JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Naamini kuna vitu vidogo vidogo tunagundua kwenye maisha ambavyo vinatushangaza lakini inakuwa ngumu kupata majibu ya jinsi vilivyo.... Nimefungua hii thread kama njia ya kupata majibu. Naona...
11 Reactions
142 Replies
3K Views
Njoo mchangie hii mada nitakuwa nawauliza maswali kutokana na comments zenu "ANIMAL FARM'
3 Reactions
13 Replies
249 Views
Habari. Tukikupa YOUTONG ya siti 60. Zitabaki siti ngapi tukiwaweka ,wanawake uliowahi kutembea nao. Mimi zitabaki zile tano za nyuma. Sent from my SO-01L using JamiiForums mobile app
11 Reactions
60 Replies
2K Views
Habari za Majukumu wakuu. Ni matumaini yangu wote mu wazima wa afya. Ningeomba niende moja kwa moja kwenye hii mada na nitaielezea kwa ufupi. Ni kisa nilichokutana nacho katika chombezo la hapa...
4 Reactions
9 Replies
232 Views
Uko single au bado unanyapia nyapia vya watu. https://youtu.be/5KeFyyy5CTI?si=GPpwndUt8DAGhDjq
7 Reactions
110 Replies
2K Views
Awali, Toka 2014 Mimi Ni mwendo wa nyeto tu. Sina time na kuhonga mademu. (napiga nyeto ya sabuni, mafuta na Ile ya nyuki). Pili, Pesa niliyokuwa nihonge nimejazia mtaji wa biashara. Maduka...
53 Reactions
172 Replies
5K Views
Hello! Kitambaa gani cha sofa kizuri ambacho rangi ya ung'avu inadumu kwa muda mrefu. Kitanda gani kizuri kati ya kile chenye uvungu na kisicho na uvungu (kitanda cha box)?
0 Reactions
6 Replies
192 Views
Nakumbuka enzi hizo hicho kitabu kilikua Cha kujifunza kusoma Sadiki na chitemo[emoji4] Darasa la tatu shairi la" karudi baba mmoja" lilikua matata Sana. Tulikata dumu na kutengeneza...
8 Reactions
116 Replies
12K Views
Habari zenu wana jf.. Ningependa kushare na ninyi mambo machache kabisa ya kuangalia kwa kijana uliye maliza chuo,unaye anza maisha na uliyeko chuoni pia 1Aina ya kazi Usichague kazi ya kufanya...
17 Reactions
36 Replies
6K Views
Kwa wale mafundi wa kusaka pesa waje hapa
5 Reactions
13 Replies
381 Views
Je ni kweli kuwa kwa sasa hapa tanzania, watu wanakula mende?
1 Reactions
3 Replies
196 Views
Mama wa kambooo Mbona wanitesaaa Kaaa pekeakooo Koma kunipigaaaa Mbali na weweeee Wembe wa kuchaaa Chakula kitamuuu... Endelea............
1 Reactions
11 Replies
180 Views
Kwa niliyokutana nayo kalaga baho niseme tu safari ya maisha ni ndefu sna. Mikasa, visa na vibweka kwa akili za watanzania ndo mahala pake. Umaskini nao ndo umefika Juzi wazee nilishikwa...
11 Reactions
34 Replies
728 Views
Kuna migahawa siku hizi wanauza chapati kubwa sana, zile chapati mbili au tatu za zamani au mtaani wameziunganisha wakafanya kama chapati moja, sasa usipojua mapema ukaagiza chapati mbili linakuja...
16 Reactions
55 Replies
1K Views
Karibuni duniani mashujaa Benjamin na Netanyahu, kuna nguvu kubwa kwenye majina yenu.
19 Reactions
73 Replies
1K Views
Kuna wakati huwa nashangaa sana wanaume wanapo lala na njaa kisa eti mama nanii hayupo...!! Kwa hili nampongeza sana mama yangu kwa malezi aliyo nilelea, na hasa wakati ule nilikuwa nadhani...
35 Reactions
301 Replies
18K Views
Minaona.... Shida sio kuacha pombe...🤨 Shida ni..... Hiyo pombe tunamuachia nani...🤔
24 Reactions
48 Replies
900 Views
Unamkumbuka yule mwalimu uliyekuwa unamcheka kipindi uko shule? Yule mwalimu ambaye kila siku anavaa shati lilelile na viatu vyake vimeisha upande?? Yule mwalimu ndio wewe siku hizi 😂
2 Reactions
5 Replies
195 Views
Mwezi Novemba mwaka huu nilikuwa na safari kadhaa za kwenda mkoani Mtwara kwa pilika zangu binafsi. Mara nyingi nilitumia mabasi ya usiku kutokea Mbagara rangi 3. Cha ajabu na kushangaza...
1 Reactions
4 Replies
328 Views
Back
Top Bottom