JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Mwanaume uliekamilika huwezi kufanya haya popote nikikuona najua una vinasaba vya 'ushoga' 1. Mwanaume kupaka super black 2. Mwanaume kuchora tattoo 3. Mwanaume kuvaa suruali kama ya dadaako...
6 Reactions
107 Replies
9K Views
SAIKOLOJIA NYEPESI TAMBUA MAANA YA MANENO AMBAYO MKE WAKO HUTUMIA. 1. "Sawa bwana" (fine). Hutumiwa na mke kumaliza mabishano nawe. Akisema hivyo ujue anahitaji unyamaze. 2. "Dakika tano tu"...
3 Reactions
10 Replies
3K Views
Wapendwa hongera kwa juma la pasaka. Kweli dunia inabadilika kwa kasi kubwa. Miaka 10 iliyo pita tulizoea kutumiana kadi za Eid, Easter, Xmas no. Tulinunua kadi kwenye stationary na kutuma kwa...
1 Reactions
1 Replies
321 Views
Heri ya Pasaka ndg zangu wana JF Bila shaka wote ni miongoni mwa watu tunaotumia sana mitandao ya kijamii kuwasiliana Mitandao hii inachangamoto lukuki, mitandao hii imevunja mahusiano (ndoa za...
1 Reactions
7 Replies
951 Views
Kama desturi yetu ilivyo watanzania zinapokaribia sikuku au kipindi cha sikuku hakiwezi kupita bila kupigwa mzinga tuu Kwa upande wako hebu tuambie ni mzinga wa aina gani uliopigwa sikuku ya leo...
1 Reactions
20 Replies
2K Views
Enyi nduguzangu, natumai mu wazima kabisa waafya, Kwakweli nduguzanguni wale ambao hatuna hata wakutualika ili tupate kushiriki furaha ya sikukuu ya pasaka tukutane hapa ili tuweze kujua lipi...
1 Reactions
26 Replies
2K Views
Nikiwa mdogo nilikuwa nasikia raha kujilamba Kamasi, hadi Mama alikuwa ananigombeza. Weeee mtoto acha uchafu, Kwanini unalamba makamasi???. Basi taratibuuuu na nyanyua t-shirt au shati langu...
1 Reactions
26 Replies
3K Views
Mwanaume ambaye anashindilia kweli kweli na anatekeleza vyema Tendo zima la Ngono na anamfikisha Kileleni kabisa Mwenza wake basi ni lazima tu iwe isiwe kuna muda ' Atajamba ' tu japo huo ' Ushuzi...
3 Reactions
21 Replies
10K Views
Nimesoma uzi wa uyu mtu kuwa kuna video yake ya uchi lakini wana jamii forum wamegoma kuituma ata kushare link. Naomba kujua anajishugulisha na shughuli gani pamoja na username yake ya Instagram
2 Reactions
11 Replies
4K Views
Siku hizi nyumba ni sehemu ya fashion kama tu nguo. Tupia na wewe. huwa naota hii. Chini Kulia living room, kushoto study, Dining, jiko na 1bdr. juu 3bdrm. Sijui milioni ngapi.
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Kama upon maneno ya Karibuni na hii night club njoo tuonane hapa the great park Leo natAka kuona jinsia pombe Zina ponza me watu.Q1q uzuri signa dozi ya kunywa Mdogomdogo mpka kreti libaki empty...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Hivi kuna faida nyingine ya kuwa na kitambi tofauti na ile ya kufutia kioo cha Simu?
5 Reactions
42 Replies
6K Views
Kun ei sitä jakonappia tässäkään>>> "Matti Luostarinen 14. marraskuuta kello 0:35 · DK shika "Uutta Haavikon ilmaisutavassa on, että runoilla on vain harvoin "sanottavaa", jonka voi käsittein...
15 Reactions
221 Replies
26K Views
Hhhhhhhhhhhhhhjjjjjnjgtt
0 Reactions
6 Replies
843 Views
Habari za jumatatu wanajamvi. Kuna huu utapeli unaoendelea sasa hivi mitandaoni watu kuibiwa pesa. nimeshuhudia watu watatu mpaka sasa wamelizwa hela za maana. wakwanza ni rafiki yangu aliombwa...
9 Reactions
32 Replies
2K Views
Hivi huyu kiumbe alikuwepo kweli au no story tuu za mtaani? Kuna watu walipitiwa kweli au?
0 Reactions
36 Replies
8K Views
Apart from kusoma coments za mashabiki me na enjoy sana kusoma signatures za watu mbali mbali huku
1 Reactions
3 Replies
1K Views
...tukutane hapa ....!! Mimi ninachokumbuka nilifanya ujinga flani nilimkosea mzigua nikapigwa ban moja makini sana , Sikuzijua vyema taratibu za humu na mchecheto wakipumbavu kidogo ko...
0 Reactions
32 Replies
3K Views
Habari wana jamvi! Nimemwona CAG hapa chuoni (UDSM), hadi machozi yakanilengalenga. Nataka nikamsalimie na nimbariki!![emoji547]
6 Reactions
21 Replies
2K Views
Uzima upo wakuu?? Uzi huu ni wa kushea experience yako ulipokuwa shule hasa ugomvi na walimu au wanafunzi wenzako. Binafsi Mimi shule ya msingi mwalimu mmoja alikuwa wa hisabati.yeye nilimkutaga...
2 Reactions
36 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…