Fuata hatua moja kati ya hizi ili kudumisha amani katika ndoa yako.
1.Ukiingia bafuni kuoga nenda kaoge na mkeo
2. Kama itashindikana kwenda kuoga na mkeo basi nenda kaoge na simu yako
Hivi vitu...
Yaani huwa nikiangalia pantoni au meli na boat ilivyo kwenye maji wakati inaelea nikivuta picha mule mvunguni najua kuna kitu kinafanya iende yaani engine au motor lakini mule chini nashindwa...
Leo nimeonja hii product ya Azam (kwenye picha hapo chini[emoji116]),, aisee!!, sio siri huyu mzee yupo vizuri.
Kuanzia vinywaji, nafaka, mpaka king'amuzi huyu jamaa anakimbiza...
Wakuu,
Namtafuta ndugu yangu wa karibu kabisa tena mtu wa peponi.
Nilipotezana naye miezi miwili iliyopita. Mtu huyu wa peponi mwenye taarifa zake anieleze isijekuwa kishaenda peponi na kuniacha...
Habari wadau za juma pili.
kama kichwa cha habari hapo juu.
mimi nime wai kutumia simu za aina nyingingi sana ila kiukweli nilii kuwa mgonjwa na simu za nokia na huaweii.
tokea maisha yangu...
Katika siku ambazo tumeshindwa kupumua ni leo mana tumechanganywa na vitu vingi kama watu walipangana
1. Mond na Kiba kumekucha
2. Aunt Ezekiel kufungiwa bar yake baada ya kurudiana na timu WCB...
SWALI: Nini maana ya matatizo..?
JIBU: matatizo ni pale unapopewa adhabu na mwanajeshi then akakuruhusu uondoke, lakini ukarukia pikipiki yako halafu ukapayuka..!!!!! Mwanajeshi, wee boya Tu...
Wanasemaga kuimba vizuri kanisani ni sawa na kuimba mara mbili...imagine wewe ni Mungu afu hawa watu wanakuimbia hivi utajisikia vipi mmhh.... Hawa watu wanajiita Mormon tarbenacles Choir wanaimba...
Mu hali gani wanajf,
Awali ya yote nimeonelea niandike kitu hichi ili kuwaweka katika utayari wa maisha yenu/ yetu, sijamkusudia mtu yeyote kumwandika hapa bali kutokana na hali yangu...
wakuu msaada wenu nataka nianze gym ila mwili wangu ni mwembamba saana nataka nijae kama brown. nahitaji supplment nzuri ya bei rahisi au dawa zozote nazoweza kutumia. naombeni msaada kwa...
Nimekaa hapa nakunywa chai yangu na kiporo, ghafla kaja shoga yangu hatujaonana miaka mingi. Anasukuma mgari, kapendeza huyo. Full kujidai!
Nikijiangalia basi nliivyopuyanga, full kupauka...
Amani iwe juu yenu wakuu
Nuru ya MUNGU iwaangaze
Naseseleka nayo
Jf kuna kila aina ya watu wapo wapole na wakorofi sana
Sitaki kuwazungumzia wengine Leo namuongelea mama yetu mpendwa...
Naomba nishauri na pia nitoe dukuduku
Wanaume/ wakaka wa chuo wambea sana em punguzeni umbea yani utakuta wanaume wamekaa kama watatu au wanne wanamsema mdada adi unanona aibu kama vile umesemwa...
Wanasema Mji umehamia Tabata,bar zote kali (executive) zipo Tabata.watu wanatoka kila kona ya Mji huu wa dar wanakuja kula bata Tabata.saa nane usiku hapo 40/40 bar hupati hata nafasi ya kusogeza...
Wanazengo, nasikia kuna balaa zito mnazi mmoja, nyuki kama wote na kuna tetesi kua mmoja chini. Hali si hali wazee wenye ndumba au tutumie moshi tukaline asali kabisa?? Daah ila wanaume wa dar...
Habari..
Hivi ushawahi kusafiri kwenda safari za mikoani au nje ya nchi au hapa na pale mfano Kariakoo au Tandika au Mwenge alafu ndani ya bus au gari ukakutana na kitu cha ajabu au cha kutisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.