Jamani mwenye taarifa hivi vijikadi vinatoka lini au ndio havipo tena tuandae pesa za leseni
au mwaka huu tumepewa msamaha wa kiana au wanasubiri kwanza kila mtanzania awe na namba ya NIDA
Hello,
Siku ya Alhamis tarehe na mwezi kama wa leo mwaka 2016 nikifanikiwa kujiunga na mtandao huu baada ya kuwa mtumiaji mgeni kwa muda wa miaka mingi.
Japo ni mika 3 tu niko kama member rasmi...
Mi huwa napenda boss wangu kazini awe mwanaume kwa sababu kwa asilimia kubwa huwa sio wanafiki.
Je, wewe unapenda boss wako awe jinsia gani, na ni kwanini?
Haya maeneo viwanja vyote vimepimwa na vimepangwa na watu wanao ishi huko ni wakueleweka. Kama umejenga au unaishi maaneo haya wewe ni wa kishua.
Baadhi ya maeneo haya:
Masaki
Mbezi Beach...
Salamu wakuu, Namshukuru Mungu kwa kuongeza mwaka mwingine sifa na heshima zimrudie yeye, namshukuru kwa ulinzi na baraka zake za kila siku. Familia yangu ya JamiiForums asanteni sana kwa kuwa...
Kuna habaei za ajabu zinazunguka hapa Dar kuwa mzuka wa Amina unaonekana unafanya kazi shambani huko njombe.
I wonder kama hii kweli, kwa sababu Amina mwenyewe hata jembe alikuwa halijui, kuna...
BBC News Swahili
menu
Wanamgambo wanne wa Al Shabab wauwawa katika shambulizi la uwanja wa ndege
05 Januari 2020
[https://ichef]
Image captionUwanja wa ndege wa Manda, uliopo Lamu
Kundi la...
Ulimwengu wa leo umetawaliwa na majanga ya kila aina ikiwa ni pamoja na magonjwa yasiyo ambukiza. Wataalamu wanasema kuwa uzito uliopitiliza, unene na vitambi si dalili njema kiafya.
Wataalamu...
Dsm ndiko Rais anako chil, yaan yeye ni mwanaume wa DSM. Kwa ujumla safu yote ya uongozi wa kitaifa, kidini, kisiasa, kibishara, kimataifa wote wapo DSM. Sasa wa mikoani kweli mnajielewa...
Nilikuwa darasa la 6 siku hiyo nikarudi nyumbani baba alikuwa Dar, jioni tukasikia honi ya gari nje ya nyumba tukatoka kumpokea, siku hiyo akasema tusiguse chochote tukae mbali akashusha box kubwa...
Faiza yupo Canada,diaspora yupo USA wengine Dubai ,wengine wanaishi kwenye yatch huko bahamas ,wengine South Africa,wengine wamezamia canada..
Halafu sasa ukija kwenye vyuo hamna aliesomea...
Yaan tangia juzi ukiangalia habari humu ni simba sijui yanga sijui hirizi sijui manulaa yaan hata mambo ya maana hayajadiliwii . Mpira wenyewe hata hauna lolote . Acheni ujinga huu wa...
SKIP TO CONTENTSKIP TO SITE INDEX
LOG IN
LIVE UPDATES
Updated
Jan. 5, 2020, 2:49 p.m. ET
Jan. 5, 2020, 2:49 p.m. ET
Iran Ends Commitment to Landmark Nuclear Deal: Live Updates
The...
Habari wanaJF, heri ya mwaka mpya japo mwaka unaenda kasi sana huwezi amini leo ni weekend dah, tuachane na hayo.
Naombeni msaada maana huyu mdai wangu kawa sugu na misemo ya kila aina.
Hebu...
Wanawake wengine bhana, Huyu demu ni wa kutokea hapo singida, Alikuwa anakuja sana hapa kibandani kwangu,
Ni mzuri wa sura mpaka umbo kiasi kwamba na ubaharia wangu wote nilikuwa namgwaya...
Zikiwa zimebaki siku chache mwaka uishe.
Ningeomba tuweke kikosi bora cha jf kwa mtindo wa wachezaji soka...
Kipa.. Nyani Ngabu
Beki 2: pancho boy
Beki 3 Baba Swalehe
Beki 4 Bazazi
Beki5: rikiboy...
Ukiangalia video ya kwenye harusi ya G Nako kila msanii wa kundi la Weusi alipita mbele kucheza na mwanamke wake.
Ila mwanamke aliyekuwa na Joh Makini utafikiri amekutana nae njiani akamuomba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.