Jana nipo kijiweni kwetu na washkaji tunapiga story za MO jamaa mmoja akaanza kuhadithia jinsi zamani watu tulivyokuwa tunaogopa magari ya msalaba mwekundu Mara wanyonya damu Mara wachuna ngozi...
Mpaka mda huu hajapatikana na mimi kama mkereketwa wa Simba na Amani kwa ujumla niwasihi wanasimba popote mlipo iwe vyombo vya usalama, ofisi za uma, michezoni, nje ya mipaka, ndani ya mipaka na...
Habari ya jioni wana JF,
Sina haja ya kutoa maelezo mengi na kuwapotezea muda, we chungulia[emoji102] hapo chini kwenye material yenyewe.
Na tuendelee na majadiliano kwa wale ambao washalionja...
habali wna jf
wakati tuna enjoy mpambano mkali kati ya cape ved na T stats
Huku ndugu hawa jamaa hawakutaka kuwa nyuma.
Katika harakati za kuanza kuitafuta billion moja[emoji28][emoji28]
Za asubuhi ndugu zangu Mimi nawapenda Sana Wana jf yaani nawachukulia Kama ndugu zangu kabisa marafiki wa karibu.mimi mwenzenu Jana shimo limetema nimeshinda bet Kuna hela nimepata nyingi tu Kama...
habari za Siku wakuu kama heading inavyosema hapo juu naomba kujuzwa kuhusu ndugu zetu/watanzania wenzetu wanaolinda mila na tamaduni zao afrika ya mashariki (masai) hivi huwa wanavaaga ch#pi kama...
Wale wote wageni wa JUKWAA letu hili penda la CHITCHAT nawakaribisha sana jukwaa hili.Humu ni sehemu salama kabisa ya kuchati chochote unachojisikia ila usivunje sheria za JamiiForums.com...
Mambo vp,
Kwa wale wenzangu na mm tulioyakuta haya makanjanja yaliyokua yanasifika Dar es Salaam na Tanzania Kwa ujumla ma DCM. Aisee hapa nisiwe muongo haya mandinga yako slow kwenye...
Wana jf nawasalimu kwa moyo mnyoofu(hivi mkunjufu ndo sawa eeh)
Turudi kwenye mada kimsingi bilioni moja sio pesa ya mchezo mchezo kwa mfano nkiipata mimi ntaifanyia nini??
Kwanza:kuipata hiyo...
Wakuu habarini za sahizi...
Nimekaa siku nzima nawaza suala la tajiri mfanya biashara na mmiliki wa Club ya Simba bwana Mo dewji ukiachilia mbali dau hilo la bilioni moja......
Wakuu Kwanzaa...
Tulioishi kotaz za polisi, magereza, jwtz na majeshi mengine Tuelezane maisha kwa ujumla yalikuwaje.
mimi binafsi nimeishi kotaz za JW kama ujuavyo kuna kotaz za maofisa na wale wachini...
Jf ya sasa imebadilika sana kwa mfano;
1, MMU limekuwa la visa vya mapenzi vya kutunga and not real stories
2, Chit chat imekuwa na story za kubuni
2, Jf Doctor imekuwa ya mapovu tu hakuna...
WanaJF huwa nikisoma signature za hawa wanajf nazitafakari kwa makini na kuona zina ujumbe mzito na maridhawa.
Hizi ni baadhi ya Signature zinazonikuna roho yangu pamoja na majina ya "wamiliki"...