JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Vituko vya january ila si makambako Hiki ni kipindi ambacho ongezeko la watu wanaongea peke yao huku mjini huongezeka kwa kiasi kikubwa. Wale wadada wa nyumbani ni kipindi chao kuacha kazi...
3 Reactions
5 Replies
2K Views
Jumapili njema wakuu, fanya wema, tena mfanyie usiyemjua. Vocha ya buku hii hapa kwa mwenye bahati. Mtandao wa VODACOM 4906 4170 3733 469 Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
52 Replies
6K Views
Nakumbuka nilikuwa natoroka shule pale Nyanza primary miaka ya 90 navua shati halafu nazama kutazama TARZANI wewe je? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
4 Replies
848 Views
Inawezekana muda huu uko mahala unatamani kuongeza salio lakini mchana ulisha-wipe Tigopesa/M-Pesa yote na duka la Mangi ameshafunga. I got you my nigga... hii hapa vocha ya buku mtandao wa Tigo...
1 Reactions
31 Replies
4K Views
Jamani mwezi wa kodi huu mambo sio mambo kabisa baba mwenye nyumba anapiga simu kama mwehuu nawaza kumchana ukweli anivumilie mpaka mwisho wa mwezi tu dadeki sina namna kabisaa...!! Sent using...
0 Reactions
22 Replies
2K Views
Jana usiku mida ya saa tatu usiku natoka kwenye mizunguko yangu ya siku kwenye daladala pembeni yangu alikua amekaa kijana rika moja tu na mimi. Mkononi kashikilia smart phone yake anachati macho...
2 Reactions
54 Replies
4K Views
Ukiwa na rafiki mwenye mke au tu mahusiano yale ya kushibana ukajidanganya umwambie siri yako ataenda kumwambia mkewe. Sijui kuna kaugonjwa gani ka wenza wakiishiwa stori wanaanza kupiga...
3 Reactions
5 Replies
741 Views
Kwa wenzangu wale walaji wa viporo na daku mtanielewa! Ni hivi; Vyakula vinavyoliwa kwa mikono halafu vikabaki hadi asubuhi Kama (Viporo)! Inaonesha kwamba vyakula Vinavyobakizwa na wanaume...
2 Reactions
27 Replies
4K Views
Unakumbuka nini na je Ulikuwa wapi enzi hizo!? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
15 Replies
6K Views
Sijawahi kufika kwenye hili jiji la Arusha,nasikia ni Geneva ya Afrika Kwa gharama zozote zile nataka tarehe 2 January 2020 nitue kwenye jiji hali Naomba wenyeji wajitokeze pia naomba kufahamu...
1 Reactions
108 Replies
6K Views
Time to test your brain if you have Einstein's IQ Umeenda dukani kununua nyasi za ajabu, ukaambiwa hizo nyasi ukizipanda kila siku zinakua mara mbili,(yani kwa mfano umezipanda heka moja kesho...
3 Reactions
46 Replies
3K Views
Mimi naanza Kama ifuatavyo: Mke:Mme wangu nikifariki utasubiri muda gani hadi uowe mke mwengine? Mme:Hadi udongo wa kaburi lako utapo kauka. Mke:Unaniahidi hivyo??!! Mme: akatabasamu akasema...
4 Reactions
11 Replies
6K Views
Naandika kama ushaur kwa serikali ya Tanzania hasa wizara ya afya hasa upande bima za afya yaani National health insurance fund (NHIF) zimeonekana kusaidia sana hasa kwa watu wanapougua na...
1 Reactions
6 Replies
760 Views
Hey brothers and sisters nilikua na wazo kwa kua tuko mwishoni mwa mwaka na tunaanza 2020 naomba tutoe shukrani kwa Mungu kwa kurudisha tulichokipata hata km kidogo kwa mwaka mzima na huku tukiwa...
20 Reactions
73 Replies
5K Views
Lengo la uzi huu Ni kufahamiana tu
0 Reactions
14 Replies
798 Views
[emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313] Njooni na michango [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
596 Views
wakuu, kuna baadhi ya hawa watu waliondoka hapa Mjini kwa mbwembwe zote, sasa leo wanataka kurudi Mjini wanaanza kusumbua watumiwe nauli za kurudi. usumbufu sitaki asee...nadhani mhusika uko...
4 Reactions
18 Replies
1K Views
Huu ni uzi maalumu wa kutuma salamu za mwaka mpya,kwa yeyote nje na ndani ya nchi... Mimi natuma salamu kwa Rais wangu mpendwa Mheshimiwa John Pombe Magufuli,ninamtakia afya njema na aongezewe...
2 Reactions
36 Replies
2K Views
Mzuqa, 2020 ndio iyo. Kauli mbiu yangu ama 2020 slogan ni PESA na MITI. Ni kutandaza miti tu from January all the way to December. Allah atufanyie wepesi. Yesu atupe uvumilivu.
3 Reactions
10 Replies
873 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…