JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Goba ni mji unaokua kwa kasi ya ajabu Thread hii natoa fursa kwa watu wanaotaka kuijua Goba kiundani zaidi kuuliza maswali na wenyeji wa Goba tutayajibu kadri tuwezavyo
1 Reactions
57 Replies
10K Views
Mimi ni mkazi wa tabata chang'ombe, nyumbani kwangu kuna tatizo la umeme na nimefata njia zote hapo mlizoziainisha na kujiridhisha kwamba tatizo la umeme sio INTERNAL. Cha kushangaza ni wiki sasa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Siku hizi sioni watu wakiongelea sana huu uwanja wa fisi sijui kwa sababu saiv ushabadilishwa na kuwa uwanja wa michezo!!!! Wenyeji waishio karibu na uwanja wa fisi tupeni updates ili tufahamu...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Ukienda kule Instagram, Twitter na Facebook, followers ndio habari. Hadi watanzania wengine wanauza account zenye followers wengi. Najaribu ku imagine kama JamiiForums ingekua na kitufe cha...
0 Reactions
8 Replies
762 Views
whats up mdada... uko poa? hebu pokea salamu zangu... my name is kiwatengu!! from mtwara..al villages! lara 1 today i was think abt u... heeeh! i'm not mistaken kupost hapa.. with no...
2 Reactions
47 Replies
8K Views
Sijawahi kuogelea katika swimming pool hata siku moja. Sababu yangu kuu ni kuogopa kama wengine wanaweza fanya yao (kukojoa). Au nipo wrong?
8 Reactions
153 Replies
13K Views
Laini yangu ya Vodacom:- BALANCE 1. Salio la kawaida Tsh 0.00 2. Salio la M-PESA Tsh 0.00 3. Salio la M-PAWA Tsh 0.00 MADENI 1. Nipige tafu deni Tsh 3,000/= 2. M-Pawa deni Tsh 72,000/= 3...
5 Reactions
22 Replies
3K Views
kumekuwa na matukio mbalimbali yanayojiri Tanzania,. Je, ni muda sasa kueleza matukio hayo kwa filamu? Tutegemee filamu kutoka kwa JamiiForums? Ikiwa wapo wataalamu wa masuala mbalimbali na kila...
6 Reactions
41 Replies
4K Views
Ooozaah niaje wajomba humu fyade!? Najua aikatox ainaga wengeree bablai sidai hopeful mko yechu. Nisilete lomoni au perepete shazi acha niende moko moko kwenye topic..Jana night kunae mamiloo...
2 Reactions
13 Replies
2K Views
.
9 Reactions
25 Replies
3K Views
Kichwa cha habari chahusika, naomba mwenye mawasiliano ya kampuni ya mikopo ya TALA anisaidie nina laki 4 yao nataka kuwalipa. Natanguliza shukran! Sent using Jamii Forums mobile app
-1 Reactions
7 Replies
2K Views
Hivi kwa nini hizi taasisi zisibadilishane watumishi yaani watumishi wa nida waende tcra na wale wa tcra waende nida ili wajaribu kuona jinsi ilivyo kazi kuwapatia watz wote vitambulisho kabla ya...
0 Reactions
0 Replies
699 Views
Jamani naomba mwenye link ya NIN kwa ajili ya kupata namba ya nida. Nahitaji link ambayp ni current ili niweze kumuangalizia namba Mtu mmoja hapa. Maana amechanganyikiwa hapa bado siku 3 tu line...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
KUMBE Januari Mosi, 2020, ingeleta bonge la kishindo. Diamond Platnumz na Harmonize, walikubaliana kukutana na kumaliza tofauti zao. Alikiba buana akavunja kikao. Ilikuwaje? Utamu wote uliletwa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kwa wazima moto kama mimi vipi hali ya usajili hapo kwako. Mlimani city mashine zimejam! Tupo tu tunatoa macho hahahaha, tupeni pole Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
781 Views
Amani iwe nanyi wakuu. Leo nimeota nipo kwenye tamasha la muziki natumbuiza. Baadae nikaota niko tafrija ya mziki. Baadae tena nikaota nakula chakula. Naomba mnisaidie nini maana ya Ndoto hizi...
2 Reactions
12 Replies
1K Views
Kiukweli sijui tatizo nini ila kitu nilichogundua asilimia karibia zote watu wafupi hawapendi kuelekezwa, ni wabishi mnoo hata ukimkosoa sehemu flani kama anakosea anaona kama umemdhalau na...
2 Reactions
30 Replies
2K Views
My attitude toward guns: They are dangerous things that only the well trained should be allowed to possess. This should be the only restriction on firearms. People then ask: "What about crazy...
0 Reactions
3 Replies
642 Views
jamani naomba kuwasarimia tena wote umu ndani niende moja kwa mmoja kwenye mada yagu namuna nilivyoko simba asihuwawe na wanainchi kipindi niko kwa bibi yagu ngudu. Nakumbuka irikuwa muaka 209...
11 Reactions
85 Replies
11K Views
Miaka ya tisini (1990s) swala la kumiliki television a.k.a video ilikuwa ni tatizo ni familia chache sana ambazo zilizokuwa na uwezo wa kumiliki, hivyo kuifanya ni bidhaa hadimu kwenye mitaa ya...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom