Ni kumbukumbu tu
kwa sie tulio ishi uswaz miaka ile ya 2000 kuja chini...
Unatumwa dukan ukanunue mafuta ya kupikia unapewa 1000/= hafu ww unaamua kupitia sehem unanunua andaz la sh mia ili...
Aisee katika mambo yote ambayo vijana wenzangu wanafanya Ishu ya kwenda club usiku Ilinishindaa kabisaa... Niliwahi jaribu kwenda Club next door siku nkaishia kulala tu nkaona hii sio Fani yangu...
Wakuu hope mko fine.
Yangu Leo n machache. Kama kichwa cha habar kinavyo eleza. binafsi hua nahisi kukosa kitu cha muhimu pindi inapo tokea sijapata nafas hata dakika moja ya kuperuzi humu...
Aman iwe nanyi wapendwa
Kama kichwa cha habar kinavyo someka hapo juu
Leo asubuh mida ya saa mbili nikiwa kwenye dinga la wife natoka kumpeleka kazin nilikutana na maaskar wakanipiga mkono...
Spika: Klorokwini
Naibu: Ze boss
M/kiti: Preta
Waziri mkuu: Asprin
m/kiti kamati ya nidhamu: PakaJimmy + INVISIBLE
Wabunge: Kila atakaye ichangia hii thread.
MAADA : Ushoga na ndoa za jinsia...
jina saddame hussein ni jina lisilogeni kwa wasikilizaji wa nyimbo za zaire, mtu huyu niliyepata kumzungumzia kwenye uzi wa historia yake, alitajwa sana na wanamuziki wa zaire ,kina koffi olomide...
habari zenu wadau
Jamani kisa kilichonikuta ni aibu hata kusimulia ni kuhusu hawa machangudoa
mimi ni mfanyabiashara wa mazao siku hiyo niliongea na wafanyabiashara wenzangu kabla sijaondoka...
Siku ya kwanza kuangalia TV ilikuwa mwaka 1999 pale kijiji kwetu ilikuwa ni hotuba ya Hayati Mwl J.K Nyerere Tulikaguliwa mlangoni kabla ya kuingia tusije ingia na mawe/vyuma.
Ladies and gentlemen including
Mwili unapoongezeka ni mafuta ndiyo yanaongezeka lakini skeleton structure hub ski ile ile. Hapa ni mfano tu jinsi unavyo over load skeleton.
Sifahamu chochote...
Habari wakuu, Poleni na Mvua
Leo nimeamua tujadiliane baadhi ya tabia na muonekano wa mwanaume asiye na pesa..
1. Viatu huisha upande mmoja
2. Huitika hata mara 5 akiitwa mara 1
3. Hukimbilia...