Nimekuja hapo majira ya saa sita kufuatilia michango yangu.
Kutokana na mazungumzo yetu hapo, kicheko chako na tabasamu tamu ulilonionyesha vyote kwa ujumla vikanifanya nikuombe namba ila...
Kwamba....
Mwalimu wake Kamuuliza Swali kuwa ukiachia Nelson Mandela Kufungwa takribani miaka 27 nani mwingine anamjua amefungwa ili kumfikia Mandela huyu Mwanafunzi akajibu kuwa ni Taifa Stars (...
habari zenu
mzabzab nimetua capital city leo....sasa wenyeji nilikuwa naomba mnipe directions za wapi nitapata dada poa wa ukweli na average price inakuwa bei gani
Dada hakubaatika kumaliza kidato cha nne lakini alibahatika kupata nafasi ya kuhenya jeshini akitegemea atapata wakau nafasi ya kuingia jeshini lakini kwa upande wake mambo hayakua alivyotarajia...
maisha yanakwenda kasi sana, nakumbuka kuna siku nilikuwa hapo jiji la makonda kwa jamaa yangu geto. sasa baada ya kubanwa na haja nikataka kwenda huko msalani huku mvua ikiwa inanyesha, nikaomba...
Naona vijana wanazidi kutisha tu kila kukicha,mapokezi aliyopata Jux Nairobi ni balaa ,ni kama ya rais Uhuru,full ulinzi msafara wa magari kadhaa,ni wanje wanje.
Watanzania wenzangu tusiwachukulie...
Wanajf salamu kwenu.
Naandika thread hii ya kumtakia baba Askofu Rwaichi wa Jimbo kuu la Mwanza ambaye amehamishiwa Jimbo kuu la DSM Safari njema..
Tarehe 6/9/2018 ndio safari itaanza rasmi hapa...
hasa hasa katika makutano ya barabara sehemu zenye mataa utakuta wadada kibao tu na mabeseni yao wakiwa wanauza hii kitu na wanunuzi karibu wote ni wanaume....sasa kwanini chakula hii ni wanaume...
Mdada umekaa zako kibarazani na mama yako
Mara anapitia boyfriend wako barabarani halafu
unasikia mama anasema "halafu Huyu kijana
ana sura mbaya Kama sugu za magoti ya
tembo ":D
Naomba kuhoji
Ivi unapomuuzia mtu sigara na unajua ina madhara kwa afya huoni unatenda dhambi.
Labda hujanielewa.
Naanzia nyuma kidogo;
Unapoamua kuanzisha biashara ya kusambaza au kuuza sigara...
Napenda kuwaambia wadada wote ili mjue msijesema hamkujua. Yani mimi nikikuomba namba ya Sim ujue lazima nikutongoze. Sasa ukikubali au kukataa hiyo hainipi shida. Kwahiyo kutoa nambayako alafu...
Ilikuwa form V, baada ya orientation, tunes za kujuana. Wengi tulishapewa majina ya rafiki wa rafiki ambae anakuja shule ile.
Dining siku ya kwanza mdada mmoja akimwaga magarage kisa alimkuta...
Hot hot interview!!
Mada ni hiyo tajwa hapo juu, ni topic maarufu sana. Na ishajadiliwa hapa mara kazaa, not bad kama tutairudia...
Mgeni ni cute b
Host : kiwatengu.
Muwe kimya kidogo na...
Dah, leo wakina 'swit fm' wameuchunaa na kutulia kama maji ya mtungi kama vile hawako Duniani.
Au pengine huko hapajakucha bado niendelee kuvuta subra!
Nimepita kwenye mitandao mbali mbali ila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.