JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Wamemaliza chuo siku moja na kuhitimu lakini mmoja kati yao ataanza kupata kazi na wengine kubaki wakisubiri unajua kwa nini, Tazama picha[emoji116][emoji116] Cc Zero IQ
1 Reactions
10 Replies
926 Views
1.DAR-Utapeli 2.ARUSHA-Ujangili 3.MBEYA-Matukio 4.MWANZA-Fujo 5.TANGA-Mapenzi 6.MOROGORO-Starehe 7.DODOMA-Kuomba 8.IRINGA-Ulafi 9.RUVUMA-Ulevi 10.RUKWA-Uchawi 11.TABORA-Mikosi 12.SHINYANGA-Njaa...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Habari wana JF Kuna kijana wa miaka 23 yupo chuo na bado hajatahiriwa. sasa anataka kwa hali na mali atahiriwe naombeni nijulisheni anapona baada ya Muda Gani na inagharimu shilingi ngapi za...
1 Reactions
21 Replies
3K Views
Huyo boda boda kweli hakuumia ovyo ovyo?? Sent using Jamii Forums mobile app
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Uliwahi kujiuliza siku ukiamka ukakuta internet haipo,hakuna instagram,whatapp,facebook emails,google etc. Nihatua gani utachukua kumaliza hili je utaishi vipi!Fikiria kwa mapana.
2 Reactions
46 Replies
3K Views
Aman iwe juu yenu Iv kati ya hao wapi wanakula totoz kwa wingi wazee Nishawah kukaa kwenye gol la mshikaji wangu la kuuza skin aisee nilikula totoz sana na zinatoa namba kilain kinoma. VP...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Tuseme tu ukweli hawa jamaa wa Vunja bei nguo zao mbaya na kwa mtu ambaye anajua kupigilia pamba hawezi kununua nguo pale maana kumejaa midosho tu hakuna pamba za maana. Vunja bei ni kwa wale...
6 Reactions
88 Replies
13K Views
Hii wanajanvi ni miaka 6 sasa toka nifike songea ningependa tujuane na wana jamii forum walioko songea hasa wale wa sukuma land hasa simiyu ama mwanza jioni njema Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
651 Views
Hivi ni kwa nini ung'ang'anie kutwita sisi "wanyonge" tena kwa kujigamba, eti; mimi ni rais wa wanyonge" Nani kakwambia sisi ni wanyonge? Una ajenda gani ya siri kutung'ang'aniza tuwe wanyonge...
1 Reactions
5 Replies
616 Views
Monday, November 29, 2010 3:43 AM Mwizi wa nchini Japan ambaye kutokana na kufanya wizi kwa mwaka alikuwa akijiingizia kiasi cha pesa sawa na Tsh. Milioni 540 ametoa...
3 Reactions
49 Replies
9K Views
Umeshawahi kujiuliza kitatokea nini ikiwa hawa viumbe wa humu JF wakawa kwenye Thread moja yaani @Gentamycine,GuDume na Zero IQ alafu thread yenyewe iwe inahusu mambo ya mgegedo, Unafikiri...
1 Reactions
16 Replies
1K Views
Kuna comments nyingine ni kiboko hahaaaaaaaa Huyu Amber Rutty asichelewe kutoa video nyingine basi kama ali kiba mashabiki wake tunasubiri video mpya alafu asiendelee kuomba msamaha bwana sisi...
0 Reactions
23 Replies
2K Views
Bwana yesu asifiwe Wana jf.Wanasema mficha maradhi kifo humuumbua,yamenifika mdogo wenu mpaka nimekuja mbele zenu kwa unyenyekevu wa Hali ya juu Sana.Mimi nina wazo la kibiashara ambalo linahitaji...
0 Reactions
11 Replies
994 Views
Aman iwe juu yenu LONDON BOY Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
14 Replies
1K Views
BREAKING NEWZ: ALI KIBA kortini baada ya kusema uongo hadharani! Mamlaka ya mapata tanzania PCCB imesema magari yote yanayoingizwa nchini yakalipie ushuru mara moja katika ofisi ya EWURA...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Kinachofanya wajione wao bora na wazurii ni Sisi wanaume tunapenda kuwasifu lakinii ukweli ni kwamba hawana uzuriii wowote ndo maana vitu vya urembo vimekuwa vingi kwao ili wapendeze waonekane...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Kuna wasiojua kusoma na kuandiaka, kuna wasio was uwezo wa English Medium lakini ni wapiga kura wazuri tu wa CCM.
2 Reactions
3 Replies
918 Views
Ile umekosea kitu Fulani ambacho wazazi hawakipendi umefika home maza anakwambia 1.katafute kiboko mwenyewe 2.chagua kifaa kinachokufaa, hapo kuna mwiko, kiatu, ufagio na bakora mbichi inanesa...
0 Reactions
16 Replies
1K Views
Paper flavoured
0 Reactions
14 Replies
984 Views
Back
Top Bottom