Najua mmenimiss kiasi kwa kuwa sijapost sana hasa hasa miezi ya mwisho wa mwaka 2019.
Napenda kuwaambia nawapenda sana wanajukwaa wenzangu.
Bado nipo Gado sana representing Team Magufuli...
kwanini jamaa wakabila hili wanachukuliwa kama washamba sana......aidha niliwah zungumza nao baadhi wakakir kweli kabila lao ni washamba ila sio kama wajita
Wakuu.
Heri ya mwaka mpya 2020. Pamoja na kwamba bado dakika chache tuingie mwaka mpya 2020 nimeona sisi Kama binadamu wenye mapungufu tufahamishane/tukumbushane tabia ambazo mtu hutakiwi kuvuka...
Aman iwe nanyi wakuu
Leo jaman niko mbele yenu wana jf wenzagu nikiwa na furaha sana kwa kuumaliza mwaka ambao nauita ulikuwa mwaka wa shetan, mwaka wa 2019 ulikuwa katili sana juu yangu
Hivyo...
Habari tulizozipokea sasa hivi ni kuwa, wakina Mama hawa wawili wameondoka duniani kwa uchungu mkubwa kutokana na hujuma walizofanyiwa vijana wao. Vijana wao wote wawili waliwekwa gerezani mmoja...
Wakuu ikiwa leo ni tarehe 31 mwezi wa 12, muda mfupi kabla ya mwaka mpya kuna kuku wa jirani, tena kuku kweli kweli ameingia jikoni kwangu na mlango umejifunga akiwa ndani, hapo nifanye nini...
Mi nakumbuka shuleni kwetu kubeba jembe, kotama, mbolea, maua, chupa, mayai, mifagio, fito, mifutio, maji ilikuwa kawaida.
Kupewa adhabu za kung'oa visiki ilikuwa kawaida au kushinda umeshika...
Nawatakia mwaka wa kheri,Baraka, Maisha marefu na mazuri ndugu wana JF wote.
Here’s a warm thought for the much awaited 2020....
*The Fable of the Porcupine.*
It was the coldest winter...
Tumebakiza masaa 2 tuweze kumuaga rafiki yetu huyu tuliekaa nae siku 365 na hatutamuona tena[emoji27] itabaki historia kua tuliwahi kuwa nae..
Siku ya leo huu wimbo ndio umenifungia mwaka 2018 na...
Nauliza jamani kwa wanaomfahamu vizuri,hivi bosi huwa anakunywa? kama anakunywa anatumia kinywaji gani? maana JK alikuwa anatumia Juisi, Kambarage alikuwa anapiga bia aina ya plisner,soda ya fanta...
Habarini JF members,
Maisha ya mwanadamu yana vipindi vya furaha na huzuni, chochote kati ya hivyo viwili kinaweza kubaki katika kumbukumbu ya maisha kutokana na kilivyomuumiza/kumfurahisha.
Huu...
Merry Christmas and Happy New Year!
Twende sawa kwa huyu kinyozi ambae hajui huwa natumia gharama kiasi gani kuhakikisha nywele zinakuwa kwenye ubora wakati wote.
Sasa juzi kwenye pita pita za...
Nikiwa primary darasa la nne moja ya somo nililokuwa naangukia pua ni hesabu na hapo ndipo nilipotolewa kwenye tatu bora niliyokuwa naishika la kwanza, la pili na la tatu.
Nikawa mpiga chabo...
Hata sasa ni MUNGU amefanya. Ni kwa Neema na Rehema kufika leo.
Pia nikushukuru wewe kwa kuwa sehemu ya safari ya 2019. Umekuwa pamoja nami katika vipindi vyote.
2019 Umekuwa ni mwaka wa kicheko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.