JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Me Mara ya Kwanza kabisa kabla sijajiunga jf nilikuwa nikisoma Kama guest nikawa najua wote humu ndani ni wanaume nikawa nikifikiria naona Ni ngumu mwanamke awe na ID eti ya JF na hata ID Nyingine...
2 Reactions
145 Replies
5K Views
NISUKUME KWA NGUVU
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Happy Birthday to me... Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
19 Replies
1K Views
Don’t you be worried, what is going to change it’s only a calendar but me and you are still in love. Asprin
8 Reactions
27 Replies
2K Views
Kampeni ya *RUDI NYUMBANI KUMENOGA* imeshika kasi. 1. Kwenye ndege tutabaki na ATCL 2. Kwenye TV tutabaki na TBC Pekee 3. Mawasiliano tutabaki na TTCL 4. Elimu tutabaki na shule za Serikali tu 5...
12 Reactions
50 Replies
3K Views
jingalao MSAGA SUMU stroke Pohamba Billie
2 Reactions
6 Replies
2K Views
..Ndugu zangu baada ya kutafakari na kujipima mimi na mai bebi Preta ni kwamba nitagombea urais km si urahisi ..timu yangu itakayonisindikiza kwenda kuchukua fomu ni. Mr Rocky.. Asprin...
4 Reactions
12 Replies
2K Views
Kabla hatujauanza mwaka mpya napenda tu niseme ya moyoni nyie ni miongoni mwa watu wa kipekee sana hapa Jf, mna mioyo mizuri sana,mnajali,na pia mnaujua ustaarabu na kuishi na watu vizuri...
15 Reactions
200 Replies
9K Views
Kati ya haya maneno unapenda uitweje na mpenzi /mme wako. Mama Mummy Love Honey Darling My.. Sweetie... Mahabuba Kipenzi Mume wangu Mke wangu Baba J Mama J Mimi napenda kuitwa ...mkalia ini...
1 Reactions
75 Replies
4K Views
Wadada wengi ndo hulipenda, binafsi hua nashindwa kujibu , kwamba nimwambie nini. Wanaume mnalijibu vipi hili swali na wanawake mnakua mnataka msikie nini? Shukran
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza december inakaribia wa mikoani tunaenda kupumzika kidogo vijijini. Kwa wale wakwetu kaskazini tujuzane viwanja vya kukutana. Bata linaanzia njia panda
12 Reactions
174 Replies
13K Views
Unajua ukiona Mwanaume JF jua ni mtu mwenye uwezo mpana sana. Ofcoz wachache ndo wazinguaji ila asilimia kubwa ni Gentleman. Hivyo, ewe dada, ukipata Dume huku au ukiona kuna dume linakuhitaji...
20 Reactions
268 Replies
9K Views
Mbwembwe za fb Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
3 Replies
732 Views
Huyu mdau kapigwa picha na mtu aliyeita Taxify South Africa, jamaa katokea na taulo, halaf cha ajabu anafanana mno na Besigye. Kama si yeye basi duniani wawili wawili walahi :D:D:D:D:D
0 Reactions
2 Replies
1K Views
sizani kama jamii folum kuna wadada chni ya miaka 21 naona ka wengi watu wazima na kama ypo basi ni Geniuz nawanyooshea kambajuane Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
71 Replies
4K Views
Ni miaka mingi imepita tangu niondolewe hili pulizo. Najiskia fahari sana kufanyiwa hii huduma bila ganzi. Niliumia ila leo najivunia. Ilikuwa asubuhi yenye baridi kali. Kama saa kumi na mbili...
5 Reactions
66 Replies
6K Views
Wadau em nisaidieni Mimi ness nataka nihame toka hospital ya chuo kwenda hospitality za halmashauli,nafanyeje wakuu??? Msaada kwa anaejua
0 Reactions
0 Replies
768 Views
*Finally, Just about 72 hours to the end of 2018.* To My Creator = *I say Thank You.* To my true friends = *I appreciate you all.* To those who showed me love = *I'm grateful.* To those who hurt...
10 Reactions
28 Replies
2K Views
Nimekuwa nikifatilia nyimbo mbalimbali za msanii darasa mbona kama ana mpiga madongo magufuli? muziki kuna baadhi ya line unaona kabisa ambaye ako targeted ni nani,c mwingne n magufuli " unataka...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…