Wana JF natumahi wote mko poa..
Sina nia ya kumjua Mshana kiundani kwani hata nikitaka huenda akazuia ufaham wangu wa akili...
Mara kadhaa sasa amekuwa akipotea humu Jukwaani na hili...
Nauza Man u mbovu na Chelsea chakavu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Team zimechokaa balaaa yani kuwa shabiki wa hizi timu no diet tosha stress zake ni balaaa bora Chelsea haina wachezaji wa...
Mshindi wa kwanza atakayejibu kwa usahihi nilichokuwa nachati hapa atajipatia pesa taslimu laki moja za kitanzania leo leo. Changamkieni fursa,
Picha hiyo hapo [emoji116]
JF imekuwa kwangu ni kama kilevi ambacho huwa kila siku lazima niingie uswahili wanasema kama una mademu zaidi ya wa 4 unauwezekano kila siku ya kupiga mambo.
Mambo yaliyopo humu JF si haba ni...
Mimi ni registered nurse, natafta mtu wa kubadilishana naw kituo Cha kazi, aje Mara Tarime DC, Mimi niende Dodoma, au Dar es salaam, kwa maelezo 0758388618
Aman iwe nanyi wapendwa
Niko kwenye huzun kubwa sana aisee
Ni siku nyingi sana simuon huyu kipenz changu jjes
Sijui hata yuko wap
Mara ya mwisho kuonana naye na kuongea naye ilikuwa ni mwez...
Sema kuna Watu wana roho mbaya sana duniani!!!! imagine walikaa kikao wakaamua ikifika SAA NNE kamili asubuhi tufukuzwe gesti!.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Daahh!! Moderator wa Jf wapo makini sana wakati najiunga na Jf nilikuwa sijui sharia vizuri so kuna sheria nilikuwa nazivunja mwisho wa siku nakumbuka nilishawahi kupewa BAN kama Mara tatu hivi...
Hakika nimeimiss JF ya kuanzia mwaka 2012 kurudi nyuma...Ni mtizamo wangu(my opinion)JF now days kuna members wanazingua sana..mtu anaaanzisha hata uzi wa kipuuzi na unapata airtime ya maana...
Asee nisiwachose wala nini, now niko Bush flani hivi uku Iringa kwene harakati za kusaxa msosi wa kila siku
To be honesty mi napenda sana nyama asa leo katika mizunguko yangu kwene harakat zangu...
Wape hi wakuu wenzio wa JF popote pale ulipo. Fanya hivyo kila siku kila uki login JF wape gwara wakuu wenzio wa JF.
Then, endelea na harakati zako!
Ukiweza kusindikiza post na ka picha, inakuwa...
Ni mda sasa Bibie Evelyn Salt amekuwa banned kutotumia jamiiforum ni yapata miezi sasa. Kwani kafanya kosa gani mpaka apewe bann ya mda mrefu kiasi hiki?!
Tukumbuke Evelyn Salt ni moja kati ya...
Habari za Mihangaiko ya maisha, natumai tu wazima, kwa wanye matatizo poleni Mungu awajalie wepesi
Niende moja kwa mona kwenye mada, Kwa Mwanaume /Mwanamke, ulieoa/ulieolewa... Unavyumba viwili...
Nauza CHIA SEEDS
Kwa bei nafuu kilo moja (1) 15,000/=
Ni dawa inayopunguza mashambulizi ya magonjwa kama
1) pressure
2)Inapunguza mwili
3)kisukari(diabete)
4)mshtuko wa moyo( heart attack)
Call...