Top 20 ya members wenye meseji nyingi kuliko wote jamii forums
1. RUTASHUBANYUMA(JF-Expert member)
Message: 169,603
2. NUMBISA( JF-Expert member)
Message: 151,963
3. MSHANA JR(platnum member)...
Si mtoto, kijana, si mzee...wote tupo kwenye kipindi cha mpito (transition period), kipindi chenye kila aina ya msoto, funzo na shida za kila aina.
Watu wote kwa kada zote wanalalamika ugumu wa...
1. Mgogoro wa Iran vs Marekani
2. Kifo cha Sultan Qaboos wa Oman
3. Kuvunjika kwa ndoa ya Stamina
4. Wachezaji walikuwa wanawaza kupata namba za Nida mfano ni Aishi Manula...
Habarini ndugu zangu, poleni na majukumu niende moja kwa moja kwenye maada
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 31, nahishi Dar
Kumetokea sintofahamu kati yangu mimi na mzee wangu (baba yangu...
Kila mtu ana sehemu yake ana mipango wengine bar, kitandani na nk.
Mimi binafsi mawazo ya mipango yangu naipanga nikiwa
1) Kitandani wakati nautafuta usingizi
2) Katika Daladala
3) Chooni...
Wakuu hali ni mbaya!
Baada ya kuweka heshima vijijini huko Moshi kipindi cha Krismasi na mwaka mpya, ambapo ilikuwa ni mwendo wa kuchinja mbuzi, bia kwa wingi, na kufuru za kila aina, sasa cha...
Huyu jamaa bwana alikuwa mchumba wangu, mchumba kweli yaani pale ningetaka ningepata makaratasi ya ndoa kabisa.
Siku ilikuwa Jumamosi nikaenda kwake alikuwa ameenda China so aliniomba nikamfanyie...
Huu umri sitakaa niusahau, kiukweli ni umri mdogo ila nimepitia mambo makubwa ambayo sitataka wanangu waje kuyapitia na naamini haitakuja kutokea.
Katika umri wa miaka hiyo ilikua kati ya...
Habari za weekend wakuu
Changamoto yangu haswa kubwa ni hii
Mimi ni binti wa kwanza kwa mama yangu tumezaliwa wawili, tumelelewa single parent Ila kwenye extended family.
Tatizo linakuja mma...
habarini wakuu, leo nimeona nizungumzie faida 3 za punyeto ili niwatoe hofu wanachama wezangu wa "chaputa" kutokana na uongo tupandikizwao kwamba punyeto ina madhara, niende moja kwa moja kwene...
I have tested different kind of drinks in the past. Some of them were really good enough. Now I started drinking Ullefurgh. Because I got this one unique and also effective as well. The taste of...
Huwa napenda sana baada ya kugonga msosi wa nguvu mchana mida ya saa saba, naingia chemba naulipua mjani wangu msumari mmoja tu mnene.
Nikishaumaliza muda huo huo napiga mswaki kisha naelekea kwa...
Kuna muda tunahitaji kujifariji..Kuna muda tunahitaji kujiliwaza na kujipumbaza wenyewe..Kuna muda tunahitaji kujitekenya wenyewe ili tucheke tufurahi..Si mnakumbuka ule msemo wa...
KAMA ULIZALIWA BAADA YA MWAKA 1995 HAYA MAMBO MENGI YALIKUPITA:
1. Kupakwa jivu kwenye kidonda
2. Kung'olewa jino kwa uzi
3. Ubwabwa kupikwa jumapili tu
4. Kidonda kuwekwa unga wa 'rangi mbili'...
Salamu ya jamii yeyote inaendana na uchumi wao.
Mfano salamu ya Shikamoo ina asili ya Pwani maana yake niko chini ya miguu yako. Hivi ndivyo watumwa na wapagazi walivyosalimia ma bwana wakubwa...
Karibuni kwenye hii safari. Huo utakuwa ni mwaka 2030.na dunia itakuwa hivi,
Mti wowote ule utakuwa ni kivutio Cha utalii.
Wavulana waliooa wabibi watakuwa ni 75%
Hakutakuwa na bikra mwenye miaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.