Kwema humu???!
Baada ya kufutiwa account ya Yna4 hatimae nimerudi tena..siku mbili bila JF wallah homa ilikua yaninyemelea.
Ila kama kuna mtu aliamua kutengeneza email na kuwafuata mods kuwaambia...
Sijui hata wamekuja kuwaje,wamekuwa waizi Sana kesi nyingi za udokozi wanawake wanahusika.me mwenyewe Ni shuhuda amekuja mdada dukani Tena mrembo katuibia simu na vitu kadhaa.kwenye mwendokasi...
Each time you masturbate, you donate sperm to the demonic kingdom. U are actually donating ur wealth and destiny to the kingdom of darkness.
If you want to prove what am saying ...
Unakuta kuna group la whatsapp mchanganyiko wanaume na wanawake,hilo group dhamira yake ni kuburudisha namaanisha video za kuchekesha,kuhuzunisha,ushauri,habari ,
Kitu nachoshangaa ni kwamba...
Aman Iwe juu yenu wakuu
Jana nimepokea ombi la mrembo matata kutoka jf anaitwa nahuja. Nahuja kaniomba niwe mpenz wake yaan kanipenda kimapenz
Anaonekana kafa kaoza juu Yangu
Pm Yangu Jana...
[emoji3578]Iwe CCM iwe CHADEMA sawa tuu.
[emoji3578]Uwe mnene uwe mwembamba sawa tuu, sie twala
[emoji3578]Awe JPM awe ENL poa tuu.
[emoji3578]Uwe na chura uwe hauna sawa tuu, sisi twala...
Aman iwe nanyi wakuu na iwe juu yenu
Kama kichwa cha habar kinavyojieleza hapo juu
Aisee kuna mtoto mmoja ni mkali sana wakuu Mimi nimetokea kumwelewa ile mbaya na nimezoeana naye ile mbaya...
Katika pita pita yangu maeneo ya mtaani walipopanga wanafunzi wa chuo nimejionea mambo ambayo siyo kabisa
Wanaume wanasherekea birthday wameweka na taarabu chaajabu wanabinua binua midomo kama...
Wakuu nianze kwa kusema poleni na majukum ya ujenzi wa taifa.
Ninaandika nikiwa namasikitiko makubwa sana ndugu zangu binafsi nimegegeda wanawake wengi sana kipindi vipesa vimenitembelea.
Lakini...
#KUACHA
Kwenye maisha inafika hatua ni lazima #UACHE.Ni lazima uache yale Mambo yote ambayo kwa kiasi kikubwa yanakuzuia kufika kwenye #Mafanikio yako.
Mara nyingi Mambo ya kuacha ni yale ambayo...
Wakuu katika jamvi hili unajua kunogewa wewe,Nmenogewa sana yaani nmenogewa sana,Kunogewa kuna utamu wake bwana yaaan full kunogewa Mtoto anajua mambo si kitoto daaah Utamu wake...
sijui tutapataje kupona.mtaani kwetu kwa majirani Kuna katoto kamemaliza la saba jina naliweka kapuni kwa sababu ya usalama isije kuwa wazazi wake wanasoma hii post wakanitafuta kunitia...
Habari za asubuhi GT.
Jamani kuna fundi magari nahitaji kumpeleka police; nilisha mfahamisha kuhusu huo mpango lakini kwa jinsi anavyoongea inaonekana kama vile nitakuwa namuonea.
Ilikuwa hivi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.