JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Huu ni uzi wa sisi wana jf kuunda team yetu ya soka humu na pia tujue Wewe unapenda team ipi na nafasi unayochezaga uwanjani, bila kusshau update za kila siku tukienda viwanjani kusakata...
5 Reactions
104 Replies
5K Views
Eti wanasema kama huamini muulize Cheka alipoenda kupigana ujerumani.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Pamoja na tabu zooote anazopitia huku duniani akifa bado hapumziki, anatakiwa tena awe mzimu wa kutatua matatizo ya ukoo wake Sent using Jamii Forums mobile app
18 Reactions
17 Replies
3K Views
Kuna zawadi zinatoka za vocha kwa atakayepatia majibu ya maswali yangu.serious nakutumia zawadi PM ukipatia jibu wa kwanza.zawadi natoa Leo na kesho kwa hiyo usicheze mbali na ukurasa wangu wa...
0 Reactions
5 Replies
895 Views
Mambo ni mengi mudaa mchachee chiiiiii. Sasa ni mwendo wa codee Hehheje[emoji23][emoji23]Ila nyie wanajf Mna vichwa vizito si yule mwana kuyataka mwana kuyapata yulee[emoji23][emoji23] Yule...
20 Reactions
391 Replies
27K Views
Hakuna mtu ambaye hajawahi kuwa mgeni na kama bado lazima siku moja utakuwa ugenini, kuna vijitabia ambavyo vinaweza kuwa kero kwa wenyeji wako bila ya wewe kujua. Binafsi sipendi mgeni...
4 Reactions
80 Replies
6K Views
Habari wana JF! Naomba kuuliza ndugu zangu wala Mbuzi katoliki hivi na wale ambayo kula nyama mpaka sikukuu watajifanya hawali nyama au vyuma vimekaza toka kitambo?
0 Reactions
6 Replies
937 Views
Kwakweli hali imebadilika sana sijui tunaenda wapi. Juzi nilikuwa nimeekeana miadi na dem mmoja hivi mzuri sana kwa sura na umbo. Tulikubaliana tukutane gesti moja mitaa ya savei basi alikuja...
5 Reactions
44 Replies
4K Views
Dah! Wadada wa dar na nyie mmezidi sasa kama unauza misosi si utuwekee picha/video za misosi tuione, wewe unauza misosi lkn unatangaza makalio, hivi ulisomea wapi kozi yako ya...
3 Reactions
49 Replies
10K Views
, SUMBAWANGA WIZARD TRAINING COLLEGE, P.O.BOX 27, RUKWA. 02/02/2019 Ni chuo bora kwa mwaka 2019 kina mazingira mazuri ya kujifunzia, kuna vifaa vingi vya kumwezesha mwanafunzi ajifunze kwa...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Ndege mwenye maajabu kushinda ndege wote ulimwenguni, nyumba yake anayolala...kaijenga kati kati ya shina la mti, mfano mti wa mbuyu katoboa pango, mule na ukibahatika kuona nyumba yake, anayolala...
2 Reactions
71 Replies
23K Views
Je unajua kutumia/kudownload whatsap 2 kwenye Iphone yako Iko hivi Instagram 2+ Facebook 2+ Whatsapp 2+ Gmail 2+ Je unajua kuchange front kwenye iphone/Ios Yako Without jeilbreak Tuonane sasa
0 Reactions
6 Replies
996 Views
Wakuu samahanini kwa kuwasumbua akili.kifupi nataka kujua watu wangu ambao tunaenda nao sawa humu ndani na wale ambao hawanifagilii Kama una yakubali madini yangu sio miyeyusho andika "1" Kama...
2 Reactions
34 Replies
2K Views
Mimi nafikiri Kama Ni tuzo imeletwa wanagombea watu wawili mshana Jr na Paschal mayala me naona itakuwa ngumu Sana kujua mshindi Nani maana wote Wana jua secret knowledge kwa kiwango...
3 Reactions
223 Replies
8K Views
Uzi wa mazero huu humu ni kupost vitu ambavyo havina msingi vile vitu vya ovyo ovyo. Note. Usiingie humu na kujua labda utapata kitu cha maana humu ni kwa mazero tu Cc Zero IQ
2 Reactions
32 Replies
2K Views
Hivi kwanini modes mnapenda kunyanyasa watu.Nimeangaika kutuma maombi ya kupata leseni ya kuingia jlw kwa tabu.Nimeendika barua kama naomba kazi,chaajabu nimefika huko sijatimiza hata mwaka...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Jf banah .. ..ukiwa mwanaume ambae ni gender sensitive and tender to family unaonekana sio kabisaaahh. Mfano Kuna jamaa ana Uzi wake kuwa yeye umkabizi Mrs wake mshahara wake wote na maisha...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Asee mambo vipi wadau. Kuna haka kamsemo kitu fulani kama yote.....au kama zote........kama lote. Wanamaanisha nini hawa watoto wa Dar es Salaam?
3 Reactions
100 Replies
10K Views
Jamani tukaribishane kupitia huu uzi. maana pasaka inakaribia. Uchoyo sio mzuri mie nikikaribishwa sili sana. nakula masinia mawili ya ubweche plus udambwiudambwi mwingine (msiogope hicho ni...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
[emoji305][emoji305]UJUMBE WA LEO[emoji305][emoji305] . [emoji771][emoji771][emoji771][emoji771][emoji771][emoji771][emoji771][emoji771] Ajali kumi mbaya . . Hizi ndio ajali mbaya kuliko zote hapa...
7 Reactions
10 Replies
1K Views
Back
Top Bottom