JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Bila kupoteza muda wakuu mnaopenda movie zenye maudhui ya uhalifu, mateso ya kisaikolojia kama The Platform au escape room mnaweza nipa list hapa nishuke nazo usiku huu wa mwisho wa wiki.
2 Reactions
4 Replies
215 Views
Yaani usipokuwa na mtu wa kumpungia basi imekula kwako. Ni kama vile huna dili kabisa. Watanzania tunapenda kusalimiana sana.
4 Reactions
16 Replies
360 Views
Kwa JamiiForums na tarajia expert member's ndo mfano wa kuigwa but reality ni tofauti kabisa unakuta mtu kapost uzi very serious then Expert member anakuja kupost reply iliyojaa pumba tupu why is...
10 Reactions
53 Replies
732 Views
Mkazi wa Kijiji Cha Ntoija kata ya Kishogo Bukoba vijijini amekamatwa na polisi baada ya kumpaka rangi mbwa wake afanane na chui ili kuwatisha watu wa benki walioenda kumdai kurejesha hela ya mkopo.
55 Reactions
85 Replies
3K Views
Yani Jamii Forums ina watu zaidi ya 500000 unakosaje hata wa kukudanganya danganya. Sasa we andika comment yako halafu atakayelike comment yako au utakayevutiwa naye mfwate inbox anzeni...
44 Reactions
921 Replies
19K Views
Matthew 5:5 AMP [5] “Blessed [inwardly peaceful, spiritually secure, worthy of respect] are the gentle [the kind-hearted, the sweet-spirited, the self-controlled], for they will inherit the earth.
0 Reactions
0 Replies
133 Views
Kipindi tukiwa watoto, baba unakuta amesafiri, kaenda zake shamba wiki mbili au tatu, akirudi unaona mama kapika ugali-kuku na maziwa ya mgando ,mchicha pembeni na pilipili kichaa vijana wa mjini...
29 Reactions
69 Replies
2K Views
Habari wakuu, Kama ilivyo kila mtu na starehe yake, wengine pombe, mpira, wanawake, uvutaji Muda si mrefu nilikua nipo kwenye PUBG MOBILE naplay na my teamates hadi saa saba usiku, tukiwa...
1 Reactions
6 Replies
258 Views
Siri ya utajiri ni ubahili. Je tujifunze kuwa matajiri kwa kuiga mfano wa matajiri kutoka kabila gani? Waha Wapare Wambulu Wakinga Wandali Wagogo
1 Reactions
3 Replies
153 Views
Kuna mji nilikaa sasa sikumoja kuna kitu nilikuwa natafuta,ktk harakati za kutafuta hicho kitu nikakikosa badala yake nikakutana na hiki kidonge size hiyohiyo ila chenyewe kilikuwa cha...
7 Reactions
10 Replies
592 Views
nimekua nikimpenda sana @_ephen sijui ndo nimekosea handle yake ?. ila nimempenda sana... sana, siwezi kuelezea ni jinsi gani. lakini pia nimekuja kugundua watu wengi pia wanampenda huyu Binti...
11 Reactions
164 Replies
3K Views
Hapa hua tunakutana kwenye tangawizi na kahawa Mzee juma kafika na kanzu yake swafi na baraghashia yake kama kawaida, Mzee juma siku hizi ana simu ya kupangusa vidole hivo anakua busy kwenye simu...
2 Reactions
16 Replies
336 Views
Na kama ameshatangulia mbele ya haki, basi isipite siku bila kumuombea Dua. Ni hayo tu kwa Leo.
7 Reactions
21 Replies
440 Views
Aisee hii kitu huwa nakaa najiuliza hivi inakuaje dume Zima umri umeenda ni masikini halafu anajisifia umri umeenda halafu mkewe anakuja kuomba pesa Kwa mtoto mdogo mwenye pesa nyingi kama mimi...
0 Reactions
6 Replies
331 Views
Inakuwaje wakuu Naanza na mimi simu yangu ya gharama ambayo ndio hii nayotumia nilinunua 255k mwaka 2021 Nachoinjoy inakaa sana na chaji, imeniwezesha kuingia mtandaoni na kuchota madini mengi...
3 Reactions
18 Replies
459 Views
Nimeamua nikazeekee kijijini kwa sababu zifuatazo:- Kule kijijini nitapata hewa safi isiyokuwa na mchafuko Kule kijijini nitapata majirani wema wasiokuwa na choyo Kule kijijini tutakuwa...
30 Reactions
203 Replies
4K Views
Safari ya mtafutaji inahitaji msindikizaji asikuwa na "TAMAA" 📌
1 Reactions
0 Replies
164 Views
Jambo Afrika? Mimi kama kijana wa sasa mwezi 4 mwaka huu nilinunua cm kali iphone matata ya million 2.3.. Ila nimekuja kukundua kuwa nimekimbilia maisha ya Wastafu! So hiyo pesa bora ningeiweka...
7 Reactions
19 Replies
547 Views
Tupia hapa, kwa mistari michache na ikiwezekana link ya kwenye habari kamili kwa habari, matukio na yanayojiri duniani leo hii.
4 Reactions
9 Replies
437 Views
Back
Top Bottom