JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
nadhani hii ni jokes fulani ila sijaelewa hicho kingereza chake. anamainisha nini?. nimeishia darasa la saba na nina uelewa mdogo sana wa lugha kingereza, wale magwiji wa lugha hii mtusaidie...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Nakumbuka 2015, nilikutana na mrembo mmoja pale samaki samaki m'city, nikiwa nnatoka namuona demu kakaa chini anaongea na na simu huku analia nikaona nimuulize tatizo nini hakujibu nikampa...
5 Reactions
50 Replies
4K Views
Wiki iliyopita nilisafiri kwenda Tanga, nilipanda basi la Raha Leo. Pembeni yangu alikaa mwanaume amenizidi miaka kama 10 hivi. Nilikuja kugundua baadae ni m-Pakistan na Kiswahil aliongea kidogo...
11 Reactions
67 Replies
4K Views
kama heading inavosema nina uhitaji wa kitabu kinachoitwa succesfully system sijajua kimeandikwa na nani nimeshindwa kwenda jf store kwa sababu zangu binafsi
0 Reactions
1 Replies
800 Views
Wanawake wengi watadai malipo...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Husika na kichwa cha habari hapo juu.... Njaa ikiuma ukimeza panadol njaa itapona? Maana yote ni maumivu...
3 Reactions
43 Replies
3K Views
Yani kila hospital ninayopita sijawahi kutana na Dr asiye na mvutooo. Duuuh wanajua kuvaa hasa suruali za kadeti mashati yamenyooshwa vizur yani mahandsome[emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39]...
13 Reactions
321 Replies
19K Views
Tunajua wengi tunapoelekea mwisho wa mwaka huu, lazima turudi nyumbani, kusherehekea pamoja sikukuu ya christmas na mwaka mpya. Tunawakumbusha mnaokuja huku vijijini mubakikishe mnakuja na...
1 Reactions
14 Replies
1K Views
Hii vita itaendelea kuwepo siku zote na hakuna mshindi atakaye kuja kupatikana!!!
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Abalini za asubuhi wapedwa? Leo nimewota usiku ndoto ya kutisha sana. Niriona kuna ndege moja inaruka ila mda mfupi ikapoteza muerekeo na kuaguka chini. Hii ni mara ya tatu nawota hivi sijui ndoto...
2 Reactions
170 Replies
10K Views
Habarini wadau wenzangu Yaani nimesikitika kwa kweli mkuu wa kitengo wetu Melo Kusema kuwa hatutakuwa hewani leo alaisiri mweee mwenzenu naona nitakosa mambo muhimu humu na asijui tutarudi lini...
2 Reactions
14 Replies
1K Views
AINA ZA MAGROUP YA WHATSPP TANZANIA 1.MAGROUP YA MAPENZI,NGONI NA XXX Unakuta chartng zao ni kama za wenda wazimu,mara salam cjui mnakula mara tumelala mwingine atadakia salma unaniumiza moyo...
1 Reactions
23 Replies
23K Views
Mafuriko ya watu (weusi na weupe) na misururu ya magari kuelekea kwa babu LILIONDO kwa matibabu!!!!!!.....
0 Reactions
878 Replies
95K Views
Nimekuwa Teja wa matak0 ya homosapiens wenzangu. Nimekuwa na tabia mbaya ya kugeuka geuka nyuma automatic kila ninapopishana na mdada.lengo kubwa waga Ni kumcheki yupoje Ana chura au Ana Ana flat...
3 Reactions
97 Replies
9K Views
Mwaka 2005 mara baada ya kuchaguliwa kuwa Raisi Jk aliona amekuwa mbunifu kwa kuanza kutembelea Wizara kujua matatizo na kutoa mweleko wa serikali yake................ Hii ni tathmini yangu ya...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Juzi Niliitwa na Wazee wangu wa Ukoo, Nikiwa kama Kijana Mdogo Msomi ambaye Nimekuwa Kiongozi wa Kimila wa Vijana.. Pia walikuwa wameita Vijana wengine kama 10 wa ukoo .. Kufika Pale...
3 Reactions
37 Replies
3K Views
Wakuu. tunga sentensi moja ukianza na maneno hayo hapo juu" hata saa nyingine hua nampigia simu mchungaji ili aniombee" haya endeleeni kutunga sentensi zenye maana iliyo kamili.
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Katika stori zangu na wazee wa miaka hiyo, wanasema eti kilimajaro ilishakua Nchii na sio Nyerere ungekuta Arusha,Kilimanjaro na Tanga ni Nchi Huru.Hili limenishangaza sijui kwa sababu nilikimbia...
2 Reactions
11 Replies
2K Views
Huyu jamaa ameingiza hiki kionjo cha "Alaa!" katika tangazo la Fiesta linalorushwa na kituo cha redio cha Clouds Fm na kufanya tangazo linoge. Je huyo jamaa ni nani?
1 Reactions
47 Replies
6K Views
Nimefanya tathmini nimegundua wanandoa wengi waliozaa watoto wengi kuanzia sita au nane au kumi huwa wanaishi miaka mingi wanafikia sitini au sabini.lakini familia nyingi zenye watoto kidogo aidha...
2 Reactions
19 Replies
1K Views
Back
Top Bottom