwa kumuchukua msukule mtoto wa Joyce Masali . Taarifa hii imeandikwa kwa undani kwenye gazeti la kiu leo lakini wameficha jina lake.
1 Reactions
65 Replies
29K Views
Ulitusaliti baada ya kukuchagua kwa kura zetu, Leo corona anakunyanyasa.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Hivi huyu mzee wa USA baby Yuko wapi? Nina muda sana sijamsoma humu au kubadili ID? cc Nyani Ngabu
5 Reactions
221 Replies
18K Views
Kwanza kabisa nianze kwa kusema "Fuata taratibu zote za kujilinda na korona " Niende moja kwa moja kwenye mada yangu, aise ilikua mnamo mwaka 2005 shule la msingi X mkoani Kilimanjaro. Nakumbuka...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Hello wana chit chat..! Weekend iliyoisha ilikua nzuri sana kwangu, nilispend kuanzia ijumaa mpaka leo j3 bado nipo mapumziko btw kazini naingia kesho. Katika spend hizo nilikua nipo na mke...
1 Reactions
90 Replies
7K Views
Ukiacha " Una mia nikupe mia mbili" ni misemo gani mingine makonda wa daladala hupenda kuitumia? Sent using Jamii Forums mobile app
3 Reactions
38 Replies
7K Views
HERI YA SIKU YA PASAKA WAKUU.. Kama kawaida leo ni sikukuu na hua sikukuu ndio siku ninayo import kazi niliyoilewa jf(piemu) angalau ije nyumbani tusherekee kwa pamoja. Watalaam wanasema jiko la...
26 Reactions
558 Replies
25K Views
Miaka nenda rudi nikiwa sina hela , usingizi hauji kabisa hata nifanyeje. Mpk nistue na bia kadhaa. Mwenzangu ukiwa huna jiwe unalalaje ? Sent using Jamii Forums mobile app
4 Reactions
29 Replies
2K Views
Haya mambo ya kuwaambia watu wanywee nyumbani, ukilewa unaweza kumshika beki tatu tako mkeo akiuliza unafanya nini? Unajibu kwani we ndo meneja wa hii bar? tunaokunywa Kisha pombe zikakimbilia...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Back
Top Bottom