JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Dau langu tsh15000 akinywa na bia linashuka...wewe je
0 Reactions
2 Replies
528 Views
Mimi ndo katibu muenezi Makatibu wengine karibuni
0 Reactions
5 Replies
964 Views
Haijalishi ni msomi au siyo,awe shehe au mchungaji,tajiri au masikini,mkatikumeni au mlokole!![emoji16][emoji16]haijalishi kabisa. Ni lazima anaangukia hapa A_Ushirikina,mahirizi na matunguli au...
0 Reactions
6 Replies
841 Views
Wanasema umuhimu wa kuku huonekana sikukuu ikikaribia, na ndege huhisi upweke awapo mbali na mwenza wake pengine hata kiota huonekana ukumbi mkubwa akatamani kukaa tu juu ya tawi akiangaza huku na...
1 Reactions
27 Replies
2K Views
Gffddss
0 Reactions
25 Replies
4K Views
Asante Mungu kwa kuniongezea mwaka mwingine, Asante kwa kila kitu katika maisha yangu, furaha, huzuni, majuto, maumivu, afya njema, ugonjwa n.k, naamini kila ninalokutana nalo kwenye safari hii...
11 Reactions
55 Replies
3K Views
Wanaume wenzangu embu tuulizane kiutu uzima ..wale watoto wa chini ya miaka 18 mkae pembeni kidogo, wakubwa zenu tuongee.. Okey wanaume wenzangu hivi pesa zipo wapi, wengine wanazipata wapi...
4 Reactions
49 Replies
5K Views
Hii Ni kwa wale ambao hatuna hofu na kifo tunachojua Ni kwamba Kama Kuna uhai pia Kuna kutokuwepo kwa uhai.kwa hivyo tunafanya mema na tumeshamuona Mungu tayari na bahati nzuri hatujajiha attach...
2 Reactions
20 Replies
2K Views
Kama umemaliza Standard seven kabla ya mwaka 1990. Je, kuna ambao wamefaulu kuwa na whatsapp group? Na je, likishakuwepo kuna stori gani huko. Je, mnafanana kwa stori? Je, group linadumu?
1 Reactions
3 Replies
774 Views
Nakumbuka ilikuwa mwaka 2010 nikiwa natumia ID flani maarufu baadae nikaiacha, Nilipojiunha JF 1. Nilidhani kila anayetumia jina la mwanamke ni demu kweli, na wengine niliwaibukia nkidhani naweza...
9 Reactions
140 Replies
10K Views
3 Reactions
13 Replies
1K Views
Najua wengi wamepitia secondary Kw namna moja ama nyingine umepitia au umefanya mambo.ambayo.ukikumbuka Huw unacheka au unasikitika Tulikua tunapigwa sana shule haswa kuchelewa assembly au kuingia...
3 Reactions
48 Replies
4K Views
This is your LIFE. Do what you LOVE, and do it OFTEN. If you don’t like something, change it. If you don’t like your job, quit. If you don’t have enough time, stop using cell phone. If you are...
22 Reactions
53 Replies
2K Views
Habar wakuu Nimewaza kwny ili katazo nmeona serikali haikufikilia ki2 kimoja wanapokataza mifuko hii nalo n Wanatusaidiaje 2naovalia Rambo suluar maana bila lambo utaishia kuchana suluar👌👌
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Leo ni siku ya mapumziko ,sina kazi ya kufanya zaidi ya kupumzika home Maswali yawe mafupi mafupi
1 Reactions
283 Replies
14K Views
Guys Am humbled nimeongeza digits za umri wangu muda mchache uliopita. Message ya "wife" ndo imenikumbusha kama leo ni birthday yangu. Message imenipa faraja sana kutokana na ukweli kwamba...
7 Reactions
22 Replies
2K Views
Jana usiku nilitumiwa hii sms ya mafua..,ilkuwa hivi mabo vp dugu yangu mziba? Bwada nasubuliwa da bafua mpaka dashindwa kuatika beseji.Di hayo dugu yangu.Diobeeni dipode. usiku bweba..
8 Reactions
49 Replies
12K Views
1_usidange mtaa unaoishi. 2_usidange pamoja na ndugu/rafiki ako 3_usimwambie mtu mwingine dau lako,hiyo ni Siri yako. 4_ukikopwa usitangaze 5_usijimilikishe danga 7_usilionyeshe danga...
4 Reactions
45 Replies
5K Views
Kuna movie inaitwa "wahuni wakubwa" Baadhi ya wahusika: -One The incredible -Mapacha wa Blac -Makamua -Beberu -Makanta Crew Nawengine sikumbuki majina yao. Bonge moja la movie mwanangu tambaa...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…