JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Time Is really moving ni kama siku zinaenda kasi ajabu ndani ya miezi 3 2015 itakua miaka 10 iliyopita. Wa 1985. ni 40yrs. Wa 1990 ni 35yrs.
4 Reactions
23 Replies
564 Views
Mungu, Urusi, Wanawake, Israeli; na, Kifo.
8 Reactions
20 Replies
792 Views
Kabla haijaja internent hii michezo watu wengi walikuwa wanacheza https://youtu.be/Enwz8NgCCHw?si=Vg-4_geq9vYziWk0 kama hii
3 Reactions
30 Replies
952 Views
Wakati nipo kwa matembezi yangu jioni hii kwenda kutafuta chimbo la kumaliza week. Nimeokota calculator kubwa halina vibonyezeo kwa mbele lakini ukibonyeza vitufe vya pembeni linawaka na kuandika...
6 Reactions
6 Replies
360 Views
Kusimama kunachosha kwakweli😄
8 Reactions
15 Replies
439 Views
Toka jana usiku saa 4 mpaka muda huu bado anakoroma tu na hajanigusa hata unywele. Nimetoka asubuhi na gari yake nimeenda church nimerudi yeye hajui chochote. Na ndio jana tumeanza mahusiano...
4 Reactions
13 Replies
371 Views
Sio vizuri Kumnyoshea mwenzako kidole. Kumtaja kwamba Yeye ndiye mbaya. Sio vizuri wapendwa. Acha Kuwanyoshea wengine kidole. Yawezekana wewe Ndiye mbaya kuliko huyo Umnyosheaye kidole. Muwe na...
1 Reactions
2 Replies
98 Views
Mapenzi yanauma kuliko chochote sababu hayana dawa kabisa. Huyu binti nilimpenda kupenda, anatembea na nusu ya uhai wangu. Tumekuwa kwenye mahusiano muda mrefu na tulipanga mengi, nilijitahidi...
13 Reactions
91 Replies
2K Views
Wakuu kutokana na hulka yangu adimu ndani ya JF ambayo haifanani na wengi wa waliowazoea huko wanakotokea member wengi wa JF wamekuwa waking'ang'ania kunivua nguo ili kuthibitisha jinsia yangu...
6 Reactions
18 Replies
411 Views
Ni siku nyingine tena Mwenyezi Mungu katujalia uhai ,ikiwa na maana tumepata wasaa pia wa kutafuta pesa -ikiwa ina maana ukiwa na pesa itakusaidia kupata suluhu ya mambo mengi sana . mimi ntakupa...
7 Reactions
60 Replies
930 Views
Eti uende kwa P Diddy utoke bure? Umeshaona Timu ya nje inakuja kwa Mkapa na inatoka bila Kufungwa? Kwahiyo Nyumbani kwa P Diddy ni kama tu kwa Mkapa ukiingia lazima Uchapike na ikibidi hata...
10 Reactions
34 Replies
961 Views
Baada ya waziri Mhagama kugalagala mbele ya Mpendwa Wetu Mh Rais Samia akimshukuru kwa misaada ya miradi jimboni wako Watu wameshangaa Sasa kwa taarifa yenu hiyo ni Mila ya Kawaida Kabisa kule...
3 Reactions
21 Replies
501 Views
Kuna ule ushamba wa wadada wengi wa kibongo wanaoamini kwamba tango haliwezi kupikwa kama ambavyo limezoeleka kuliwa bila kupikwa. Kiukweli unakosa uhondo mwingi wa tunda hili adimu unapolitafuna...
4 Reactions
4 Replies
197 Views
Mimi ni mmoja wapo wa tuliosoma advance kwenye hizi shule za ufundi yaani Technical Secondary School wakati Olevel nimetokea shule ambazo sio ya ufundi. Shule zile ni zuri sana kwa Olevel kwa...
7 Reactions
72 Replies
2K Views
Wakuu ni uhakika? Ni story huwa inanichekesha hata nikiwa mwenyewe nikikumbuka tu. Ilikuwa mapema ya saa2 usiku tupo kijiweni mimi jamaa 3 tunapiga story kadhaa wa kadhaa Mara jamaa mwingine...
5 Reactions
10 Replies
610 Views
Najua vijana wengi wanafanya betting ya football, casino nk kama sehemu ya kujipatia kipato. Wapo wanaoshinda na wapo wanaoliwa sana pesa zao. Leo tuambie kwenye reply, ni kiasi gani umewahi...
2 Reactions
3 Replies
332 Views
Maana nimejaribu kuzitafakari timu zote na nikagundua Simba ni .... wa Yanga siku zote.
1 Reactions
4 Replies
93 Views
Miaka mitatu ilopita nilikua vijijini nilishangaa kuona watu wamewekeza sana mjini wengine wana nyumba huku mjini halaf kule kijijini pesa wanaingiza kutoka mashambani yani mazao. Kabla sijaanza...
2 Reactions
2 Replies
221 Views
RULES OF DATING SOMEONE'S WIFE; 1. Never take photos with her. 2. If you called and she hangs up, don't call her back, the husband is around. 3. Don't text her love messages. 4. Satan should...
3 Reactions
19 Replies
1K Views
Kama ulkua Haujui, Basi tambua simu unayomilik inaweza kukutambulisha wew ni Mtu wa Aina Gani Kitabia, Nakusogezea Angalia chama lako 1. IPHONE -watu wanaoigiza maisha. kwa Mwanamke anaonekan...
67 Reactions
258 Replies
8K Views
Back
Top Bottom