wakuu habari za wikiendi I hope mu wazima wa afya
Niende moja Kwa moja kwene mada naombeni mbinu ya kuingia nayo chooni maana nna tumbo la kuharisha afu kuna wamama wako hapa nje wanasukana wako...
Nimerudi tena katika msimu mpya Wa show kabambe ya mikabala ya kuelimisha,burudani ndio nyumbani!
Mida ya jioni tutakuwa live na Davet tukisindikiza mapumziko ya mwisho Wa wiki mpola mpola...
shikamoo baba mkwe pole na majukumu, mimi nataka kuoa mwanao ila naomba kupunguziwa posa kwa sababu zifuatazo
moja:mwanao ana zigo kubwa kwa hivyo atakua ananichosha tu tunapokua faragha...
katika hali isiyokuwa ya kawaida wakazi wa rubya huko wilayani muleba wameishauri serikali kutunga sheria itakayowalazimisha madaktari kuandika matokeo ya vipimo vyao vya maradhi ya ukimwi kwa...
Kesho ni weekend... Ndio tunaelekea kuimaliza January dume... Stress zilikuwa nyingi sana.. Magomvi kwenye mahusiano hayakuwa haba.. Tumeshauriana na kupeana moyo sana.. Watu wamepata faraja na...
Naanza namimi
MKOSI NI NINI?!!
*MKOSI ni pale baba yako anafanyakazi ya bodaboda hlf ww unagoma kwenda shule eti unaumwa hlf unampigia demu wako aje home demu anaamua kuchukua boda analetwa na...
Shemeji yenu mjamzito nipo majaribuni huyu shemeji yenu hataki ata kuongelea habari za mapenzi.
Kifupi anasema hajisiki kabisa hana hisia za kimapenzi.Mimba ina miezi sita nina miezi miwili...
UNAAMBIWA haya ndiyo mataifa yanayoongoza kwa kuwa na wanawake wenye muonekano mzuri zaidi duniani (warembo)
(10) Brazil
(9 )Argentina
(8 )Philippines
(7 )Australia
(6 ) Africa kusini
(5...
Huu ni uzi maalumu wa kutakiana;
Kheri
Fanaka
Afya njema
Mafanikio
Upendo
Amani
Furaha n.k
Na kwakuwa tuko katika msimu wa sikukuu basi si vibaya tukijuzana nyimbo tam tam za wakati huu..Mimi...
Yaaa.... Akchware hili jukwaa langu pendwa hili lakini nilikuwa mfupi kwalo...... Bezikale linakwenda ekselenti, hongera.
Baada ya siasa hili linafata........... Nimerudi, yani nitakuwepo...
Habari zenu wadau wa JF. Poleni na majukumu.
Niende madani.
Hakuna kazi yenye ugumu na mitego mingi kama ualimu wa secondary na hata vyuo.
Mimi nakumbuka enzi za secondary kwa uzuri wangu...
Tumsifu Yesu Kristu wanaJF!
Kwa wakatoliki wenzangu kuna hawa Jamaa wanajiita Charismatic Catholics, au Karismatiki Katoliki.. hawa Jamaa wamekaa muundo fulani wa kilokole.. Hili Jambo binafsi...