JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Kuna maneno ya msahafu yanasema .. Mpe kilevi mwenye tabu ANYWE ALEWE asahau shida zake! Maisha yana changamoto na stress nyingi sana.. Ukiziendekeza utakufa uache wengine wanaendelea kufaidi...
10 Reactions
56 Replies
1K Views
Ni kabinamu changu ila undugu wa mbali kidogo wa ma bibi na mabibi huko alafu ni kapeace kishenzi kametoka Katavi huko hakajawahi kufika Dar hata siku moja ila kamewahi kwenda Arusha sasa juzi...
2 Reactions
4 Replies
254 Views
Hivi mpaka mtu anafika uzee, anakuwa ametoa wastani wa kilo au gunia ngapi za haja kubwa?!! Elimu yenu tafadhali
1 Reactions
5 Replies
168 Views
mimi siwezi kuvaa nguo ya njano rangi ya njano hapana naona kama ni rangi ya wagogo hii 🤗 weww kwako ni ipi wagogo ni watani zangu
12 Reactions
200 Replies
2K Views
Katika hali isiyo ya kawaida kwenye tasnia ya bongo na hasa bongoflava ambayo ilionekana kuchukua mashabiki wengi wa nchi hii na nchi jirani. Mwanamuziki wa Wasafi Media Zuchu ambaye siku kadhaa...
4 Reactions
20 Replies
661 Views
Aisee Mimi ni mkazi wa Arusha siku zote nilijua Arusha ndio Kuna bridi kuliko mikoa mingine Tanzania😂😂😂 Uwiii sintakaa nisahau siku nilimpeleka Mwanangu kureport Form Five Makambako Secondary...
1 Reactions
1 Replies
186 Views
Men will like everything you post until he becomes your man, now he can't see🥲🤡😂
19 Reactions
199 Replies
3K Views
Wanaidawa kuwa na upendo, huwa maarufu sana, ni watu watulivu, wenye amani na pia wanasifika kuwa na uvumilivu Inadaiwa Watu hawa huwa na mtazamo chanya wa mambo na hivyo huwafanya kuwa werevu na...
1 Reactions
1 Replies
539 Views
Hizi nambari za magari zinazoanzia na herufi "CCM" mbona hazionekani barabarani
1 Reactions
2 Replies
182 Views
Wasalam ndugu wana Jf, Aise ndugu yenu nina shida, Kuna mtu namtafuta yapata miezi tisa sasa, PM yake ipo locked na pia hajawahi post kitu chochote ndani ya muda huu. Huyo ni Madam S, tafadhali...
2 Reactions
16 Replies
566 Views
Kuoa kwenye Familia Tajiri ni taabu sana, mkikosana siku ya kesi uwanja mzima unajaa magari ya nyumbani kwao, alafu ukute kuna ndugu zake wengine wapo Nje ya nchi wanafatilia kesi Online...
9 Reactions
27 Replies
817 Views
naomba kumjua naona ana trend sana na why ijiite chioma
5 Reactions
30 Replies
920 Views
Apart from utani wanangu kuweni makini, vaeni mipira.
2 Reactions
8 Replies
354 Views
Kadri tatizo la afya ya akili linavyoongezeka, na wachekeshaji nao wanaongezeka.
4 Reactions
5 Replies
220 Views
  • Poll Poll
Ni nchi gani kati ya hizi unazotamani sana kwenda kutembea au kuishi ungekuwa na uwezo?
1 Reactions
16 Replies
315 Views
Nipo bongoland nchi ya Nyerere mkoa wa Morogoro palipojaliwa miradi miwili mikubwa reli ya SGR na Nyerere dam only kama vitakamilika nipo msamvu kijiwe kipya naona kinaitwa Starpark Msamvu ila...
4 Reactions
29 Replies
6K Views
Mtaani kuna mambo kwelikweli, kwawale marais wa kitaa hyo ni wizara yao pendwa sana.
0 Reactions
0 Replies
105 Views
Ukipita mitaani utakuta wanamjadili P Didy. Sasa nyie waswahili mnawezaje kufahamu mambo ya marekani huku kiingereza hamjui . Je, mmesoma makala ngapi? Je, mnaweza hata kusikiliza interview ya...
4 Reactions
15 Replies
416 Views
Yaani unakuta PS wa boss ni wa kiume alafu anakuwa na kiherehere, sehemu hausiki teyari kashaleta mdomo yaani kama na yeye ni boss, yaani anavaa vyeo vya boss nae anakuwa boss. Mfano huyu wa...
4 Reactions
41 Replies
817 Views
Back
Top Bottom