JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Nahisi kama vile ni kutulipizia kisasi. Maana wazee wetu tulikua tunawaita "Dingi" au " Bi Mkubwa". Acha tupambane na hili la kuitwa "mshua".
1 Reactions
10 Replies
245 Views
Ndugu zetu wa mikoani mnaomba Sana hela Nauliza je kilimo hakilipi? Au imekuaje tena? Njooni DSM mpambme na nyie mmiliki hela. Maana chakupewa hakishibishi.
1 Reactions
1 Replies
163 Views
Habari wakuu naomba msaada wenu kuhusu safari za train kutoka mbeya kwenda Dar es Salaa. Ni lini inatoka mbeya kwenda DSM. Zote zikiwemo express na ordinary. Mbeya linaondoka siku gani? Msaada...
1 Reactions
7 Replies
571 Views
Maisha yanaenda kasi sana, yaani sijapata wishes kutoka kwa mtu yeyote hata Wazazi wangu wenyewe naona wameisahau, marafiki na ndugu zangu pia:rolleyes: zaidi nimepata kutoka mitandao ya simu ya...
2 Reactions
18 Replies
328 Views
USICHANGANYE urafiki na kampani kuna tofauti kubwa kati ya upole na tunafanyaje! 🤔
2 Reactions
0 Replies
109 Views
1. Singida 2. Iringa 3. Tanga 4. Arusha
6 Reactions
26 Replies
504 Views
Hawa jamaa waliomrekodi huyu mtoto ingekuwa wanalipwa, wamepiga bingo. Mtoto anaongea kwa lafidhi yake nafikiri kibena au kihehe kwafudhi ya kufurahisha na kuchekesha. Na hapo alipo mtoto...
3 Reactions
13 Replies
590 Views
Ukitanua paja ni dalili ya kutaka kujamba utakamatwa kwa kosa la kutaka kujamba ili kukuzuia usifanye kosa ilo utakamatwa na kuambiwa ulikamatwa kwa kosa la kuonesha viashiria vya kutaka...
2 Reactions
4 Replies
434 Views
HATA AKISEMA ANALIPA KODI YEYE, USILALE KWENYE GHETO LAKE...... Hakuna mwanaume ambae hajui hii kanuni, Ila kukumbushana sio dhambi .... Nakumbuka kuna manzi nilikuwa na mfukuzia tokea tuko...
2 Reactions
3 Replies
322 Views
Mwezi uliopita nilikuwa nasafiri kutoka Jijini Arusha kuelekea Jijini Dar Es salaam, kwa usafiri wa basi moja maarufu (jina kapuni). Niliiingia ndani ya basi na kwenda kuketi kwenye siti yangu...
27 Reactions
35 Replies
11K Views
Husika na kichwa hapo juu! Kwa wenyeji wa Mbagala Dare es salaam. Naomba msaada wa kupata huduma tajwa hapo juu ya kulala kwa gharama ya chini ya 100,000 kwa siku, isizidi 100,000/= location...
0 Reactions
7 Replies
466 Views
Habari wakuuu, Naweza kusema mimi sio mkongwe sana, nimejiunga hapa jukwaani mwaka 2018, tokea nimejiunga apa members niliowaexperience kusoma mada na michango yao mingi ni wafuatao...
33 Reactions
378 Replies
14K Views
Leo nimepata uvivu wa kupika lunch. So kwa kuwa muda umekwenda sana nimeona vyema niandae chakula cha haraka nachokipenda sana kisha niwakaribishe wanaJF wote tuje tushirikiane chakula cha mchana...
3 Reactions
8 Replies
242 Views
Wadau Leo nitalala Hungumalwa. Naomba maelekezo lodge au guest yenye pisi kali
9 Reactions
102 Replies
6K Views
1 Reactions
1 Replies
101 Views
Hili ni ombi langu kwenu wote wenye Mapenzi mema na Dunia hii iliyoumbwa na Mungu wa mbinguni Jumaa Mubarak 😀
1 Reactions
6 Replies
132 Views
NI MCHEKESHAJI GANI AMBAYE HAWEZI KUKUCHEKESHA?? Mimi ni mkojani ,nasikia tu watu wanasema anachekesha.
7 Reactions
96 Replies
3K Views
Hakuna jambo zuri na kubwa maishani upate mwanaume anayekupenda na siyo kukupenda tu, yaani akupende haswa.[emoji7][emoji7] Mungu wangu, utake nini kwa Dunia hii mwanamke usipewe[emoji1][emoji1]...
7 Reactions
58 Replies
2K Views
Back
Top Bottom