JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
LGBTQ si mngebuni bendera yenu unique kuliko kutumia bendera yenye rangi za upinde wa mvua ambao hausiani na mambo yenu. Yani sasa hivi hata upinde wa mvua ukitokezea ukiuangalia tu unajishangaa...
6 Reactions
20 Replies
456 Views
Wanywa bia huu ushamba wa kumwaga bia chini ili kuangalia povu kisha kusema bia imeharibika au nzima nani aliwadanganya? Huwa nawaona mnavyobishana na wahudumu kuhusu bia kama ni nzima kwa...
2 Reactions
11 Replies
335 Views
Unakuta nyumba nzuri ila vumbi la mazingira linaingia Hadi ndani ni tabu tupu. Wapi kwenye unafuu? #Morogoro manicipal
1 Reactions
5 Replies
256 Views
https://www.facebook.com/reel/516038094522597
1 Reactions
2 Replies
186 Views
No politics here, straight to the principles: 1. Punyeto bila hisia hainogi. Lazima uvute hisia za demu mkali unaye mzimikia, labda uliisoma nae O level, Chuo. Wakat niko O level (Tabora Boys)...
110 Reactions
369 Replies
55K Views
Picha linaanza bhana Baada ya boss KUMFOKEA manager Manager naye Anaona isiwe kinyonge anashuka kwa MA-operator anaowasimamia anaanza KUMFOKEA operator mmoja wapo! Operator anafanya kazi huku...
13 Reactions
21 Replies
862 Views
Anaitwa Nguruwe poli ama NGIRI Ni mnyama anae trend sana kwenye Kila Reels ya social media. Na anauwezo wakukimbia haijalishi adui ametokezea wapi, na anauwezo wakumtisha yoyote adui awe simba...
1 Reactions
20 Replies
957 Views
Mkoa wa Shinyanga wajibu mapigo
8 Reactions
12 Replies
345 Views
Naomba msaada wenu wana JF Huyu kijana sijui hili swali kilitoa wapi, ameniuliza mwalimu aliingia darasani akasema "Kama jana ingekuwa kesho, basi leo ingekuwa ni Jumamosi" Mwalimu alizungumza...
1 Reactions
6 Replies
211 Views
1. Kula ugali kwenye sufuria. Badala ya kuweka kwenye sahani usipakue kula palepale dona lako likiwa la moto. 2. Kunywa maji kwenye glass. Unaposikia kiu ukanunua maji yako ebu usinywe kwenye...
3 Reactions
18 Replies
453 Views
watu wengi wamekuwa wakiishi kwa mazoea katika nyumba zao hadi wanaposikua kuna mgeni ndio wanaanza kupangilia vitu na kufanya usafi. Hii hali kwako ikoje? Uko tayari muda wowote? Tupe uzoefu wako.
1 Reactions
6 Replies
445 Views
Wachache sana wakarne za zamani tutaijua hii😝
4 Reactions
8 Replies
429 Views
Piga picha na utuonyeshe kwenye friji yako umeweka nini? Here we go!!
11 Reactions
58 Replies
1K Views
Umasikini na Maradhi angalau japo hali hairidhishi ila Ujinga bado sanaaaaa, sijui huu ufaulu unaopanda kila siku unapanda vilele vya ubwege au lah.. Si mara zote wanaiba kura ila hii nchi ina %...
8 Reactions
38 Replies
1K Views
Yaani sijui hawa watoto maisha yako huko mbele yatakuwaje isee sikuendeleea nikamwambia akamwambie mama yake njaa inaniuma ila nimebaki na stress kila nikimwangalia na jamii hii ilivyo kazi ipo...
14 Reactions
53 Replies
1K Views
Siku yangu leo imeharibika mazima wakuu. Fundi leo nimejua kuaibika..
12 Reactions
123 Replies
2K Views
BIla shaka wote mko vyema Hebu dondosha menu yako ya kifungua kinywa ambayo unaikubali sana. Kuanzia breakfast za kishua mpaka zile za watu kawaida Me: Chapati mayai za kumimina>>> kifungua...
1 Reactions
2 Replies
232 Views
Wakati kazi inaendelea kule kwingine ni people's power Tushuke kwenye mada Nini kibaya kiliwahi kutokea Ile siku ulipomuazimisha au ulipoazimishwa mchuma/mkoko/dinga na Rafiki yako au jamaa yako
2 Reactions
7 Replies
243 Views
Back
Top Bottom