JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Hapo vip!! Wanaume huwa tunawaita wanawake Kwa majina mengi Kama vile demu, chick,jiko n. K,embu taja majina mengine unayowaitaga Wanawake...
1 Reactions
29 Replies
3K Views
Uzi huu ni maalum kwa cc members wa jf ambao hatupendani kabisa na tunapingana na kukinzana kweli kweli katika siasa. Lengo lake ni ku absorb machungu yetu na TOFAUTI zetu. Ule mkinzano tulionao...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Facebook mtu anaandika yuko north Carolina kumbe anaisha mbagala rangi tatu! Shikamoo Facebook[emoji23][emoji23] Mwingine kasoma Harvard university kumbe kamaliza Shule ya msingi kiembe...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Sometime wakinadada mnaboaa. Watu tunakuwa serious (kuboresha mawasiliano) ila mnaletaga nyodo sana. Waswahili walisema kubali wito kataa maneno maana yake we toa namba utachagua wewe kumsuport...
1 Reactions
12 Replies
3K Views
Inahuzunisha yaani kila mtu ofisin leo kaja na jacket au coat zito. Mwanaume kabisa hali hii unakuja unatetema umejikunyata kama kifaranga cha kuku. Come on... Hivi kuna baridi gani la kuvaa nguo...
6 Reactions
29 Replies
3K Views
Salaam wakuu Miaka ya nyuma kidogo,baada ya kuacha kazi katika mazingira ambayo sikujiandaa vema,niliyumba sana,kiasi ilibidi nirudishe mpira kwa kipa...(nilirudi home kwa mzee) Mzee Ni mkulima...
48 Reactions
144 Replies
14K Views
Kuna watu tupo pamoja au ndo nimeanziwa mimi. Mtandao wangu ni voda. Si nilisikia shoo inaanza tarehe ishirini? Sent using Jamii Forums mobile app
2 Reactions
39 Replies
2K Views
watu hawa wana tabia zifuatazo 1. hawapendi kuongea sana na akiongea anauhakika wa jambo 2. hawapendi kujichanya sana 3. ni wazuri sana katika kushauri 4. wabunifu 5. wanatafakari kwa kina sana...
13 Reactions
32 Replies
4K Views
Comments Series /movie unayoikubali Zaidi 1. Woman of 9.9 billions Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
9 Replies
789 Views
Mwanamke unaweza kupika chakula gani cha Tsh 1000 mkashiba wewe na mumeo? Wanaume tuangalieni majibu hapa ndo pa kupata wa kuoa.
1 Reactions
94 Replies
8K Views
Ivi kwa nini lakini
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Watanzania tuna namba nyingi za kukariri 1. Namba ya ubatizo 2. Namba ya kipaimara 3. Namba ya mtihani form four 4. Namba ya mtihani form six 5. Namba ya chuo 6.TIN number au namba ya kitambulisho...
1 Reactions
23 Replies
2K Views
Hivi Ikitokea Siku Umelala Usiku Mzima Kuja Kuamka asubuhi Unatoka Nje Dunia Huioni Hivi Utafanyaje??. Mimi Binafsi Narudi Zangu Ndani Tu Naaza Kulia.
4 Reactions
14 Replies
3K Views
Eti mwaka 2020 katika uchaguzi mkuu vitambulisho vya NIDA vitatumika katika kupigia kura,wapiga kura watakua wengi mno,na ushindi wa kishindo utatokea. Hizi ndoto jamani,sijui kwanini imenirudia...
1 Reactions
6 Replies
661 Views
Nilikupenda sana na ulinirahisishia mambo mengi katika maisha yangu. Niliweza kufanya mipango yangu nikiwa popote bila kufika, kupitia wewe nilifanya miamala, nilipiga soga na ndugu, jamaa...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Zamani kila mwaka nilikuwa nasoma nyuzi za watu kukutana live. Wakuu nini kimetokea kiasi kwamba hatuhamasishani kukutana na kuburudika kama members tukiwa live. Au kiwango cha upendano JF...
2 Reactions
23 Replies
2K Views
Habari wakuu. Najua JF ni bahari. Kuna watu wote humu, sasa shida yangu kuu ni kujua asili ya kiapo maarufu cha ndoa; "Mimi nchikavu nimekupokea wewe le mbebs uwe mke wangu wa ndoa". Hicho...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Hakuna watu wameona maisha wameyapatia kipindi hiki kama wakala ukiwaita wakala hawageuki wanataka uwaite "samahani muheshimiwa wakala"!
1 Reactions
9 Replies
554 Views
Kama umesikia tunazima kwa makundi Ma Don wa JF msiwe na shaka mko makundi ya mwisho naamini wametambua uwepo wenu.
3 Reactions
7 Replies
796 Views
A man fainted infront of KCB bank yesterday and people rushed to help out. Someone said, " lets pour water on him" and to the surprise of many the man replied,"don't be an idiot, if l wanted water...
2 Reactions
1 Replies
848 Views
Back
Top Bottom