JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Aisee upepo wa kisulisuliiiiii
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari wana JF. Bado natamani kufanya mashindano ya waandishi na kupata pesa, round hii nakuja na FORUMS kama JAMIIFORUMS ila yenyewe inakuwa kama group la facebook linavyofanya kazi wasomaji...
2 Reactions
25 Replies
2K Views
In the Journal of my heart, I have written a Journal Entry, Debiting my love & crediting my affection, Now Filipo my hubby, you write the Narration. Your love, is the Capital of our...
7 Reactions
46 Replies
3K Views
Leo nimemkumbuka jasiri muongoza njia
3 Reactions
70 Replies
12K Views
Usiongope na wala usiogope Taja Umri wako Sahihi hapa, Kwangu 25 yrs old. Cc Zero IQ
6 Reactions
364 Replies
20K Views
Zawadi kubwa na ya pekee ya kumpa mchumba/mke ni mimba tu. Kumsomesha jiandae kisaikolojia kupata hitilafu ya moyo.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Salaam Wanajamvi, Kwa sisi ambao tumecheza chandimu hadi kufikia gozi enzi hizo mwenye mpira hafanyiwi sub. Leo nimekaa nimewaza kwa kina sana, nadhani hali ya mvua pia ya Jiji la Dar es Salaam na...
0 Reactions
18 Replies
1K Views
Ebwana jana nimesubiri kwa hamu sana upepo unipitie ila kwa bahati mbaya mpaka nikasubiri mpaka jioni sijaona upepo kunipitia wala nini. Sasa wadau kuna mtu yeyote ambaye amepitiwa na upepo na...
0 Reactions
3 Replies
935 Views
Sema lolote uliza chochote, ustaarabu kitu cha bure. Karibu.
0 Reactions
12 Replies
808 Views
Wakuu nimejaribu kuitafuta hii kitu online lakini sijaipata. Kwa sababu mimi sio mtaalamu sana, nimeona nije huku kuomba msaada wenu.
0 Reactions
0 Replies
670 Views
Macho tu yanatosha. NB: Wao wanashindana kwa like na comment sisi hapa kwetu ni kuview tu na kusepa.
2 Reactions
8 Replies
795 Views
Asalaam alaykum....nawakumbusha kila mkiamka mmshukuru Mungu kwasababu usiku ni mrefu na hamjui wangapi hawajaiona leo
0 Reactions
3 Replies
689 Views
Kuna mwana hapa kitaa kapiga k-vant mpaka kanya kitu kubwa hatari tunaogopa kumsogelea. Kila mtu kasepa pub.
3 Reactions
17 Replies
1K Views
[emoji419]Hakuna Watu Wanaojiona Maisha Wameyapatia Kama Wale Watu Ambao Wanaokaa Kwenye Viti Virefu Vya Pale Kaunta Vya Bar /Club Wakinywa Pombe.[emoji3] [emoji419]Hakuna Watu Wanaojiona Maisha...
51 Reactions
205 Replies
21K Views
Mambo vp machalii?! Naombeni kuuliza hivi Kijenge ipo kata ipi? Asante.
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari wakuu naombeni msaada wa link itakayoniwezesha kudownload video kwenye kompiyuta, pia iwe inauwezo wa kucheza kwenye deki za kaweida
0 Reactions
3 Replies
874 Views
HABARI kama mada inavyo sema hapo juu ni swali gani ambalo ukiulizwa labda linakupa hasira au lina kuwa lime kutoa kwenye mood, SWALI LA AINA YOYOTE ILE. Mfano kama mimi; 1: Sipendi mtu aniulize...
1 Reactions
205 Replies
15K Views
Naamini ule UPEPO wa Kisulisuli umevuma nchi nzima na leo ndiyo deadline. Mliobahatika kwenda Mlima wa Moto Mikocheni B Assemblies of God kwa Mama Rwakatare, naomba mnijulishe, matokeo yakoje kwa...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Kwanza nikupe hongera na kongole kwa kupandishwa cheo cha platnum member, Kingine nilikuwa nakuuliza hivi kwenye kazi yako ya ulozi hivi kipindi kama hichi cha mvua kila sehemu/mkoa mkiwa huko...
8 Reactions
36 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…